DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 3,131
- 2,537
Hebu nikuulize mleta mada, wewe ni mchagga sio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikupingi...sema it happens people who are friends and they look like themselves tend to be in the same circles
Kwani wachagga ndo wapenda ukabila au....Hebu nikuulize mleta mada, wewe ni mchagga sio?
Mkuu hiyo typing error ni ya kibabe....Ukubila na Tanzania yeti wapi na wapi?
Wivu tu ndio wenye mbwaWalinzi,si ndiyo?
Eh weh ndio wenye maliKwa Masaki,mikocheni labda wasmasai walinzi
Kwamba Wamasai ndio wenye Mali ,Masaki ?Eh weh ndio wenye mali
Waluguru dar ni kama kwao, kuanzia mabibo, kigogo, ilala, buguruni, vingunguti hadi Tabata yote wamejazana waoMsimbazi ,Kigogo na mburahati watu wa morogoro waluguru na wapogolo
MmmmWakinga_Kariakoo
Masai wengi dar hawana kwao wanalala popote wengi wasusi Saluni Rasta saluni Mwenge na Ilala na kuuza dawa za kimasai na bidhaa xa mikononi wa kimasai ili wanaishi kusikojulikana DarKwamba Wamasai ndio wenye Mali ,Masaki ?
Ukonga machinjioniwapare tuko wapu?
Nautuambie kimara soko la nini,kigamboni,mbagala,mwananyamala,kitunda,😀.ili nasi tuzione fursa1. Wachaga - Kimara
2. Wakurya - Ukonga hasa Kitunda
3. Wahaya - Mwananyamala na sinza
4. Wapemba - Kigamboni
4. Wanyakyusa - Nyomi lao lipo keko
5. Mbagala - wamakonde
Hii inaweza kutumika kwa watu wa marketing kweny kutaget wateja
Sawa sawa ,maana hata hy Masaki ni hivyo hivyo usemavyo ,kingine walinzi magetiniMasai wengi dar hawana kwao wanalala popote wengi wasusi Saluni Rasta saluni Mwenge na Ilala na kuuza dawa za kimasai na bidhaa xa mikononi wa kimasai ili wanaishi kusikojulikana Dar
Cha kwanza na wewe ni mbaguzi kama sisi wabaguzi wengine lakini still una mbavu za kunyooshea wengine kidoleSikupingi...
Ila kwenda mikoa ya watu then mnaishi vikundi vya kikabila sidhani kama inaleta picha nzuri...
Kwamba kunakua na kimtaa mmejaa kabila moja tu, mnakua kama wakimbizi kwenye mikoa ya watu...
Sio vibaya ila mimi hufurahia makabila ambayo yakienda mikoa ya watu hawajitengitengi.
ni kama umenielewa ila kwakua ni hoja usiyoipenda umepanick...Hoja yako ya hovyo sana