Kwani kuna mtu asiye na kabila? Kule England niliona watu wa kabila la Wales ambao lugha yao mama sio kiingerza ila Kiwelsh na lugha yao wanaandika haina a,e,i na o. Kabila la Waingereza ndio lugha mama yaani kabila la ufalme wa Uingereza. Kiingereza kwao ni lugha ya 2 kama Kiswahili kilivyo kwa kabila zote nchini labda kabila la Waswahili kama lipo.Again Ukabira huu.