Orodha ya makabila yaliyojaza sehemu mbali mbali DSM

Orodha ya makabila yaliyojaza sehemu mbali mbali DSM

Nawashangaa sana hawa watu,, hizi nilizoweka ni statistics tu watu wa kabila flani wamejazana sehemu flani.

suala la ukabila ni kutanguliza maslahi ya kabila lako kwenye vitu vya kitaifa hasa kwa wenye mamlaka serikalini ya kufanya maamuzi ya kuajiri, kutoa mikopo, kugawa rasilimali, kugawa tenda, scholarships, maamuzi ya bajeti ya taifa, n.k.
Wakavikatae na vitabu,filamu,hadithi na michezo yote inayohusu makabila.Tujitambue.
 
Wakinga wanapoishi Dar siri yao ni watu wa kujificha na kuficha kabila lao mitaani hawataki kujulikana sababu ya ushirikina
Wapo Kinyerezi akitokea tajiri mmoja kwenye ukoo wanaitana ndugu wengi wanaishi pamoja. Alafu wanapenda kununua ardhi jirani yao, sijaona Wakinga anaishi mtu na mke wake lazima tu utaona sijui mtoto wa jirani sijui mtoto wa shangazi. Matajiri na waliopauka hatari humohumo nyumba moja.
 
1. Wachaga - Kimara
2. Wakurya - Ukonga hasa Kitunda
3. Wahaya - Mwananyamala na sinza
4. Wapemba - Kigamboni
4. Wanyakyusa - Nyomi lao lipo keko
5. Mbagala - wamakonde
Kuna aliyekutuma kufanya hiyo kazi? Huna kazi za kufanya? Haya tupatie takwimu halisi.
 
Back
Top Bottom