HongereniNjoo tabora uone waafrika wanavyoishi ...
Kuna wafipa wanyamwezi waha watusi wasukuma wasumbwa na wengine wengi...
Tumejichanganya pamoja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HongereniNjoo tabora uone waafrika wanavyoishi ...
Kuna wafipa wanyamwezi waha watusi wasukuma wasumbwa na wengine wengi...
Tumejichanganya pamoja.
Kimara, Mbezi, Kibamba na Kiluvya ni little Kilimanjaro1. Wachaga - Kimara
2. Wakurya - Ukonga hasa Kitunda
3. Wahaya - Mwananyamala na sinza
4. Wapemba - Kigamboni
4. Wanyakyusa - Nyomi lao lipo keko
5. Mbagala - wamakonde
Jirani na kwao Msumbiji.Mpaka wa Tanzania na Msumbiji uko.Mbagala😁😁😁Hivi kwanini Wamakonde wamejazana sana Mbagala? 😂😂😂
huko ndiko waliko akina mama mwakibete, mama mwaisabila mama mwakibolwa na mama mwakitalimaPanaitwa bonde la Mwakaleli kwa wanyakyusa original .Lugha kuu kinyakyusa ikifuatiwa na kiswahili
hakuna ukabila hapa, ni takwimu tuNimeshangazwa Na Thread Ya Hivyo, Faida Ya Kabila Ni Nini Hasa Zaidi Ya Kutambika Tu
jitafuteni mtajijua mlipowapare tuko wapu?
𝒏𝒂 𝒘𝒘 𝒎𝒎𝒂𝒔𝒂𝒊jitafuteni mtajijua mlipo
Mnafatana na wachaga japo wengi naona wamesogea pande za kibaha ila ni hiohio Morogoro road kama wachagawapare tuko wapu?
Toa maelezo ueleweke kwa kutumia maneno hamsini.Narudia tena ukabira huu.
Wakavikatae na vitabu,filamu,hadithi na michezo yote inayohusu makabila.Tujitambue.Nawashangaa sana hawa watu,, hizi nilizoweka ni statistics tu watu wa kabila flani wamejazana sehemu flani.
suala la ukabila ni kutanguliza maslahi ya kabila lako kwenye vitu vya kitaifa hasa kwa wenye mamlaka serikalini ya kufanya maamuzi ya kuajiri, kutoa mikopo, kugawa rasilimali, kugawa tenda, scholarships, maamuzi ya bajeti ya taifa, n.k.
Wapo Kinyerezi akitokea tajiri mmoja kwenye ukoo wanaitana ndugu wengi wanaishi pamoja. Alafu wanapenda kununua ardhi jirani yao, sijaona Wakinga anaishi mtu na mke wake lazima tu utaona sijui mtoto wa jirani sijui mtoto wa shangazi. Matajiri na waliopauka hatari humohumo nyumba moja.Wakinga wanapoishi Dar siri yao ni watu wa kujificha na kuficha kabila lao mitaani hawataki kujulikana sababu ya ushirikina
Wasukuma wapo kila pahali Dar, robo tatu ya wakazi wa Dar ni wasukuma, wamejazana Dar kwa sababu wanazaana sana.Tabata wasukuma tupo kama wote 😀
Wagogo- Vingunguti1. Wachaga - Kimara
2. Wakurya - Ukonga hasa Kitunda
3. Wahaya - Mwananyamala na sinza
4. Wapemba - Kigamboni
4. Wanyakyusa - Nyomi lao lipo keko
5. Mbagala - wamakonde
Kuna aliyekutuma kufanya hiyo kazi? Huna kazi za kufanya? Haya tupatie takwimu halisi.1. Wachaga - Kimara
2. Wakurya - Ukonga hasa Kitunda
3. Wahaya - Mwananyamala na sinza
4. Wapemba - Kigamboni
4. Wanyakyusa - Nyomi lao lipo keko
5. Mbagala - wamakonde
tengua kauli yako hyoWasukuma wapo kila pahali Dar, robo tatu ya wakazi wa Dar ni wasukuma, wamejazana Dar kwa sababu wanazaana sana.
Uzazi wa mpango kwa wasukuma ni dhambi iliyo kuu.