TuntemekeSanga
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 1,346
- 862
[emoji23][emoji6][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji39]Freeman Aikael Mbowe ni mtoto wa baba wa taifa tena ni Kachero mbobezi!
Walimaanisha huyuhuyu DJ au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji6][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji39]Freeman Aikael Mbowe ni mtoto wa baba wa taifa tena ni Kachero mbobezi!
Usitutoe kwenye Reli na wewe bana"baadae tukaja kugundua kumbe ni uzushi mtupu..."
Ni nani au mamlaka gani iligundua?
Kinachofanyika hapa ni kuendeleza uzushi uleule...
We hujawaona mkuu??Lissu akirudi Tanzania atakuwa na ulinzi mkali wa FBI,,,uzushi.
Labda FBI ya buza.
Huyu huyu bwashee![emoji23][emoji6][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji39]
Walimaanisha huyuhuyu DJ au?
Akawa Fisadi tena, aliporudi akawa mzalendo tena![emoji38][emoji41][emoji39]Lowassa ni fisadi. Wale wale waliosema ni fisadi, ndio akaenda kua mkombozi wao.
Hii yenyewe nikweli. Ni kipindi kile cha Shivacom (kama nawewe ni Mhenga mwenzangu utakuwa umenisoma).Kila Sekunde Moja lowassa anaingiza mabilioni Kupitia Vodacom
Mngemchagua mkaona sasa! [emoji28][emoji41][emoji1]Kule kijijini kwetu Mpambaa 1995 eti ukimchagua Mrema tutaanza kuchinjwa ovyo
DuuuhMngemchagua mkaona sasa! [emoji28][emoji41][emoji1]
Hii ni kweli kabisa. Kama unabisha mwambie ajaribu aone... Ndio utajua waganga hawana tofauti na wajumbeTupac Lissu alivyosema mbele ya kadamnasi kwenye chuo kimoja huko USA kwamba Magufuli aliambiwa na mganga wake asipande ndege kwenda ulaya.
Sawa Mr Sky msalimie sana mke wako,mwambie Magufuli oyeeee.Hii ni kweli kabisa. Kama unabisha mwambie ajaribu aone... Ndio utajua waganga hawana tofauti na wajumbe