Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo list ninpumba bila kumtaja hawa mafundi.Nime amua kuanzisha huu Uzi kulingana na fikra zangu na muda nilio kaa humu jamii forums nimegundua kunanawatu ni mastaa
Yaani waki anzisha Uzi au kuchangia mada za MTU wana kula likes sio mchezo.
*Orodha ya mastaa wa Jamii forums*
1.@Dead body: huyu jamaa maranyingi utamkuta jukwaa LA elimu akijaribu kutoa mada kuhusu changamoto za kielimu na mambo ambayo wanafunzi Maranyingi huyapitia katika kipindi chao cha kukaa shule
2.@GENTAMYCINE:siongei sana nazani wote tunamjua kwa kuibua changamoto za kimaisha
3.@mama Sabrina:huyu mama sijui nisema Dada nae pia anajitahidi huyu anashika tuzo ya 3 kwa ustaa humu jamii forums
4.@Maxence melo:huyu anachukua tuzo japokua ni muanzilishi wa Jamii forums sema tatizo lake hua anatoa mada Mara moja kwa mwezi kulingana na makadirio yangu.
5.@Gudume LA mbegu:huyu jamaa utamkuta kwenye mada za mape**z* akijaribu kutoa mada kulingana na ubora wake
6.@mshana Jr:Siku hizi amepoa sana sijui tatizo nini
7.@bujibuji:anajitahidi kaza buti kijana
Mastaa wanaokuja kwa kasi (upcoming)
Nahuja
Mjuukuu wa chifu
Algorithm==>blog na technology tips
Sijuti===>blogging ideas
N.k
Bado wapo wengi ila hao ni top 7 kama unawajua wengine malizia hio list hapo.
Najua kuna wengine wata nitukana na kusema napoteza muda wangu kuandika gazeti kama hili lisilo na maana ila kama ni kazi nimesha zifanya hapa najaribu tu kuvuta kamda kidogo na kugawa tuzo kwa wanao stahili
Kama haupo kwenye listi usinilaumu haya ni mawazo yangu
Poleni sana kwa wale wanao andika Uzi halafu hakuna hoja yeyote Uzi wao unadoda utafikiri chakula kilicho chacha hata likes hawajawahi kupata na unakuta hakuna hata MTU yeyote anae m PM.
Atawajuaje watu wa jlw kama yeye hayupo huko ?Unazungumzia majukwaa yote au baadhi.?
Siwaoni akina the bold hapo.. Wa Jf intelligence..
Na kuna jukwaa letu(Jukwaa la wakubwa) tupo na akina Ambiele Kiviele , Funza dume , fimboyaasali , Castr , Jestkilla..
Analysis yako feki nimekubali tu hapo kwa Mshana.
Huyu ni mkali wa jukwaa la intelijensiaHabib B Hanga aka The bold unamjua au unamsikia...
Huyu ni Evelyn ni wachangiaji zaidi wa Mara za wenzaohamna joseverest hapo hii ni list uchwara
Ustaa umeupima vipi, any way mi Nina watu hapa huwa nawafutilia sana
Pascal Mayalla Kuna jmushi1 Sky Eclat na Evelyn Salt BAK Malcom Lumumba tindo hawa watu hawa wana mchango yao fulani kuna na wengine
haaa haaa haaa mkuu hao haters hawawezi kuupenda ule Uzi. Ule Uzi wa wajanjaJembekillo uzi wako umesahaulika
Somji,kwenye jlw umenisahau mzeeUnazungumzia majukwaa yote au baadhi.?
Siwaoni akina the bold hapo.. Wa Jf intelligence..
Na kuna jukwaa letu(Jukwaa la wakubwa) tupo na akina Ambiele Kiviele , Funza dume , fimboyaasali , Castr , Jestkilla..
Analysis yako feki nimekubali tu hapo kwa Mshana.
Wakijibu Unafikisha zaidi ya pm 25 kwa mkupuo mmoja?Mimi ni star wa PM