Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Tanzania.
Ifuatayo ni List ya Miji,Majiji,Manispaa na Wilaya 50 Kati ya 184 ambazo zina mzunguko Mkubwa wa fedha na kwamba wananchi wake Wana kipato cha uhakika na hivyo kuwa maeneo yanayofaa zaidi kwa fursa za biashara mbalimbali.
Mpangilio umewekwa kwa kuangalia wingi wa mapato halisi kuanzia kiasi cha Tsh. bilioni 3.5 na kuendelea yaliyokusanywa na Halmashauri mwaka wa fedha 2020/21 kutoka vyanzo vya shughuli za kiuchumi za wananchi kama biashara,kilimo,ufugaji,viwanda nk. Figures in Tsh.bilion
1.Dar es Salaam CC(Ilala) = 48.17
2.Dodoma CC=36.32
3.Kinondoni MC=33.11
4.Temeke MC=28.05
5.Mbeya CC=15.27
6.Ubungo MC=14.22
7.Mwanza CC=12.70
8.Arusha CC=12.36
9.Tanga CC=11.07
10.Chalinze DC=9.64
11.Geita TC=9.38
12.Kahama MC=7.98
13.Ilemela MC=7.76
14.Mkuranga DC=7.65
15.Njombe TC=7.50
16 . Morogoro MC=7.18
17.Kigamboni MC=6.90
18.Mufindi DC=6.52
19.Tunduma TC=6.33
20.Tarime DC=5.76
21.Rungwe DC=5.53
22.Moshi MC=5.21
23.Rufiji DC=5.21
24.Mbarali DC=5.13
25.Geita DC=4.92
26.Muleba DC=4.84
27.Kibaha TC=4.54
28.Mafinga TC=4.36
29.Nachingwea DC=4.30
30.Kilwa DC=4.22
31.Hanang' DC=4.16
32.Kilosa DC=4.16
33.Tandahimba DC=4.10
34.Mbeya DC=4.06
35.Ruangwa DC=4.03
36.Mbozi DC=3.95
37.Msalala DC=3.92
38.Mbinga DC=3.76
39.Kyela DC=3.75
40.Misenyi DC=3.68
41.Kaliua DC=3.65
42.Morogoro DC=3.62
43.Masasi DC=3.62
44.Karatu DC=3.57
45.Arusha DC=3.54
46.Njombe DC=3.54
47.Tunduru DC=3.51
48.Meru DC=3.50
49.Mtwara MC=3.46
50.Chato DC=3.46
My Take.Hizi Takwimu zinaonesha Uchumi unakua,mwaka wa fedha uliopita kulikuwa na Halmashauri 37 tuu lakini sasa ziko 50 zilizokidhi vigezo.
Takwimu hizi ni kwa Mujibu wa website ya Tamisemi.👇
Ifuatayo ni List ya Miji,Majiji,Manispaa na Wilaya 50 Kati ya 184 ambazo zina mzunguko Mkubwa wa fedha na kwamba wananchi wake Wana kipato cha uhakika na hivyo kuwa maeneo yanayofaa zaidi kwa fursa za biashara mbalimbali.
Mpangilio umewekwa kwa kuangalia wingi wa mapato halisi kuanzia kiasi cha Tsh. bilioni 3.5 na kuendelea yaliyokusanywa na Halmashauri mwaka wa fedha 2020/21 kutoka vyanzo vya shughuli za kiuchumi za wananchi kama biashara,kilimo,ufugaji,viwanda nk. Figures in Tsh.bilion
1.Dar es Salaam CC(Ilala) = 48.17
2.Dodoma CC=36.32
3.Kinondoni MC=33.11
4.Temeke MC=28.05
5.Mbeya CC=15.27
6.Ubungo MC=14.22
7.Mwanza CC=12.70
8.Arusha CC=12.36
9.Tanga CC=11.07
10.Chalinze DC=9.64
11.Geita TC=9.38
12.Kahama MC=7.98
13.Ilemela MC=7.76
14.Mkuranga DC=7.65
15.Njombe TC=7.50
16 . Morogoro MC=7.18
17.Kigamboni MC=6.90
18.Mufindi DC=6.52
19.Tunduma TC=6.33
20.Tarime DC=5.76
21.Rungwe DC=5.53
22.Moshi MC=5.21
23.Rufiji DC=5.21
24.Mbarali DC=5.13
25.Geita DC=4.92
26.Muleba DC=4.84
27.Kibaha TC=4.54
28.Mafinga TC=4.36
29.Nachingwea DC=4.30
30.Kilwa DC=4.22
31.Hanang' DC=4.16
32.Kilosa DC=4.16
33.Tandahimba DC=4.10
34.Mbeya DC=4.06
35.Ruangwa DC=4.03
36.Mbozi DC=3.95
37.Msalala DC=3.92
38.Mbinga DC=3.76
39.Kyela DC=3.75
40.Misenyi DC=3.68
41.Kaliua DC=3.65
42.Morogoro DC=3.62
43.Masasi DC=3.62
44.Karatu DC=3.57
45.Arusha DC=3.54
46.Njombe DC=3.54
47.Tunduru DC=3.51
48.Meru DC=3.50
49.Mtwara MC=3.46
50.Chato DC=3.46
My Take.Hizi Takwimu zinaonesha Uchumi unakua,mwaka wa fedha uliopita kulikuwa na Halmashauri 37 tuu lakini sasa ziko 50 zilizokidhi vigezo.
Takwimu hizi ni kwa Mujibu wa website ya Tamisemi.👇