Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie hamkosekanagi ndio mnapinga hadi chanjo mnaita fakeFake
Ni maeneo mawili tofauti ya kiutawala,nyie mko nchi gani mnashangaa huu mgawanyo wa kiutawala?Na kuna Arusha CC na Arusha DC... 8 & 45
Yawezekana Arusha CC na Arusha DC yakawa maeneo mawili ya kiutawala...Ni maeneo mawili tofauti ya kiutawala,nyie mko nchi gani mnashangaa huu mgawanyo wa kiutawala?
Wenaoongoza hizo Halmashauri wanajua mipaka na hivyo vyanzo vilivyopo kwenye maeneo yao wanavijua japo kuna muingilianoYawezekana Arusha CC na Arusha DC yakawa maeneo mawili ya kiutawala...
Lakini ukiangalia kwa kina ni eneo moja kiasi kwamba unashindwa kuchanganua lipi ni pato la Halmashauri ya Wilaya na lipi la Jiji..
Kwanini isiwe moja kuondoa utata?
Kuna vimji vingi tuu vinajiita Manispaa ni hovyo kabisa mkuuKwahiyo wilaya yangu pendwa ya musoma mjini aipo😂 hakika kumbe nilikuwa sahihi kuikimbia hiyo wilaya kama mpaka tumezidiwa na wilaya ya mwenda zake bac hatuna maana yoyote
Hakika ni ovyo sana kakaKuna vimji vingi tuu vinajiita Manispaa ni hovyo kabisa mkuu
Wanaweza kuwa wakulima lakini ni peasant tu so from farm to mouth!Manyara ni moja ya miko inayoongoza kwa kilimo.Usiangalie nje nje mkuu! Hanang kuna wakulima ma wafugaji wengi mno!
Yaani Arusha CC (Halmashauri ya Jiji la Arusha) ni jiji la Arusha na Arusha DC (Halmashauri ya Wilaya ya Arusha) ni kama Arusha vijijini ila wao walikataa neno vijiji ndipo ikabaki kuwa Arusha DC.Na kuna Arusha CC na Arusha DC... 8 & 45
Unamaanisha nini mkuu unaposema kuna happen?
Mapambio gani tena mkuu,hizo ni Takwimu kutoka TamisemiKama ni takwimu ya kiserikali basi asallahm aleykhumu mleta Uzi.
Tunajua yalikuwa ni mapambio.
Uchumi bila maendeleo ni umasikini.
nilipata kuishi hanang' kuna kipindi, maisha ya wale watu yapo tofauti,mzee amevuna magunia ya kutosha ya mahindi, na maharage, ana ngo'mbe wa maziwa lakini maisha yake nyumbani ni yale yale, utamkuta mtoto peku au kavaa tishet tuu, nadhani elimu na exposure ya maisha hawana, ni mfumo wao wa maisha, wale watu si masikini,Manyara ni moja ya miko inayoongoza kwa kilimo.Usiangalie nje nje mkuu! Hanang kuna wakulima ma wafugaji wengi mno!
Huko hamna kitu wote ni waganga njaaSijawahi kuiona wilaya ya korogwe