Legrema2050
JF-Expert Member
- Jun 5, 2021
- 606
- 708
Hivi inamaana iyo miji yenye mzunguko wa pesa, watu wanaishi kwenye hio miji wote wana maisha mazuri(wana pesa)?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeongoza kiasilimia sio kwa mapato ghafi ,pili ni imeongoza kwa kundi lake la Halmashauri za Manispaa
Nani kasema hivyo? Ila tunaamini wengi wa wakazi wake wako vizuri mfukoniHivi inamaana iyo miji yenye mzunguko wa pesa, watu wanaishi kwenye hio miji wote wana maisha mazuri(wana pesa)?
Mkoa wa kagera umeendelea zaidi vijijini kuliko mjini.Hizo ni Manispaa uchwara,huko wanawakilishwa na Muleba na Misenyi
Vijijini huko muleba.Hizo ni Manispaa uchwara,huko wanawakilishwa na Muleba na Misenyi
City councilNo 8.. Arusha CC
No 45. Arusha DC
Inakanganyisha hii....
Hii list naona kanda ya Kaskazini imepigwa dafrao la kufa mtu...
City councilNa kuna Arusha CC na Arusha DC... 8 & 45
Ni kweli imeongoza mkuu ,, fungua zile pdf. Sijaisingizia. [emoji3][emoji3][emoji3]Mbona mna chuki na Chato wakulungwa
Figure nilikosea kidogo ni 1.45bMbona mna chuki na Chato wakulungwa
Mzunguko wa fedha mbeya kuwa mzuri ni changizo kubwa la kuwa center ya mpaka wa nchi mbili na lango la nchi hizoMbeya on top kila siku.
Halafu kuna kenge za mashambani huko zinabana pua "Mbeya mnaendekeza ushirikina"
Nyie walokole mko wapi?
Angalia table nyingine hii ya mikopo ina mislead na ni ya robo ya mwisho ila table nyingine ni ya jumla.Figure nilikosea kidogo ni 1.45bView attachment 1875045
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mbeya ina mpaka mmja na Malawi, Tunduma sio Mbeya ni SongweMzunguko wa fedha mbeya kuwa mzuri ni changizo kubwa la kuwa center ya mpaka wa nchi mbili na lango la nchi hizo
Mnaweza mkawa vizuri zaidi ikiwa mtapata viongozi wazuri. Bahati mbaya tatizo la Kyela ndo tatizo la Afrika. Ubinafsi.Nimefarijika kuona kyela tuko vizuri...
Na kuna Arusha CC na Arusha DC... 8 & 45
Waongo hawa, hawana utafiti yakinifu na wa kutoshaNo 8.. Arusha CC
No 45. Arusha DC
Inakanganyisha hii....
Hii list naona kanda ya Kaskazini imepigwa dafrao la kufa mtu...
Umeongea jambo la msingi,maeneo mengi yalikuwa hayafikiki Ili kuyafungua kwa fursa mbalimbali ikapelekea maendeleo kuwa Dar na mikoa ya Kaskazini pekee.Kongole sana, serikali izidi kuwekeza kwenye miundombinu ya barabara, maji, umeme, afya, elimu na kuchochea uwekezaji kwenye maeneo mbalimbali ili wilaya nyingi zaidi zifunguke.
2021 kilimanjaro inaongoza kwa mzunguko n watu wenye maisha boraNawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Tanzania.
Ifuatayo ni List ya Miji,Majiji,Manispaa na Wilaya 50 Kati ya 184 ambazo zina mzunguko Mkubwa wa fedha na kwamba wananchi wake Wana kipato cha uhakika na hivyo kuwa maeneo yanayofaa zaidi kwa fursa za biashara mbalimbali.
Mpangilio umewekwa kwa kuangalia wingi wa mapato halisi kuanzia kiasi cha Tsh. bilioni 3.5 na kuendelea yaliyokusanywa na Halmashauri mwaka wa fedha 2020/21 kutoka vyanzo vya shughuli za kiuchumi za wananchi kama biashara,kilimo,ufugaji,viwanda nk. Figures in Tsh.bilion
1.Dar es Salaam CC(Ilala) = 48.17
2.Dodoma CC=36.32
3.Kinondoni MC=33.11
4.Temeke MC=28.05
5.Mbeya CC=15.27
6.Ubungo MC=14.22
7.Mwanza CC=12.70
8.Arusha CC=12.36
9.Tanga CC=11.07
10.Chalinze DC=9.64
11.Geita TC=9.38
12.Kahama MC=7.98
13.Ilemela MC=7.76
14.Mkuranga DC=7.65
15.Njombe TC=7.50
16 . Morogoro MC=7.18
17.Kigamboni MC=6.90
18.Mufindi DC=6.52
19.Tunduma TC=6.33
20.Tarime DC=5.76
21.Rungwe DC=5.53
22.Moshi MC=5.21
23.Rufiji DC=5.21
24.Mbarali DC=5.13
25.Geita DC=4.92
26.Muleba DC=4.84
27.Kibaha TC=4.54
28.Mafinga TC=4.36
29.Nachingwea DC=4.30
30.Kilwa DC=4.22
31.Hanang' DC=4.16
32.Kilosa DC=4.16
33.Tandahimba DC=4.10
34.Mbeya DC=4.06
35.Ruangwa DC=4.03
36.Mbozi DC=3.95
37.Msalala DC=3.92
38.Mbinga DC=3.76
39.Kyela DC=3.75
40.Misenyi DC=3.68
41.Kaliua DC=3.65
42.Morogoro DC=3.62
43.Masasi DC=3.62
44.Karatu DC=3.57
45.Arusha DC=3.54
46.Njombe DC=3.54
47.Tunduru DC=3.51
48.Meru DC=3.50
49.Mtwara MC=3.46
50.Chato DC=3.46
My Take.Hizi Takwimu zinaonesha Uchumi unakua,mwaka wa fedha uliopita kulikuwa na Halmashauri 37 tuu lakini sasa ziko 50 zilizokidhi vigezo.
Takwimu hizi ni kwa Mujibu wa website ya Tamisemi.👇
Kweli kabisa, hivi karibuni nilienda kijijini kwetu nikakuta barabara ya lami inayounganisha na makao makuu ya wilaya ikikaribia kukamilika na umeme wa REA una almost miaka mitano jambo ambalo lilikuwa ndoto enzi hizo nikiwa mdogo, sasa serikali ikiwa focused kwenye initiative kama hizi tutajikuta tunafungua fursa nyingi zaidi kwenye nchi ambazo zitasaidia ku-absorb tatizo la upungufu wa ajira kwa vijana na hata kujenga jamii ya watu wa kisasa ambao wataachana na mediocre minds za kuishi kwa hisia au kwa imani za kishirikina......Umeongea jambo la msingi,maeneo mengi yalikuwa hayafikiki Ili kuyafungua kwa fursa mbalimbali ikapelekea maendeleo kuwa Dar na mikoa ya Kaskazini pekee.
Lakini kadiri miaka inavyokwenda mambo yanaenda kuwa tofauti nadhani unaweza ona hapo juu mikoa kama Lindi,Mtwara,Pwani imeanza kutokea kwenye list.
Kwa miaka mingi Tulikuwa tunaambiwa niaskini sababu ya miundombinu hafifu lakini ni maeneo yenye fursa nyingi.