jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Harakati za pesa zipo kwa sana..mji wa kibishara kwa mikoa yetu ya kusini tunapaita njia nne...korosho..mbaazi..ufuta na mazoe mengine lazima yapite masasi ili yaje mjini..so pesa ipo..ila nashangaa haionekani kwenye list.Unamaanisha nini mkuu unaposema kuna happen?
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app