Orodha ya Miji na Wilaya zenye mzunguko mkubwa wa Fedha na Uhakika wa Mapato

Orodha ya Miji na Wilaya zenye mzunguko mkubwa wa Fedha na Uhakika wa Mapato

Unamaanisha nini mkuu unaposema kuna happen?
Harakati za pesa zipo kwa sana..mji wa kibishara kwa mikoa yetu ya kusini tunapaita njia nne...korosho..mbaazi..ufuta na mazoe mengine lazima yapite masasi ili yaje mjini..so pesa ipo..ila nashangaa haionekani kwenye list.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Harakati za pesa zipo kwa sana..mji wa kibishara kwa mikoa yetu ya kusini tunapaita njia nne...korosho..mbaazi..ufuta na mazoe mengine lazima yapite masasi ili yaje mjini..so pesa ipo..ila nashangaa haionekani kwenye list.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida hizo miji ni kama magulio sijui au imejaa Wachuuzi haina vyanzo vya uhakika vya uchumi just kama Makambako ndio maana unakuta hakuna cha maana
 
Siamini kama Geita ikaizidi kahama
Aisee

IMG-20210729-WA0047.jpg
 
Back
Top Bottom