acha nichekeeKumekuwepo na mjadala kuhusu majiji.
Ukweli ni kwamba sio majiji tu ambapo yapo yenye hadhi hiyo ilihali kiuhalisia ilipaswa yawe manispaa Tu.
Leo nakupa orodha ya manispaa ziaizostahili hadhi hiyo.
1. Lindi
2. Shinyanga
3. Tabora
3. Singida
5. Kigoma
6. Songea
7. Musoma
8. Bukoba
Manispaa hizo kimiundombinu na maendeleo ya mtu mmoja mmoja bado Sana. Mfano Shinyanga nilipofika nilibak mdomo wazi.
Taja manispaa zingine
Kwangu naona ziko sawa kasoro Lindi.Kumekuwepo na mjadala kuhusu Majiji.
Ukweli ni kwamba sio Majiji tu ambapo yapo yenye hadhi hiyo ilihali kiuhalisia ilipaswa yawe manispaa Tu.
Leo nakupa orodha ya manispaa zisizostahili hadhi hiyo.
1. Lindi
2. Shinyanga
3. Tabora
3. Singida
5. Kigoma
6. Songea
7. Musoma
8. Bukoba
Manispaa hizo kimiundombinu na maendeleo ya mtu mmoja mmoja bado Sana. Mfano Shinyanga nilipofika nilibak mdomo wazi.
Taja manispaa zingine
Manispaa ya Morogoro bado sanaKumekuwepo na mjadala kuhusu Majiji.
Ukweli ni kwamba sio Majiji tu ambapo yapo yenye hadhi hiyo ilihali kiuhalisia ilipaswa yawe manispaa Tu.
Leo nakupa orodha ya manispaa zisizostahili hadhi hiyo.
1. Lindi
2. Shinyanga
3. Tabora
3. Singida
5. Kigoma
6. Songea
7. Musoma
8. Bukoba
Manispaa hizo kimiundombinu na maendeleo ya mtu mmoja mmoja bado Sana. Mfano Shinyanga nilipofika nilibak mdomo wazi.
Taja manispaa zingine
Unaijua Sumbawanga kweli wewe?Sumbawanga ilipaswa kuwa ya kwanza hapo
Ila maisha hapa matamu sanaSumbawanga ilipaswa kuwa ya kwanza hapo
Subutu.Ila maisha hapa matamu sana
Ulishawahi kufika Sumbawanga?Sumbawanga ilipaswa kuwa ya kwanza hapo
Mpaka sasa nipo Sumbawanga mkuu au nikuelekeze nilipo muda huu ujueUlishawahi kufika Sumbawanga?
Nimejenga barabara kuanzia Laela mpaka Luiche bridge....Camp ilikuwa Kihanda..... 👍Subutu.
Kuna vigezo vya eneo kuitwa Jiji, Manispaa, Mamlaka ya mji mdogo na Halmashauri ya Wilaya. Vigezo hivyo ni pamoja na:Kumekuwepo na mjadala kuhusu Majiji.
Ukweli ni kwamba sio Majiji tu ambapo yapo yenye hadhi hiyo ilihali kiuhalisia ilipaswa yawe manispaa Tu.
Leo nakupa orodha ya manispaa zisizostahili hadhi hiyo.
1. Lindi
2. Shinyanga
3. Tabora
3. Singida
5. Kigoma
6. Songea
7. Musoma
8. Bukoba
Manispaa hizo kimiundombinu na maendeleo ya mtu mmoja mmoja bado Sana. Mfano Shinyanga nilipofika nilibak mdomo wazi.
Taja manispaa zingine
Mkuu lkn Sumbawanga bado sana, tuwe wakwelNimejenga barabara kuanzia Laela mpaka Luiche bridge....Camp ilikuwa Kihanda..... 👍
Kwa nini haipaswi kuwa manispaa mkuuMpaka sasa nipo Sumbawanga mkuu au nikuelekeze nilipo muda huu ujue
Kwanza miundombinu, hebu mkuu angalia soko kuu la Sumbawanga linapaswa kuwa hivyo?Kwa nini haipaswi kuwa manispaa mkuu
Tanga kuitwa jiji ni aibu ya nchiKumekuwepo na mjadala kuhusu Majiji.
Ukweli ni kwamba sio Majiji tu ambapo yapo yenye hadhi hiyo ilihali kiuhalisia ilipaswa yawe manispaa Tu.
Leo nakupa orodha ya manispaa zisizostahili hadhi hiyo.
1. Lindi
2. Shinyanga
3. Tabora
3. Singida
5. Kigoma
6. Songea
7. Musoma
8. Bukoba
Manispaa hizo kimiundombinu na maendeleo ya mtu mmoja mmoja bado Sana. Mfano Shinyanga nilipofika nilibak mdomo wazi.
Taja manispaa zingine
Kigoma ushawahi kufika? au umejisikia kuandika tuKumekuwepo na mjadala kuhusu Majiji.
Ukweli ni kwamba sio Majiji tu ambapo yapo yenye hadhi hiyo ilihali kiuhalisia ilipaswa yawe manispaa Tu.
Leo nakupa orodha ya manispaa zisizostahili hadhi hiyo.
1. Lindi
2. Shinyanga
3. Tabora
3. Singida
5. Kigoma
6. Songea
7. Musoma
8. Bukoba
Manispaa hizo kimiundombinu na maendeleo ya mtu mmoja mmoja bado Sana. Mfano Shinyanga nilipofika nilibak mdomo wazi.
Taja manispaa zingine