Orodha ya Miji yenye hadhi isiyostahili

Orodha ya Miji yenye hadhi isiyostahili

Kumekuwepo na mjadala kuhusu Majiji.

Ukweli ni kwamba sio Majiji tu ambapo yapo yenye hadhi hiyo ilihali kiuhalisia ilipaswa yawe manispaa Tu.

Leo nakupa orodha ya manispaa zisizostahili hadhi hiyo.

1. Lindi
2. Shinyanga
3. Tabora
3. Singida
5. Kigoma
6. Songea
7. Musoma
8. Bukoba

Manispaa hizo kimiundombinu na maendeleo ya mtu mmoja mmoja bado Sana. Mfano Shinyanga nilipofika nilibak mdomo wazi.

Taja manispaa zingine
Kabla ulipaswa uweke vigezo vyote vinavyotimika/takiwa kwa eneo au mji kuwa Manispaa.(Kisiasa,kijamii,kiuchumi,kijiografia nk)
Hapo ungesaidia wachangiaji..wewe umeleta uzi kwa kutumia kipimo cha macho yako.
 
kuna wilaya ina itwa mwanga wanahadhi ya mji mdogo pale tambarare ila kiukweli ni kama kakijiji naenjoy kufika na kukaa kwakua ni home ila sio siri hata hadhi ya mji mdogo haipo labda ilikuja kwa heshima ya baadhi ya viongozi na wadau wa chama wenye heshma.....
 
Kumekuwepo na mjadala kuhusu Majiji.

Ukweli ni kwamba sio Majiji tu ambapo yapo yenye hadhi hiyo ilihali kiuhalisia ilipaswa yawe manispaa Tu.

Leo nakupa orodha ya manispaa zisizostahili hadhi hiyo.

1. Lindi
2. Shinyanga
3. Tabora
3. Singida
5. Kigoma
6. Songea
7. Musoma
8. Bukoba

Manispaa hizo kimiundombinu na maendeleo ya mtu mmoja mmoja bado Sana. Mfano Shinyanga nilipofika nilibak mdomo wazi.

Taja manispaa zingine
Lindi haina hadhi kabsa hii manispaa itaifishwe
 
Kuhusu umeme hapa nawapa kongole, pia miundombimu ya barabara na yenyewe sio haba, huu mradi unaoendelea ukikamilika mtatisha kidogo
Mimi siishi Sumbawanga ila nilikuja huko mwezi wa 6 aseeh huo mji ni tofauti sana na wengi wanavyoweza kudhani. Naona maendeleo yapo sana tu ila mapungufu hayakosekani kama maeneo ya Mandela haikupaswa kuwa vile kabisa. Nikaambiwa pia kuna hospitali mpya inajengwa maeneo ya Mtimbwa.

Sifahamu na hujanambia kuhusu huduma ya maji ikoje
 
Mimi siishi Sumbawanga ila nilikuja huko mwezi wa 6 aseeh huo mji ni tofauti sana na wengi wanavyoweza kudhani. Naona maendeleo yapo sana tu ila mapungufu hayakosekani kama maeneo ya Mandela haikupaswa kuwa vile kabisa. Nikaambiwa pia kuna hospitali mpya inajengwa maeneo ya Mtimbwa.

Sifahamu na hujanambia kuhusu huduma ya maji ikoje
Sijajua mtaani kupoje, ila kwenye Lodge niliyopo sijakutana na changamoto ya maji mwezi wa pili sasa.

lakini pia utamaduni wao wa namna wanavyojenga nyumba zao kidogo unaharibu muonekano wa mji
 
Back
Top Bottom