Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Ubwela KalikonjiMpaka sasa nipo Sumbawanga mkuu au nikuelekeze nilipo muda huu ujue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubwela KalikonjiMpaka sasa nipo Sumbawanga mkuu au nikuelekeze nilipo muda huu ujue
why mkuu? ukwel usemwe. Sumbawanga mjini haipaswi kuwa Municipal labda watoe vigezo viwili
Kabla ulipaswa uweke vigezo vyote vinavyotimika/takiwa kwa eneo au mji kuwa Manispaa.(Kisiasa,kijamii,kiuchumi,kijiografia nk)Kumekuwepo na mjadala kuhusu Majiji.
Ukweli ni kwamba sio Majiji tu ambapo yapo yenye hadhi hiyo ilihali kiuhalisia ilipaswa yawe manispaa Tu.
Leo nakupa orodha ya manispaa zisizostahili hadhi hiyo.
1. Lindi
2. Shinyanga
3. Tabora
3. Singida
5. Kigoma
6. Songea
7. Musoma
8. Bukoba
Manispaa hizo kimiundombinu na maendeleo ya mtu mmoja mmoja bado Sana. Mfano Shinyanga nilipofika nilibak mdomo wazi.
Taja manispaa zingine
Na arushaNi kama Mbeya tu isivyostahili kuwa jiji...
Majiji ni matatu tuOngeza na hizi;
Mpanda
Sumbawanga
Kwa upande wa majiji;
Mbeya
Tanga
Uwanja wa Maji Maji na Zimanimoto?Kwangu naona ziko sawa kasoro Lindi.
Songea View attachment 3064114View attachment 3064115View attachment 3064116View attachment 3064117View attachment 3064118View attachment 3064119
Bado kulinganisha na wapi?? Swanga kwa mtu mwenye utulivu wa nafsi na akili lazima afanikiwe fursa ni nyingi hasa kwa mtu kama wewe mwenye kufahamu sehemu zingine.Mkuu lkn Sumbawanga bado sana, tuwe wakwel
Kweli mkuu soko limekaa kiloko loko sana. Vipi lakini miundombinu mingine kama barabara, umeme na huduma ya maji upatikanajiKwanza miundombinu, hebu mkuu angalia soko kuu la Sumbawanga linapaswa kuwa hivyo?
Una uhakika hamna kitu? Wewe ulitaka uone kitu gani?Uwanja wa Maji Maji na Zimanimoto?
Songea hamna kitu aisee.
Kuhusu umeme hapa nawapa kongole, pia miundombimu ya barabara na yenyewe sio haba, huu mradi unaoendelea ukikamilika mtatisha kidogoKweli mkuu soko limekaa kiloko loko sana. Vipi lakini miundombinu mingine kama barabara, umeme na huduma ya maji upatikanaji
Lindi haina hadhi kabsa hii manispaa itaifishweKumekuwepo na mjadala kuhusu Majiji.
Ukweli ni kwamba sio Majiji tu ambapo yapo yenye hadhi hiyo ilihali kiuhalisia ilipaswa yawe manispaa Tu.
Leo nakupa orodha ya manispaa zisizostahili hadhi hiyo.
1. Lindi
2. Shinyanga
3. Tabora
3. Singida
5. Kigoma
6. Songea
7. Musoma
8. Bukoba
Manispaa hizo kimiundombinu na maendeleo ya mtu mmoja mmoja bado Sana. Mfano Shinyanga nilipofika nilibak mdomo wazi.
Taja manispaa zingine
Mimi siishi Sumbawanga ila nilikuja huko mwezi wa 6 aseeh huo mji ni tofauti sana na wengi wanavyoweza kudhani. Naona maendeleo yapo sana tu ila mapungufu hayakosekani kama maeneo ya Mandela haikupaswa kuwa vile kabisa. Nikaambiwa pia kuna hospitali mpya inajengwa maeneo ya Mtimbwa.Kuhusu umeme hapa nawapa kongole, pia miundombimu ya barabara na yenyewe sio haba, huu mradi unaoendelea ukikamilika mtatisha kidogo
Sijajua mtaani kupoje, ila kwenye Lodge niliyopo sijakutana na changamoto ya maji mwezi wa pili sasa.Mimi siishi Sumbawanga ila nilikuja huko mwezi wa 6 aseeh huo mji ni tofauti sana na wengi wanavyoweza kudhani. Naona maendeleo yapo sana tu ila mapungufu hayakosekani kama maeneo ya Mandela haikupaswa kuwa vile kabisa. Nikaambiwa pia kuna hospitali mpya inajengwa maeneo ya Mtimbwa.
Sifahamu na hujanambia kuhusu huduma ya maji ikoje