Labda utazame hii video kuhusu Bukoba na utaona waliioita Bukoba municipality miaka ya 90 hawakuwa wajinga....
Huu mji una busy Airport, uwanja mzr wa kapeti kaitaba, bandari ya pili kwa ukubwa kanda ya ziwa, hotel za nyota 3 kibao, mtandao mkubwa wa Barabara za lami na kwa kanda ya ziwa Bukoba ndo mji wa pili baada ya mwanza kwa idadi ya maghorofa ( sensa 2022)
Miradi inayoendelea ni ujenzi wa Barabara ya njia nne km 5, stendi ndogo ya mjini kati, stendi kubwa, chuo kikuu nk
View: https://youtu.be/rBYKFm9U19w?si=h1GCv0cpy0sG_sQN