Inastahiri kuwa jiji weka tikiNa arusha
Dar✔
Mwz✔
Dom ✔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inastahiri kuwa jiji weka tikiNa arusha
Dar✔
Mwz✔
Dom ✔
Kwanini niitoe?Tanga itoe hapo
Ni ajabu sana kwakweliSongea nayo kwa kweli imepewa hadhi ya manispaa kimakosa
Ni Songea hapo?! Wanajitahidi.Kwangu naona ziko sawa kasoro Lindi.
Songea View attachment 3064114View attachment 3064115View attachment 3064116View attachment 3064117View attachment 3064118View attachment 3064119
Niko mitaa ya Kasema hapaHuwa natoka kwenda vijijini na kurudi, sio mkazi mkuu. Njaa tu ndio imenifikisha huku, Kirando, Kipili, Kabwe, Mtowisa na maeneo mengine ndo nimekuwa nikizinguka mara nyingi
Mkuu nakubaliana nawe, zamani Tanga ilikuwa mji wenye viwanda vingi, vikiwemo:- vya nguo, plastiki, mkonge, sement, maziwa n,k; Tanga ndio mji uliopiwa na kupimika kwa ajili ya makazi ya watu na viwanda,ila nadhani kuna mdudu mtu ame idhofisha TANGASikubaliani nawe, kwa sababu, Tanga ina kila sifa ya kuitwa jiji,
1 kipato
2 viwanda
3 shughuli nyingine mbali mbali za kiuchumi
4 makusanyo ya kodi (kupitia bandarini na mpakani na inchi jirani)
5 idadi ya watu
6 miundombinu
7 kilimo (mkonge, chai kimataifa) na chakula na matunda kitaifa
Yaani karibu fursa zote zipo tanga
Na historia ya tanga miaka ya mwanzo mwanzo ya uhuru kabla ya Tanga kupigwa vita ya chini chini ilikua inaongoza baada ya dar es salaam kuchangia pato la taifa
Mapato mengi ya tanga enzi za mchonga yalienda sana kusaidia mikoa ya bara huko na kuiacha tanga hoi bin taabani, ila kwa sasa kila kitu kipo wazi na wameanza kurudi kwenye chati yao ya zamani
Tanga ni bonge la jiji na bonge la mkoa kuishi pale
NB
Ukiona hujaelewa ingia maktaba tafuta kitabu kinaitwa : ukweli kuhusu Tanzania
Mbeya waliandaa sherehe ya lift (ya ghorofa) ya kwanza Jijini Mbeya.Ni kama Mbeya tu isivyostahili kuwa jiji...
Muze hujaebdaHuwa natoka kwenda vijijini na kurudi, sio mkazi mkuu. Njaa tu ndio imenifikisha huku, Kirando, Kipili, Kabwe, Mtowisa na maeneo mengine ndo nimekuwa nikizinguka mara nyingi
Kweli kabisa, mkurugenzi aliesimamia mipango na usafi amepatendea haki kiasi chake palikuwa pa ovyo sana shy.Angalau sahivi shinyanga imeendelea kidogo barabara za mitaa zimepigwa lami na taa mitaa imepangiliwa kumebadilika mara ya kwanza kwenda 2016 ilikua ni mkoa mmoja mbovu sana ila sahivi wamefanya comeback panapendeza miti iliyopandwa pembezon mwa barabara wakati unaingia imebadili mandhari pamependeza na usafi wanazingatia
Musoma ndo sijawahi kupaelewa kabisa kabisa
Umefika kirando Republic bila kunipa taarifa Mimi mwenyeji wako mkuu?Huwa natoka kwenda vijijini na kurudi, sio mkazi mkuu. Njaa tu ndio imenifikisha huku, Kirando, Kipili, Kabwe, Mtowisa na maeneo mengine ndo nimekuwa nikizinguka mara nyingi
Baadhi ya vigezo muhimu vya kuipandsha hadhi aehemKumekuwepo na mjadala kuhusu Majiji.
Ukweli ni kwamba sio Majiji tu ambapo yapo yenye hadhi hiyo ilihali kiuhalisia ilipaswa yawe manispaa Tu.
Leo nakupa orodha ya manispaa zisizostahili hadhi hiyo.
1. Lindi
2. Shinyanga
3. Tabora
3. Singida
5. Kigoma
6. Songea
7. Musoma
8. Bukoba
Manispaa hizo kimiundombinu na maendeleo ya mtu mmoja mmoja bado Sana. Mfano Shinyanga nilipofika nilibak mdomo wazi.
Taja manispaa zingine
Ongeza;sumbawanga, katavi, musoma, mtwara, lindi, hakuna manispaa pale, ni utapeli mtupu
Hivi Tanga ni jiji? 😂😂Tanga kuitwa jiji ni aibu ya nchi
Hizo zote ulizotaja ni makao makuu ya mikoa. Ni suala la kisera makao makuu ya Mkoa kuwa Manispaa. Hata Kibaha na Njombe zitapata hadhi hiyo siku za karibuni.Kumekuwepo na mjadala kuhusu Majiji.
Ukweli ni kwamba sio Majiji tu ambapo yapo yenye hadhi hiyo ilihali kiuhalisia ilipaswa yawe manispaa Tu.
Leo nakupa orodha ya manispaa zisizostahili hadhi hiyo.
1. Lindi
2. Shinyanga
3. Tabora
3. Singida
5. Kigoma
6. Songea
7. Musoma
8. Bukoba
Manispaa hizo kimiundombinu na maendeleo ya mtu mmoja mmoja bado Sana. Mfano Shinyanga nilipofika nilibak mdomo wazi.
Taja manispaa zingine
Mkuu na Tanga pia
Kuliko dar tena!
Dar
Mwz
Dom
Majiji yangu pendwa