ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtwara inastahiki shida gesi ilipoondoka mji umepunguza sana shughuli za kimaendeleo na uchumi.sumbawanga, katavi, musoma, mtwara, lindi, hakuna manispaa pale, ni utapeli mtupu
Ni sahihi ila hapa mtashikana mashati na ChoiceVariableNi kama Mbeya tu isivyostahili kuwa jiji...
Hapo sawa kama ni manispaaMjadala NI manispaa mkuu
Hapo sawa kama ni manispaaMjadala NI manispaa mkuu
Kwa picha hizo tayar NI manispaa?Usuponde sehemu ambayo huijui kisa here say , Swax 👇👇
View attachment 3065039View attachment 3065040View attachment 3065041View attachment 3065042View attachment 3065043View attachment 3065044
Hakuna manispaa hapo, hiyo sumba wanga inafaa kuwa halmashauri ya mji mdogo size ya Gairo au kibaigwa.Kwa picha hizo tayar NI manispaa?
Kwa vigezo alivyotaja mtoa mada imezidi Miji mingine parefu ikiwemo mtandao wa Barabara, mpangilio wa Mji na idadi ya watuKwa picha hizo tayar NI manispaa?
Upo sahihi sana,inabidi irudishwe kama zamani iwe Tarafa ya Same.Mzee Msuya inawezekana kuna rafu ya ushawishi aliifanya enzi zakekuna wilaya ina itwa mwanga wanahadhi ya mji mdogo pale tambarare ila kiukweli ni kama kakijiji naenjoy kufika na kukaa kwakua ni home ila sio siri hata hadhi ya mji mdogo haipo labda ilikuja kwa heshima ya baadhi ya viongozi na wadau wa chama wenye heshma.....
Hadi leo bloangu?Shinyanga baiskeli ndiyo usafiri 😀😀
Mkuu usiifanishe Morogoro na vitu vya kijinga.Manispaa ya Morogoro bado sana
na hata kupata hoyo hadhi ya mji mdogo nahisi kuna namna mzee kahusika jiulize hospitali ya wilaya ipo milimani dah barabara ya lami inakwenda milimani kusiko na mzunguko wa biashara wanaachankupeleka dimbwi ambako kuna samaki umeme na watu wanazungusha pesa tofauti na usangi au ugweno alafu tupewe hadhi ya mji mdogo najiuliza sijui wanawaza nn...... mji usio na maji ya uhakika mji usio na stand ya kueleweka......Upo sahihi sana,inabidi irudishwe kama zamani iwe Tarafa ya Same.Mzee Msuya inawezekana kuna rafu ya ushawishi aliifanya enzi zake
Upo sahihi sana mkuu,yaani hizi hadhi waziangalie sana,siziingizwe siasa waangalie uhalisia.na hata kupata hoyo hadhi ya mji mdogo nahisi kuna namna mzee kahusika jiulize hospitali ya wilaya ipo milimani dah barabara ya lami inakwenda milimani kusiko na mzunguko wa biashara wanaachankupeleka dimbwi ambako kuna samaki umeme na watu wanazungusha pesa tofauti na usangi au ugweno alafu tupewe hadhi ya mji mdogo najiuliza sijui wanawaza nn...... mji usio na maji ya uhakika mji usio na stand ya kueleweka......
unaona hata aibu kumwambia mtu shuka mwanga stand maana dah basi tu ni home huwezi pakataa ila tupo nyuma sana yaani sanaaaaaaa
tumebaki kujisifia umeme na lami na shule ila maendeleo sifuri bora watu wamgekua na maono kama ya wazee wetu ila kila anayejipata anawekeza miji mingine maana unaweza choma mtaji kama hujui kulogw na hujui tabia za kipare alooo utakesha kuchoma mtaji tu....Upo sahihi sana mkuu,yaani hizi hadhi waziangalie sana,siziingizwe siasa waangalie uhalisia.
Imagine Mwanga imegawanywa kutoka Same tokea miaka ya mwanzoni ya themanini,ila ukiambiwa hapa ndio Mwanga,aibu unaona wewe.
German ostafrika ilikuwa tabora, usitulishe matango pori mjombaTanga ni jiji hasa, hata wajerumani walipotawala Tanganyika makao makuu ya inchi yalikuwa Tanga bwashee
Tanga ina historia na asili ya utukufu na ukubwa
Nadhani ina uwezo wa kujitegemea yenyewe pia
Wajerumani walikua Tanga, labda kama umesoma shule zinazofundisha mwanadamu alikuwa nyaniGerman ostafrika ilikuwa tabora, usitulishe matango pori mjomba
Naona unajipangia vigezo tu mzeeHata Dar haistahili kuwa jiji. Kwa vigezo Dar haina Sky Scraper hata moja. Sky Scraper inatakiwa kuwa na ghorofa 40 zinazoweza kukaliwa na urefu wa zaidi ya 150m.