Orodha ya Miji yenye hadhi isiyostahili

Orodha ya Miji yenye hadhi isiyostahili

Usuponde sehemu ambayo huijui kisa here say , Swax 👇👇
nhctanzania_1717662150005744.jpg
nhctanzania_1717662150004184.jpg
nhctanzania_1717662150005712.jpg
nhctanzania_1717662150005224.jpg
nhctanzania_1717662150005333.jpg
nhctanzania_1717662150005410.jpg
 
sumbawanga, katavi, musoma, mtwara, lindi, hakuna manispaa pale, ni utapeli mtupu
Mtwara inastahiki shida gesi ilipoondoka mji umepunguza sana shughuli za kimaendeleo na uchumi.
Kipindi cha gesi viwanja vilifia hadi million 300 walipobadili giant angani mji umepungua shughuli za kiuchumi
 
kuna wilaya ina itwa mwanga wanahadhi ya mji mdogo pale tambarare ila kiukweli ni kama kakijiji naenjoy kufika na kukaa kwakua ni home ila sio siri hata hadhi ya mji mdogo haipo labda ilikuja kwa heshima ya baadhi ya viongozi na wadau wa chama wenye heshma.....
Upo sahihi sana,inabidi irudishwe kama zamani iwe Tarafa ya Same.Mzee Msuya inawezekana kuna rafu ya ushawishi aliifanya enzi zake
 
Manispaa ya Morogoro bado sana
Mkuu usiifanishe Morogoro na vitu vya kijinga.

Ukiona hadi makampuni kama Bolt wanapeleka huduma zao sehemu fulaniujue hiyo sehemu ni kubwa.Hawakurupukagi wale
 
Upo sahihi sana,inabidi irudishwe kama zamani iwe Tarafa ya Same.Mzee Msuya inawezekana kuna rafu ya ushawishi aliifanya enzi zake
na hata kupata hoyo hadhi ya mji mdogo nahisi kuna namna mzee kahusika jiulize hospitali ya wilaya ipo milimani dah barabara ya lami inakwenda milimani kusiko na mzunguko wa biashara wanaachankupeleka dimbwi ambako kuna samaki umeme na watu wanazungusha pesa tofauti na usangi au ugweno alafu tupewe hadhi ya mji mdogo najiuliza sijui wanawaza nn...... mji usio na maji ya uhakika mji usio na stand ya kueleweka......


unaona hata aibu kumwambia mtu shuka mwanga stand maana dah basi tu ni home huwezi pakataa ila tupo nyuma sana yaani sanaaaaaaa
 
na hata kupata hoyo hadhi ya mji mdogo nahisi kuna namna mzee kahusika jiulize hospitali ya wilaya ipo milimani dah barabara ya lami inakwenda milimani kusiko na mzunguko wa biashara wanaachankupeleka dimbwi ambako kuna samaki umeme na watu wanazungusha pesa tofauti na usangi au ugweno alafu tupewe hadhi ya mji mdogo najiuliza sijui wanawaza nn...... mji usio na maji ya uhakika mji usio na stand ya kueleweka......


unaona hata aibu kumwambia mtu shuka mwanga stand maana dah basi tu ni home huwezi pakataa ila tupo nyuma sana yaani sanaaaaaaa
Upo sahihi sana mkuu,yaani hizi hadhi waziangalie sana,siziingizwe siasa waangalie uhalisia.

Imagine Mwanga imegawanywa kutoka Same tokea miaka ya mwanzoni ya themanini,ila ukiambiwa hapa ndio Mwanga,aibu unaona wewe.
 
Upo sahihi sana mkuu,yaani hizi hadhi waziangalie sana,siziingizwe siasa waangalie uhalisia.

Imagine Mwanga imegawanywa kutoka Same tokea miaka ya mwanzoni ya themanini,ila ukiambiwa hapa ndio Mwanga,aibu unaona wewe.
tumebaki kujisifia umeme na lami na shule ila maendeleo sifuri bora watu wamgekua na maono kama ya wazee wetu ila kila anayejipata anawekeza miji mingine maana unaweza choma mtaji kama hujui kulogw na hujui tabia za kipare alooo utakesha kuchoma mtaji tu....

Natamani ifike sehemu wapare wenyewe waamke maana tutaachwa na maeneo ambayo huduma za kijamii hata hazijawafikia
 
Tanga ni jiji hasa, hata wajerumani walipotawala Tanganyika makao makuu ya inchi yalikuwa Tanga bwashee
Tanga ina historia na asili ya utukufu na ukubwa
Nadhani ina uwezo wa kujitegemea yenyewe pia
German ostafrika ilikuwa tabora, usitulishe matango pori mjomba
 
Hata Dar haistahili kuwa jiji. Kwa vigezo Dar haina Sky Scraper hata moja. Sky Scraper inatakiwa kuwa na ghorofa 40 zinazoweza kukaliwa na urefu wa zaidi ya 150m.
Naona unajipangia vigezo tu mzee
Ila sio kesi,PsPF tower ni 152.8M na jengo lile la pale sam nujouma ni zaidi ya 160M na 40flrs
Nb;hakuna kigezo cha hizo mita 150 wala 40flrs popote skyscraper literally inamaanisha jengo refu kwenda juu.
Halafu kigezo cha jiji kua na skyscraper nacho umekitoa wapi??Kuna majiji kibao tu ulaya hayana majengo marefu mfano leicester city jengo refu zaidi halijafikisha 100M ina maana hata lingekua dar lisingekua refu zaidi
Haya majengo matatu ya Dar,ukiyahamishia washington DC yanakua majengo marefu zaidi kwenye hilo jiji.
 
Back
Top Bottom