Orodha ya Miji yenye hadhi isiyostahili

Orodha ya Miji yenye hadhi isiyostahili

Umeangalia upande mmoja tu. Baiskeli inakufanya usipate magonjwa na hivyo automatically unakuwa tajiri wa afya na kiuchumi. Fikiria nje ya box mkuu
Upo sahibi kabisa,hata mm nina baiskeli purposely huwa naitumia kwaajili ya mazoezi,ila kiuchumi haina msaada
 
Upo sahibi kabisa,hata mm nina baiskeli purposely huwa naitumia kwaajili ya mazoezi,ila kiuchumi haina msaada
Ina msaada sana Chukwu... Inakufanya unakuwa na afya. So kama ungekuwa unaenda hospital mara 3 kwa mwaka utaenda mara Moja au usiende kabisa. Sababu ni kwamba kisukari, pressure, obesity hata malaria zitakuwa mbali na wewe
 
Kumekuwepo na mjadala kuhusu Majiji.

Ukweli ni kwamba sio Majiji tu ambapo yapo yenye hadhi hiyo ilihali kiuhalisia ilipaswa yawe manispaa Tu.

Leo nakupa orodha ya manispaa zisizostahili hadhi hiyo.

1. Lindi
2. Shinyanga
3. Tabora
3. Singida
5. Kigoma
6. Songea
7. Musoma
8. Bukoba

Manispaa hizo kimiundombinu na maendeleo ya mtu mmoja mmoja bado Sana. Mfano Shinyanga nilipofika nilibak mdomo wazi.

Taja manispaa zingine
Sijakuelewa mantiki yako ya msingi.

Hiyo miji uliyoitaja inataka kugeuzwa majiji au unamaanisha haistahili kuwa na hadhi ya manispaa?
 
Kumekuwepo na mjadala kuhusu Majiji.

Ukweli ni kwamba sio Majiji tu ambapo yapo yenye hadhi hiyo ilihali kiuhalisia ilipaswa yawe manispaa Tu.

Leo nakupa orodha ya manispaa zisizostahili hadhi hiyo.

1. Lindi
2. Shinyanga
3. Tabora
3. Singida
5. Kigoma
6. Songea
7. Musoma
8. Bukoba

Manispaa hizo kimiundombinu na maendeleo ya mtu mmoja mmoja bado Sana. Mfano Shinyanga nilipofika nilibak mdomo wazi.

Taja manispaa zingine
Lindi sijui wakiite kijiji cha wavuvi tu,sijawahi ona manispaa ya hovyo kama lindi
 
Ina msaada sana Chukwu... Inakufanya unakuwa na afya. So kama ungekuwa unaenda hospital mara 3 kwa mwaka utaenda mara Moja au usiende kabisa. Sababu ni kwamba kisukari, pressure, obesity hata malaria zitakuwa mbali na wewe
Nikweli,ila ukipata dharura kuwahi hospital unamgonjwa anaweza kufa kwa kuchewa,Huwezi kufika eneo la kazi kwa wakati na huwezi kubeba mzigo hata gunia moja la mahindi......kwa namna nilivyoona pale Shinyanga baiskeli ni uchafu wa mji
 
kuna wilaya ina itwa mwanga wanahadhi ya mji mdogo pale tambarare ila kiukweli ni kama kakijiji naenjoy kufika na kukaa kwakua ni home ila sio siri hata hadhi ya mji mdogo haipo labda ilikuja kwa heshima ya baadhi ya viongozi na wadau wa chama wenye heshma.....
Mwanga haijawahi pewa hadhi hiyo.
 
Nimekaa Swanga Miaka 5, Ni mojawapo ya Mji uliopangiliwa hata kuliko Miji Mingi Tanzania!
 
Majiji ni matatu tu
Dar
Mwz
Dom
Kwa vigezo vya Urban proper, majiji ni Dar, Arusha na Mwanza yaani CBD. Hata Dodoma bado. Ila kwa metro majiji ni Dar, Mwanza, Dodoma, Mbeya ikifuatiwa na Tanga. Hata hivyo Morogoro na Moshi vinaweza kupewa hadhi hiyo na kuyapiku majiji kama Mbeya na Tanga, Dodoma ni bahati yake tu kwq sababu Serikali imewekeza pale lakini Dodoma ilikua haiwezi kusimama peke yake
 
Kuna vigezo vya eneo kuitwa Jiji, Manispaa, Mamlaka ya mji mdogo na Halmashauri ya Wilaya. Vigezo hivyo ni pamoja na:
1. Idadi ya watu
2. Kipato
3. Makusanyo ya kodi
4. Shughuli za kiuchumi
5.Miundo mbinu n.k
Hivyo uzingatie vigezo
Aione Watu8 Kuna vigezo hapo Mbeya inastahili kabisa kuitwa jiji
 
Kumekuwepo na mjadala kuhusu Majiji.

Ukweli ni kwamba sio Majiji tu ambapo yapo yenye hadhi hiyo ilihali kiuhalisia ilipaswa yawe manispaa Tu.

Leo nakupa orodha ya manispaa zisizostahili hadhi hiyo.

1. Lindi
2. Shinyanga
3. Tabora
3. Singida
5. Kigoma
6. Songea
7. Musoma
8. Bukoba

Manispaa hizo kimiundombinu na maendeleo ya mtu mmoja mmoja bado Sana. Mfano Shinyanga nilipofika nilibak mdomo wazi.

Taja manispaa zingine
Nimeshtushwa sana khaaa
 
Tanga kuitwa jiji ni aibu ya nchi
Sikubaliani nawe, kwa sababu, Tanga ina kila sifa ya kuitwa jiji,
1 kipato
2 viwanda
3 shughuli nyingine mbali mbali za kiuchumi
4 makusanyo ya kodi (kupitia bandarini na mpakani na inchi jirani)
5 idadi ya watu
6 miundombinu
7 kilimo (mkonge, chai kimataifa) na chakula na matunda kitaifa
Yaani karibu fursa zote zipo tanga

Na historia ya tanga miaka ya mwanzo mwanzo ya uhuru kabla ya Tanga kupigwa vita ya chini chini ilikua inaongoza baada ya dar es salaam kuchangia pato la taifa
Mapato mengi ya tanga enzi za mchonga yalienda sana kusaidia mikoa ya bara huko na kuiacha tanga hoi bin taabani, ila kwa sasa kila kitu kipo wazi na wameanza kurudi kwenye chati yao ya zamani

Tanga ni bonge la jiji na bonge la mkoa kuishi pale
NB
Ukiona hujaelewa ingia maktaba tafuta kitabu kinaitwa : ukweli kuhusu Tanzania
 
Back
Top Bottom