Orodha ya nadharia zenye utata duniani (conspiracies)

nasikia nitukio lakupangwa na FBI iliwapate uhalali wakumuua Osama be laden

over
Marekani akiamua kukuvamia anakuvamia Tu anavyotaka muda wowote.


Ghadafi alivamiwa mchana kweupe na akauawa Hadi Leo nchi yake haijastabalize
 
But still conspiracy maana kuhusu yoga kuna wqtu wanadai ni ushirikina wengine wanadai sio ushirikina km ilivo magic mushroom so still debate hakuna majibu ya moja kwa moja inabase on belief ya mtu
Ambae hawajatembea kwenye hiyo safari wanabisha waliotembea wanakubal hauna haki ya kudhibitisha kitu kama wewe haupo tayri kuingia ukafanya ukaleta majibu binafsi ata astral projection nafanya.
 
Shambulio la kigaidi September 11

9/11 itself 9+1+1 = 11
Majengo pacha kama namba 11
Filght namba 11
Abiria 254 2+5+4 = 11

Hii ni bahati tu au ilikuwaje?
Hata mimi ukijumlisha siku yangu niliyozaliwa 31/12/2002 unapata 11 lakini bado sioni bahati yangu 🤔🤔🤔🤔🤔
 
Be
Bermunda triangle
Who killed JFK?
 
Siyo zote mkuu, mimi huu ni mwaka wa pili natumia hii kitu kama siko poa na mpaka leo sijaibiwa chochote. Amini mkuu na huu ni ushahidi kutoka kwangu kabisa
Ya mavpn ni scam utakuja kujuta siku ukiibiwa vitu muhimu..
 
Siyo zote mkuu, mimi huu ni mwaka wa pili natumia hii kitu kama siko poa na mpaka leo sijaibiwa chochote. Amini mkuu na huu ni ushahidi kutoka
Inategemeana kuna watu wanatumia applications za crdb,nmb unahisi akiibiwa password sawa na aliyeibiwa account ya insta?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…