- Thread starter
- #121
Sasa ndio hawaishi watu...hakuna makazi ukoNdio maana nimekuambia sio permanent
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ndio hawaishi watu...hakuna makazi ukoNdio maana nimekuambia sio permanent
Asilimia 90 %0ya badharia hazina ukweli... Most nizakubuni hivyo siwezi umiza kichwa kudeal na vitu ambovyo ata mwenyewe huwezi proof... Nnacho amini ni existence of Godmr IQ mfafanulie zero brain
Even hii deepdown nayo ni nadharia cause haina proofAsilimia 90 %0ya badharia hazina ukweli... Most nizakubuni hivyo siwezi umiza kichwa kudeal na vitu ambovyo ata mwenyewe huwezi proof... Nnacho amini ni existence of God
Naa mii nimesema hvo hvo baada ya kupata maelezo yakeIla hii magic mushroom mbona ni ya kawaida tu,inaweza kuwa kweli,siioni utofauti wake na bangi au madawa
Kwanini hazina ukweli .. proveAsilimia 90 %0ya badharia hazina ukweli... Most nizakubuni hivyo siwezi umiza kichwa kudeal na vitu ambovyo ata mwenyewe huwezi proof... Nnacho amini ni existence of God
Unawezaje ishi kwenye barid kali vile,Even antlantic continent pale tumepigwa haiwezekani wakatafute uhai wa maisha Mars wakati kuna bara hapa hapa ulimwenguni halikaliwi na watu
Dig deepUnawezaje ishi kwenye barid kali vile,
Ila akili za mwafrika ni duni sana ndomaana afrika kuna nuka umaskini
Kule shida sio baridi ingekuwa baridi wasingekuwa wanaenda kutaliiUnawezaje ishi kwenye barid kali vile,
Ila akili za mwafrika ni duni sana ndomaana afrika kuna nuka umaskini
Ni baridi sababu oxygen ipoKule shida sio baridi ingekuwa baridi wasingekuwa wanaenda kutalii
Yaah ni kweli ndo mana pamekuwa ni temporary tuu .Kule shida sio baridi ingekuwa baridi wasingekuwa wanaenda kutalii
Born Sept 11Shambulio la kigaidi September 11
9/11 itself 9+1+1 = 11
Majengo pacha kama namba 11
Filght namba 11
Abiria 254 2+5+4 = 11
Hii ni bahati tu au ilikuwaje?
Lile bara ni ice berg na inayeyuka day after day so huwezi fanya shughuli zozote kwenye mwamba wa barafu, ndio maana hakuna miti wa kichaka chochoteNi baridi sababu oxygen ipo
We unadhani sababu ni nin kama sio barid
Hongera mkuu, what a coincidenceBorn Sept 11
Kama ndiyo hivyo kwenye orodha yako weka na diniBut still conspiracy maana kuhusu yoga kuna wqtu wanadai ni ushirikina wengine wanadai sio ushirikina km ilivo magic mushroom so still debate hakuna majibu ya moja kwa moja inabase on belief ya mtu
Dini haiwezi ingia maana hakuna mtu asiye na dini hapa dunianiKama ndiyo hivyo kwenye orodha yako weka na dini
Ndo maana hio namba 13 kwenye mpira Michael ballack alifika fainali tatu lakin zote hakubeba kombe.Inasadikika namba 13 sio ya bahati na baadhi inasadikika magorofa makubwa duniani lift zake hazina namba 13 inasadikika ni namba ya mkosi
Ni Vera kwa manufaa ungeelezea finalise za kombe lipi?Ndo maana hio namba 13 kwenye mpira Michael ballack alifika fainali tatu lakin zote hakubeba kombe.
Tutashukuru Sana ukifanya hivyoReincarnation and rebirth ni dhana halisi nikipata muda nitarejea kuzijadili.
...Unaishi Duniani Kweli ?..[emoji117] The Flat earth Reality
[emoji117] Solar system is scam
[emoji117] Space is fake
[emoji117] Planets are fake
[emoji117] Gravitational force is scam(fake)not exist
[emoji117] Satellites are fake, they use Weather balloons as flying object in the SKY but lie you sky is space, their balloons are sorrounding the earth so that they used to call those balloons as satellite.
[emoji117] Sun is local and not the star&is not located far away as they told you
[emoji117] HIV/AIDS is scam
[emoji117] All religions are fake
[emoji117] Democracy is scam
[emoji117] Capitalism is scam
[emoji117] Socialism is scam
[emoji117] NASA's moon landing was fake
[emoji117]aliens invasion is fake
[emoji117] global warming and disasters are scams, they are both made by people and not happening naturally
[emoji117] bermuda triangle's stories are scams, they's secret agenda going there
[emoji117] Mars exploring is fake
[emoji117]freemason&illuminate stories are fake
[emoji117] World's Map is fake
[emoji117] Africa's freedom is Fake
Hayo yote yameongelewa sana sehemu mbalimbali na vyanzo mbalimbali vya, so tujitahidi kusoma tuzidi kupata maarifa, nina points za kutetea hoja zote za hayo mambo ambayo watu wamekuwa wakiyaamin ni kweli na mengine wamefundishwa kuwa yako hivi, kumbe uhalisa yako kivingine, kiufupi tunaishi dunia kwa kuujua ukweli by 10% only, na 90% wengi hamujui sababu ya watu wachache kubatilisha ukweli kwa maslahi yao hapa duniani[emoji120]
....Kwa tunavyowajua Wamarekani, Wana haja Kutafuta sababu, kiasi Cha kuua ndugu zao Kwa MAELFU, ili kupata sababu kumuua Mtu MMOJA TU, Sadam ??Aisee, kwamba walikosa sababu mpaka watoe uhai wa ndugu zao!!??