kareem kim
JF-Expert Member
- Sep 18, 2015
- 459
- 697
Asante pia kwa ufafanuzi mzuri kuna jambo kubwa umeongezea hapo kwenye maana ya hizo alama ambalo lilikuwa alijajumuishwa na imekuwa faida kwetu sote.Asante sana Undava King
Mbwa akiwa anataka kukuuma au anabweka ni ishara ya usaliti yaweza kuwa pengine watu wakaribu wana mpango wa kukusaliti. Kama upo naye tu ni heri kwa maana mbwa ni rafiki wa binadamu. Nimewahi kuota sasa baada ya kusali niliona hilo kwani siku 3 mfululizo nilikuwa naota mbwa anabweka nikiwa napita nyumba ya jirani.
Kuua, ni ishara ya au maono yakumshinda adui kwa jaribu lililopo au linalo tazamia kutokea au liliwahi kutokea yaweza kuwa na maana nyingine nyingi itategemea na mihusika alivyoota na jinsi alivyofunuliwa inaweza kuwa hata roho za mizimu inamfatilia muotaji.
Kinyesi ni ishara ya kudharauliwa au kukataliwa.
Mwisho ni kumuomba Mungu akufunulie ulichokiota, maana yawezekana pia ulichokiota ni fumbo.[emoji120]
Mi nishawai kuota kuna uwazi mkubwa (tundu)kwenye mbingu,na pia nishawai kuota kiamaTumekuwa tukiota ndoto kila siku za aina mbalimbali na katika matukio tofauti tofauti wakati mwingine tumekuwa tukijiuliza kuwa kwani ndoto hii ilimaanisha nini lakini tumekuwa tukibakia njia panda tukiwa na maswali mengi sana.
Leo hii ntakusogezea aina za alama (symbolism) ambazo ni common au tuseme ujirudia mara kwa mara kwa waotaji walio wengi kiasi cha maana zake kuwa bayana kwa wafasiri ndoto, kwa kuwa ndoto ni njia ya pili ya akili kuzungumza yenyewe na kujipatia ufumbuzi kiroho na kimwili.
Ndoto zimegawanyika katika pande kuu mbili; Ndoto zinazoacha Kumbukumbu na Ndoto zinazosahulika baada ya kitendo cha kuota.
Ndoto zinazoacha Kumbukumbu ambazo ndizo hasa uleta maswali mengi ugawanyika katika makundi makuu manne;
(a) Ndoto za Kufurahisha
(b) Ndoto za Kutisha
(c) Ndoto tulivu lakini nje ya mipaka ya kifikra (maono)
(d) Ndoto za fedheha
Kwa kuwa kitendo cha kuota huwa kinakuwa mara nyingi ni kama stori na kina matukio mengi na kila mtu uota kivyake, hatuwezi kumtafsiria kila mtu ndoto yake bali katika kila ndoto kuna ile dhima kuu/ishara ambayo kila mtu uiona kwa wakati wake kwenye ndoto na asijue maana yake, hicho ndicho ntakachokusogezea hapa.
1. Kuendesha Gari
Ukiota unaendesha gari (na haikuwa matamanio ya akili yako) jua kuwa umefikia hatua ya kuweza kuyaongoza maisha yako mwenyewe, hongera.
Lakini ukiota kuwa kuna mtu mwingine ndiye kashika usukani na wewe ni abiria- kama ukimbaini sura basi tambua mtu huyo ndiyo anayeshikilia hatima ya maisha yako na kama usipombaini jua kuwa umewaachia usukani wa maisha yako watu wengine ndiyo wakuamulie.
2. Kufanya mitihani
Ulishamaliza shule lakini umekuwa bado muhanga wa kufanya mitihani ndotoni-unaandamwa na mitihani ya kimaisha na utapitia magumu mpaka ufahulu ndo usonge mbele.
3. Kurudia maisha ya shule
Unaota matendo uliyokuwa ukitenda mara kwa mara ulipokuwa shule licha ya umri ulionao- kuna jambo unakumbushwa juu ya maisha yako ya nyuma kipindi ulipokuwa na displine ya kila kitu ikiwemo muda, urafiki, uvumilivu n.k jaribu kuijeuza katika maisha yako ya sasa uishi vyema au ufanikiwe.
4. Kufanya mapenzi
Je unafanya mapenzi na mtu unayemfahamu au uliyemtaka kimapenzi hata kama haikufanikiwa- hii ni starehe ya akili tu haina shida ni sawa na ndoto nyevu.
Je, unaota unafanya mapenzi na mtu usiyemjua, kiumbe cha ajabu au umefedheheka au kujihisi karaha baada ya ndoto- jua kuwa unaandamwa na roho za mapepo au jini.
5. Mbwa
Imetokea katika ndoto zako umemwona mbwa, umeng'atwa na mbwa,unakimbizwa au unachezea mbwa (na wewe si mtu anayependa mbwa au kuwa nao muda mwingi) - hii ni ishara kuwa roho ya uzinzi ishakuvaa kama unaendekeza ngono badili mienendo yako.
6. Kupanda
Ukiona kwenye ndoto unapanda chochote iwe ni ngazi, kamba au chochote kile kuelekea juu- hii ni ishara njema kuwa utafanikiwa au utapandishwa cheo kazini.
7. Kushuka
Kushuka kwa namna yeyote ile kutoka juu na kurudi chini- ni ishara mbaya ya kuporomoka kimaisha.
8. Kuofia kudondokea shimoni/kujiona unadondokea katika umbali mrefu ambao hujui mwisho wake.
Ni ishara inayoashiria kuwa bado unasafiri ndefu katika maisha yako ya hapa duniani, subira na tahadhari ni muhimu mpaka kufikia lengo.
9. Kupaa
Ukiota unapaa iwe una mabawa, au unapaa mithili ya superman na ikiwa kitendo hiki ukupatia furaha- jua kuwa ni roho yako imefikia kiwango cha juu cha utulivu hivyo kinastarehe na hamna tatizo.
10. Kuoga
Kuota unaoga ni ishara ya kuondokana na mabaya iwe ni matendo,laana au dhambi hivyo umekuwa msafi kiroho,
Endapo ukibaini katika ndoto maji unayoogea ni masafi basi ni habari njema ila kama ni machafu ni ishara ya mabalaa au magonjwa kukuandama.
11. Kula nyama
Kula nyama ya haina yoyote ile ndotoni iwe ni mbichi, iliyopikwa au choma ni ishara mbaya ya kukumbwa na mikosi au kuandamwa na roho za kuzimu.
12. Kula pamoja na wengine/familia
Ukijiona unakula na wengine katika kundi au wanafamilia na marafiki huku mood yenu ni yenye furaha hii ni ishara kuwa maisha unayoishi hivi sasa ni yenye kukupa furaha.
Tofauti na hapo kula peke yako au na watu usiowajua si ishara njema lakini ikitokea wakati wa kula ujafanikiwa kula hii ni ishara njema ya kuwa na bahati nzuri katika mambo yako.
13. Kunywa maziwa
Ikitokea unakunywa maziwa hasa freshi katika ndoto huku ukiwa na furaha pasina shaka hii ni ishara njema ya kufanikiwa kimaisha lakini ikitokea maziwa haya yanakutia mashaka,au ulishinikizwa kuyanywa au yananuka ni ishara ya kurogwa au kuharibikiwa.
14. Nyoka
Ukimwona nyoka yeyote yule katika ndoto yako ni ishara ya uadui. Ikitokea ukamuua-hiyo ni ishara njema kuwa umeishinda roho ovu
Na ikitokea akakugonga wakati unapambana nae ni ishara kuwa adui yako au mchawi amefanikiwa au anakaribia kukudhuru hivyo wapaswa kujilinda zaidi.
15. Kuua
Ukiona umetekeleza kitendo chochote cha mauaji katika ndoto iwe kwa kukusudia au pasipo kukusudia wakati jambo hilo halikuwa na umuhimu wowote katika kujiokoa- jua unaandamwa na roho ya mauti.
16. Kufa
Ukiota umekufa ni ishara ya mwanzo mwema wa maisha mapya au phase nyingine tena ya maisha ya hapa duniani imeanza tena na ni ishara ya kuishi maisha marefu.
17. Kuota marehemu
Ukiota marehemu anaongea na wewe au anakuomba umpe au umfanyie kitu fulani au mnapiga stori za kawaida -jua ni kweli kuwa roho zenu bado zina mawasiliano na unapaswa kufikiria ni ujumbe gani marehemu anajaribu kukupa au ni kitu gani hakukamilisha anachotaka umsaidie kukikamilisha.
18. Kuongea kiingereza
Kama ujuhi hata kingereza cha salamu lakini ghafla huko zako ndotoni unatiririka ung'eng'e bila taabu- ni ishara ya kupata ufumbuzi juu ya jambo ulilohisi haliwezekani kwa njia itakayokustaajabisha.
19. Kuimba
Kuota unaimba ndotoni na unajikuta unafatisha beti na stanza zake pasipo kukosea huku ukihisi mpaka na ala za muziki unazisikia -ni ishara kuwa unatakiwa kuamka na ukazime mziki uliouacha ukiimba kwani unaufanya ubongo wako ushindwe kupumzika.
20. Kuota umeamka na unajaribu kutoka kitandani na haiwezekani
Ni ishara ya kuhamka katika mwili wa ndotoni (kuhisi umehamka kumbe bado unaota) hii haina madhara yeyote zaidi ya kukupa uzoefu namna ubongo wako unavyotenda kazi.
21.Kuota huna nguvu mwilini kabisa
Kuota kuwa nguvu zimekuishia kiasi kwamba huwezi inua hata kidole au unapumua kwa taabu au umekabwa- Ni ishara ya mlalo mbaya hivyo akili inajaribu kukukumbusha ufanye lolote mwili upate oksijeni ya kutosha, aidha uvute hewa mara nyingi kisha ujitingishe ghafla ili mwili upate nguvu na wewe uweze kujigeuza au kuhitimisha haina uhusiano wowote na zimwi.
22. Kuota unatenda hisani/watoa msaada
Ni ishara ya kufanikiwa kwa kutenda yaliyo mema.
23. kuota unawanga au unawangiwa na watu unaowafahamu hasa ndugu, familia au marafiki
Ni ishara kuwa wachawi wanakupumbaza na wanakutumia katika shughuli zao za kishirikina hivyo unapaswa kuwa makini kabla ya kutoa shutuma.
24. Kuota anga iwe ni nyota, mwezi au jua
Ni ishara ya kuanza au kufunguka kwa jicho la kiroho na hivyo jumbe nyingi utazozipata kwa namna hii ni maono.
25. Kuota mtu maarufu
Kumwota mtu yeyote maarufu awe ni msanii, mwanasiasa, mchezaji n.k ni ishara nzuri ya kufanikiwa au kujitwalia heshima au umaarufu.
26. Kuota unalia/una wasiwasi
Ni ishara nzuri kuwa utafanikiwa katika magumu yako na utakuwa na mwenye furaha.
27. Kuota uko uchi mbele za watu
Ni ishara kuwa kuna jambo lisilo zuilika litakutia fedheha au aibu.
28. Kuota unafanya mapenzi na ndugu au mzazi
Ni ishara ya upendo usio na mashaka kati yako na uliyemwota, hivyo usifikirie ni ndoto mbaya kwa kuwa imeenda kinyume na ulivyodhania.
29. Kuota unakojoa
Ni ishara kuwa kibofu cha mkojo kimejaa na hivyo unapata ishara uamke ukakojoe hivyo ukishindwa kutofautisha kati ya ndoto na reality lazima uachie mzigo palepale kitandani.
30. Kuota kinyesi
Endapo umejipaka au kuona au kuguswa na kinyesi katika ndoto ni ishara njema kidunia kuwa utapata fedha.
Lakini ikitokea umezungukwa na mazingira machafu yenye vinyesi na hali inayokera ni ishara ya kuchafuliwa nyota na wanaokuonea kijicho.
31. Kuota umeokota pesa
Ni ishara ya kupoteza hela zako au kufilisika.
32. Kuota umeng'atwa
Ni ishara ya kurogwa au kurushiwa uchawi
33. Kuota unakimbizwa
Ni kukimbia kivuli chako mwenyewe, ni ishara ya kujikataa na kuyakimbia matatizo yako mwenyewe ambayo unapaswa kuyatatua kwa maana popote utakapoenda yatakufuata tu.
34. Kuota umefukuzwa kazi
Ni ishara kuwa tegemea habari njema kazini kwako.
35. Kuota umefeli mtihani
Ni ishara kuwa tegemea habari njema.
36. Kuota maji
Ni ishara ya utulivu wa nafsi na mood yako, yakiwa matulivu ni ishara njema ila yakiwa na mawimbi makali ni ishara ya kukumbwa na hali ya hasira kali au moody
37. Kuota unasali
Ni ishara njema ya kuendelea kukomaa kiroho nakuzishinda roho ovu.
38. Kuota unapita kwenye msitu wakutisha au hifadhi yenye wanyama wakali
Ni ishara kuwa roho yako inawindwa na roho za mauti na ikiwa unawapita wanyama hao pasipo kudhurika basi tambua kuwa unakinga imara ya kiroho inayokuponya dhidi yao.
39. Kuota unacheka
Ni ishara mbaya na kinyume chake inamaana utalia na kujuta.
40. Kuota unaomboleza au kuzika
Ni ishara kuwa utasahau mateso yote na kufurahia maisha.
41. Kuota unapanda mlima mrefu kwa shida na kufika kileleni
Ni ishara kuwa utapitia njia ndefu na ngumu kuelekea yalipo mafanikio yako ila ukishayafikia utokaa ushuke tena kimaisha.
42. Kuota umedumbukia kwenye shimo refu lenye kiza kinene na huwezi kutoka
Ni ishara ya kujihisi kukwama katika kila jambo lako na uoni wapi pa kujishkiza.
43. Kuota unagombezwa
Ni ishara kuwa unakanywa au unatakiwa ujirekebishe na kuacha kufanya jambo fulani maishani mwako ambalo si sahihi.
44. Kuota umeachwa na usafiri
Usafiri ni maisha na wewe ndiye msafiri, hii ni ishara kuwa soma majira ya nyakati na ujipambanie mapema kabla haujaachwa na muda.
Ulikuwa unaangalia movie Gani kabla ya kulala?ya kivita?kiinteligensia?Mimi nimewahi kuota vita napigana na watu wa mataifa ya nje, nimeota nipo natembea sokoni, ghafla inapigwa ambushi. Ndege za kivita, silaha yani ni vita kabisa. At the end of the day nikapambana sana, wenzangu wengi walikufa kwenye hiyo vita, mwisho wa siku nili survive kwani nilimteka kiongozi wa hao wazungu. Hivyo waka surrender lakini niliumia kwa kupata majeraha kadhaa, at the end of the day nikademand pesa nikapewa dollar kadhaa na kumuachia huyo kiongozi wao.
Hiyo ndoto nilivyoamka nilijihisi kabisa uchovu. Acha tu.
Ndoto si nadharia kwa kuwa kuna uthibitisho wa kisayansi kuwa binadamu na viumbe hai wengine uota.Theory tu, vp kama leo niliota kupanda kesho nikaota kushuka?.
Maisha ni zaidi ya ndoto
Ukielezea vizuri kwa kirefu tunaweza kupata picha japo kidogo ilikuaje ndoto yako na ilikuwa na ujumbe upi, mfano matukio yalivyokuwa mpaka mbingu ukaiona namna hiyo,ilikuwa ni mida gani wakati unaota, vipi hali yako ya Kiimani kwa nyakati hizo je ulikuwa ukimchamungu sana au ulikuwa ukifanya meditation, kuzimu uliona nini n.kMi nishawai kuota kuna uwazi mkubwa (tundu)kwenye mbingu,na pia nishawai kuota kiama
Umetufumbua macho mkuu. Nami nikapata mwangq si rahisi.Asante pia kwa ufafanuzi mzuri kuna jambo kubwa umeongezea hapo kwenye maana ya hizo alama ambalo lilikuwa alijajumuishwa na imekuwa faida kwetu sote.
inaweza ikawa nje ya msaada lakini kwakua wewe ni mbobezi Nimeona sio mbaya nikiuliza.Imetokea nimeota napiga nyoka ndotoni alafu kesho yake nikamuona nyoka nje ya nyumba yangu nikampiga kweli hii ni ishara ya nini Mkuu?
Tumekuwa tukiota ndoto kila siku za aina mbalimbali na katika matukio tofauti tofauti wakati mwingine tumekuwa tukijiuliza kuwa kwani ndoto hii ilimaanisha nini lakini tumekuwa tukibakia njia panda tukiwa na maswali mengi sana.
Leo hii ntakusogezea aina za alama (symbolism) ambazo ni common au tuseme ujirudia mara kwa mara kwa waotaji walio wengi kiasi cha maana zake kuwa bayana kwa wafasiri ndoto, kwa kuwa ndoto ni njia ya pili ya akili kuzungumza yenyewe na kujipatia ufumbuzi kiroho na kimwili.
Ndoto zimegawanyika katika pande kuu mbili; Ndoto zinazoacha Kumbukumbu na Ndoto zinazosahulika baada ya kitendo cha kuota.
Ndoto zinazoacha Kumbukumbu ambazo ndizo hasa uleta maswali mengi ugawanyika katika makundi makuu manne;
(a) Ndoto za Kufurahisha
(b) Ndoto za Kutisha
(c) Ndoto tulivu lakini nje ya mipaka ya kifikra (maono)
(d) Ndoto za fedheha
Kwa kuwa kitendo cha kuota huwa kinakuwa mara nyingi ni kama stori na kina matukio mengi na kila mtu uota kivyake, hatuwezi kumtafsiria kila mtu ndoto yake bali katika kila ndoto kuna ile dhima kuu/ishara ambayo kila mtu uiona kwa wakati wake kwenye ndoto na asijue maana yake, hicho ndicho ntakachokusogezea hapa.
1. Kuendesha Gari
Ukiota unaendesha gari (na haikuwa matamanio ya akili yako) jua kuwa umefikia hatua ya kuweza kuyaongoza maisha yako mwenyewe, hongera.
Lakini ukiota kuwa kuna mtu mwingine ndiye kashika usukani na wewe ni abiria- kama ukimbaini sura basi tambua mtu huyo ndiyo anayeshikilia hatima ya maisha yako na kama usipombaini jua kuwa umewaachia usukani wa maisha yako watu wengine ndiyo wakuamulie.
2. Kufanya mitihani
Ulishamaliza shule lakini umekuwa bado muhanga wa kufanya mitihani ndotoni-unaandamwa na mitihani ya kimaisha na utapitia magumu mpaka ufahulu ndo usonge mbele.
3. Kurudia maisha ya shule
Unaota matendo uliyokuwa ukitenda mara kwa mara ulipokuwa shule licha ya umri ulionao- kuna jambo unakumbushwa juu ya maisha yako ya nyuma kipindi ulipokuwa na displine ya kila kitu ikiwemo muda, urafiki, uvumilivu n.k jaribu kuijeuza katika maisha yako ya sasa uishi vyema au ufanikiwe.
4. Kufanya mapenzi
Je unafanya mapenzi na mtu unayemfahamu au uliyemtaka kimapenzi hata kama haikufanikiwa- hii ni starehe ya akili tu haina shida ni sawa na ndoto nyevu.
Je, unaota unafanya mapenzi na mtu usiyemjua, kiumbe cha ajabu au umefedheheka au kujihisi karaha baada ya ndoto- jua kuwa unaandamwa na roho za mapepo au jini.
5. Mbwa
Imetokea katika ndoto zako umemwona mbwa, umeng'atwa na mbwa,unakimbizwa au unachezea mbwa (na wewe si mtu anayependa mbwa au kuwa nao muda mwingi) - hii ni ishara kuwa roho ya uzinzi ishakuvaa kama unaendekeza ngono badili mienendo yako.
6. Kupanda
Ukiona kwenye ndoto unapanda chochote iwe ni ngazi, kamba au chochote kile kuelekea juu- hii ni ishara njema kuwa utafanikiwa au utapandishwa cheo kazini.
7. Kushuka
Kushuka kwa namna yeyote ile kutoka juu na kurudi chini- ni ishara mbaya ya kuporomoka kimaisha.
8. Kuofia kudondokea shimoni/kujiona unadondokea katika umbali mrefu ambao hujui mwisho wake.
Ni ishara inayoashiria kuwa bado unasafiri ndefu katika maisha yako ya hapa duniani, subira na tahadhari ni muhimu mpaka kufikia lengo.
9. Kupaa
Ukiota unapaa iwe una mabawa, au unapaa mithili ya superman na ikiwa kitendo hiki ukupatia furaha- jua kuwa ni roho yako imefikia kiwango cha juu cha utulivu hivyo kinastarehe na hamna tatizo.
10. Kuoga
Kuota unaoga ni ishara ya kuondokana na mabaya iwe ni matendo,laana au dhambi hivyo umekuwa msafi kiroho,
Endapo ukibaini katika ndoto maji unayoogea ni masafi basi ni habari njema ila kama ni machafu ni ishara ya mabalaa au magonjwa kukuandama.
11. Kula nyama
Kula nyama ya haina yoyote ile ndotoni iwe ni mbichi, iliyopikwa au choma ni ishara mbaya ya kukumbwa na mikosi au kuandamwa na roho za kuzimu.
12. Kula pamoja na wengine/familia
Ukijiona unakula na wengine katika kundi au wanafamilia na marafiki huku mood yenu ni yenye furaha hii ni ishara kuwa maisha unayoishi hivi sasa ni yenye kukupa furaha.
Tofauti na hapo kula peke yako au na watu usiowajua si ishara njema lakini ikitokea wakati wa kula ujafanikiwa kula hii ni ishara njema ya kuwa na bahati nzuri katika mambo yako.
13. Kunywa maziwa
Ikitokea unakunywa maziwa hasa freshi katika ndoto huku ukiwa na furaha pasina shaka hii ni ishara njema ya kufanikiwa kimaisha lakini ikitokea maziwa haya yanakutia mashaka,au ulishinikizwa kuyanywa au yananuka ni ishara ya kurogwa au kuharibikiwa.
14. Nyoka
Ukimwona nyoka yeyote yule katika ndoto yako ni ishara ya uadui. Ikitokea ukamuua-hiyo ni ishara njema kuwa umeishinda roho ovu
Na ikitokea akakugonga wakati unapambana nae ni ishara kuwa adui yako au mchawi amefanikiwa au anakaribia kukudhuru hivyo wapaswa kujilinda zaidi.
15. Kuua
Ukiona umetekeleza kitendo chochote cha mauaji katika ndoto iwe kwa kukusudia au pasipo kukusudia wakati jambo hilo halikuwa na umuhimu wowote katika kujiokoa- jua unaandamwa na roho ya mauti.
16. Kufa
Ukiota umekufa ni ishara ya mwanzo mwema wa maisha mapya au phase nyingine tena ya maisha ya hapa duniani imeanza tena na ni ishara ya kuishi maisha marefu.
17. Kuota marehemu
Ukiota marehemu anaongea na wewe au anakuomba umpe au umfanyie kitu fulani au mnapiga stori za kawaida -jua ni kweli kuwa roho zenu bado zina mawasiliano na unapaswa kufikiria ni ujumbe gani marehemu anajaribu kukupa au ni kitu gani hakukamilisha anachotaka umsaidie kukikamilisha.
18. Kuongea kiingereza
Kama ujuhi hata kingereza cha salamu lakini ghafla huko zako ndotoni unatiririka ung'eng'e bila taabu- ni ishara ya kupata ufumbuzi juu ya jambo ulilohisi haliwezekani kwa njia itakayokustaajabisha.
19. Kuimba
Kuota unaimba ndotoni na unajikuta unafatisha beti na stanza zake pasipo kukosea huku ukihisi mpaka na ala za muziki unazisikia -ni ishara kuwa unatakiwa kuamka na ukazime mziki uliouacha ukiimba kwani unaufanya ubongo wako ushindwe kupumzika.
20. Kuota umeamka na unajaribu kutoka kitandani na haiwezekani
Ni ishara ya kuhamka katika mwili wa ndotoni (kuhisi umehamka kumbe bado unaota) hii haina madhara yeyote zaidi ya kukupa uzoefu namna ubongo wako unavyotenda kazi.
21.Kuota huna nguvu mwilini kabisa
Kuota kuwa nguvu zimekuishia kiasi kwamba huwezi inua hata kidole au unapumua kwa taabu au umekabwa- Ni ishara ya mlalo mbaya hivyo akili inajaribu kukukumbusha ufanye lolote mwili upate oksijeni ya kutosha, aidha uvute hewa mara nyingi kisha ujitingishe ghafla ili mwili upate nguvu na wewe uweze kujigeuza au kuhitimisha haina uhusiano wowote na zimwi.
22. Kuota unatenda hisani/watoa msaada
Ni ishara ya kufanikiwa kwa kutenda yaliyo mema.
23. kuota unawanga au unawangiwa na watu unaowafahamu hasa ndugu, familia au marafiki
Ni ishara kuwa wachawi wanakupumbaza na wanakutumia katika shughuli zao za kishirikina hivyo unapaswa kuwa makini kabla ya kutoa shutuma.
24. Kuota anga iwe ni nyota, mwezi au jua
Ni ishara ya kuanza au kufunguka kwa jicho la kiroho na hivyo jumbe nyingi utazozipata kwa namna hii ni maono.
25. Kuota mtu maarufu
Kumwota mtu yeyote maarufu awe ni msanii, mwanasiasa, mchezaji n.k ni ishara nzuri ya kufanikiwa au kujitwalia heshima au umaarufu.
26. Kuota unalia/una wasiwasi
Ni ishara nzuri kuwa utafanikiwa katika magumu yako na utakuwa na mwenye furaha.
27. Kuota uko uchi mbele za watu
Ni ishara kuwa kuna jambo lisilo zuilika litakutia fedheha au aibu.
28. Kuota unafanya mapenzi na ndugu au mzazi
Ni ishara ya upendo usio na mashaka kati yako na uliyemwota, hivyo usifikirie ni ndoto mbaya kwa kuwa imeenda kinyume na ulivyodhania.
29. Kuota unakojoa
Ni ishara kuwa kibofu cha mkojo kimejaa na hivyo unapata ishara uamke ukakojoe hivyo ukishindwa kutofautisha kati ya ndoto na reality lazima uachie mzigo palepale kitandani.
30. Kuota kinyesi
Endapo umejipaka au kuona au kuguswa na kinyesi katika ndoto ni ishara njema kidunia kuwa utapata fedha.
Lakini ikitokea umezungukwa na mazingira machafu yenye vinyesi na hali inayokera ni ishara ya kuchafuliwa nyota na wanaokuonea kijicho.
31. Kuota umeokota pesa
Ni ishara ya kupoteza hela zako au kufilisika.
32. Kuota umeng'atwa
Ni ishara ya kurogwa au kurushiwa uchawi
33. Kuota unakimbizwa
Ni kukimbia kivuli chako mwenyewe, ni ishara ya kujikataa na kuyakimbia matatizo yako mwenyewe ambayo unapaswa kuyatatua kwa maana popote utakapoenda yatakufuata tu.
34. Kuota umefukuzwa kazi
Ni ishara kuwa tegemea habari njema kazini kwako.
35. Kuota umefeli mtihani
Ni ishara kuwa tegemea habari njema.
36. Kuota maji
Ni ishara ya utulivu wa nafsi na mood yako, yakiwa matulivu ni ishara njema ila yakiwa na mawimbi makali ni ishara ya kukumbwa na hali ya hasira kali au moody
37. Kuota unasali
Ni ishara njema ya kuendelea kukomaa kiroho nakuzishinda roho ovu.
38. Kuota unapita kwenye msitu wakutisha au hifadhi yenye wanyama wakali
Ni ishara kuwa roho yako inawindwa na roho za mauti na ikiwa unawapita wanyama hao pasipo kudhurika basi tambua kuwa unakinga imara ya kiroho inayokuponya dhidi yao.
39. Kuota unacheka
Ni ishara mbaya na kinyume chake inamaana utalia na kujuta.
40. Kuota unaomboleza au kuzika
Ni ishara kuwa utasahau mateso yote na kufurahia maisha.
41. Kuota unapanda mlima mrefu kwa shida na kufika kileleni
Ni ishara kuwa utapitia njia ndefu na ngumu kuelekea yalipo mafanikio yako ila ukishayafikia utokaa ushuke tena kimaisha.
42. Kuota umedumbukia kwenye shimo refu lenye kiza kinene na huwezi kutoka
Ni ishara ya kujihisi kukwama katika kila jambo lako na uoni wapi pa kujishkiza.
43. Kuota unagombezwa
Ni ishara kuwa unakanywa au unatakiwa ujirekebishe na kuacha kufanya jambo fulani maishani mwako ambalo si sahihi.
44. Kuota umeachwa na usafiri
Usafiri ni maisha na wewe ndiye msafiri, hii ni ishara kuwa soma majira ya nyakati na ujipambanie mapema kabla haujaachwa na muda.
Huwa sikumbuki kuota ndoto mara kwa mara
Week tatu zimepita nimeota nimejifungua mtoto wa kike mzuri sana,kiukweli hata mimi kwenye ndoto nilikuwa siamini kama ni wangu
Cha kushangaza watu wengi walikuwa wananipa hongera haswa maadui wananipongeza sana watu ambao hata hatuongei ila kwenye ndoto tumeongea
Kiufupi kila mtu alimfurahia huyu mtoto mimi pia
Maana yake inaweza kuwa nini?
Inamaanisha katika safari yako ya maisha bado kuna mikwamo kadhaa kila unapojaribu kupiga hatua unakumbana na ugumu.iyo ya kuendesha gari waga inanikumba sana, na si gari tu yani gari,pikpi,trekta ajabu ni kwamba natia gia nakanyaga moto chombo inatembea chakushangaza ni kuwa naendesha hatua kadhaa tu inazima na kugoma hata kuwaka na ndo unakuwa mwisho.
hii imekaaje!!
Ni kweli ila kama una Imani ktk Yesu Kristo unaweza badilishaaa kwa maombi ktk Jina la Yesu na hayatatokea ktk Hali ya kifizikia.. Au mwili. La msingi uwahi tu kuomba Mara unapoamka.Maajabu ya ndoto ni kuwa ndoto ni kitu ambacho kimeshatimilika, tiyari katika ulimwengu wa kiroho imeshatokea hivyo kilichobaki ni ukamilisho tu katika ulimwengu wa kifizikia (kimwili) hivyo huwezi zuia isitokee mara nyingi lazima itokee ndipo unakumbuka kuwa kuna jambo niliota kama hili kuwa litatokea.
Fikra za ndani ambazo ndiyo uhalisia wako zinajaribu kukuonesha kuwa upaswi kujali maoni ya watu au kipi wanawaza juu yako, bali ondoa dhana zinazokufanya usiwe huru/kupiga hatua au kubaki msiri kwa kuofia wengine wakati vitendo vyao havina madhara yeyote kwako.Juzi nimeota natembea barabarani uchiii kabisa cha ajabu hakuna anaenishangaa na mimi nipo natembea tu hata sijizibi watu wasione....kwamba ndio nitaaibika maana yake???[emoji848]