Orodha ya ndoto (karibia zote) na maana yake
Kila kitu kamaliza hapo uvinza lazima na,hadi jini wa kike wanamkoboa 😅
Akiamka asubuhi papuchi inanyevua nyevua kwa utamu
Dooohhh pole sana kwake na hongera kwa mbali
Atafute msaada maana akishazoea kwisha habari yake ni mwendo wa unyevu nyevu tuu
 
Naona umeuliza swali na umejijibu, ila unachohisi ndicho.
Achana na kina Mwamposa watam manipulate wanavyotaka maisha yake yote maana healing zao ni za muda tu ili uwe hooked kwao

Sijui ni wa imani gani lakini kama unania kwel funga siku 7 uwe unakula jioni tu, katika siku hizo
--acha kufanya mapenzi, (kama hajaolewa aache paka atakapo olewa)
--acha kuangalia picha au video za ngono( hapa aache milele)
--usiperuzi mitandaoni ndani ya wiki hiyo (unataka kupona Nisikilize mim)
--Kimbia mazungumzo yenye mwelekeo wa ngono(be serious)
-- Mwisho ndani ya mfungo huo omba asubuhi mchana na jioni kupitia damu ya Yesu kristo itegue maagano yote uliyoingia kwakujua ama kwa kutokujua halafu amini kutoka moyoni

Masharti haya kama angekupa mganga wakienyeji ungeyatekeleza kwauaminifu wikinzima, ila kwa habari ya Mungu tunapata uvivu, kama unania usiwe mmoja wapo

Nb; usirudie njia zako mbaya

Ameen, asante kwa ushauri huu, ntampatia na nitamsimamia atimize haya. Be blessed
 
Naomba ushauri juu ya suala hili, nina rafiki yangu wa kike yeye anasema mara kwa mara amekua akiota anafanya mapenzi na wanawake tofauti tofauti, yani anaweza akaota anafanya romance na huyo mwanamke, lakini sura haionekani.
Nenda ukapime afya ya akili yako alafu inaonekana una hizo mentality za ki-lesbian ndio maana ila anza na afya ya akili akili yako inashida

Ushauri huo hapo chukua
 
Habari ya kwenu jamani,

Naomba ushauri juu ya suala hili, nina rafiki yangu wa kike yeye anasema mara kwa mara amekua akiota anafanya mapenzi na wanawake tofauti tofauti, yani anaweza akaota anafanya romance na huyo mwanamke, lakini sura haionekani.

Pia amekua anaota anataka kufanya mapenzi na wanaume ila sura hawaoni ila anauwezo wa kushuka uume wao na anaota kama vile yuko nao live. Sometimes hao wanaume huwa wanakuja kwa sura ya kaka yake.

Je, inawezekana akawa ikawa ndio jini mahaba? Au ni kitu gani na je nimpe ushauri gani juu ya suala hili?

Na pia anasema katika maisha ya kawaida hata akifanya mapenzi na mwanaume hajawahi kusikia raha yoyote, je inawezekana ni hilo jini ndio limemshikilia.

Naombeni maoni yenu wadau nijue tunamsaidiaje mdada huyu.

Asanteni.
Mi ntashughulika na hapo aliposema akifanya mapenzi ya kweli asikii raha!! Nipe namba yake chapi tatizo litaisha
 
Hizo ni nyege tu na muda mwingi wa mchana anafikiria kufanya mapenzi kwa hiyo ubongo usiku unatafsiri...mwambie aiachie mbususu wana waichakate atakushukuru
 
Ungeacha namba zako za simu na email kwa ushauri zaidi wale wa kufanya kazi ya ushauri wa kujitolea wangeruka na hizo namba kumsaidia zaidi aondokane na hilo balaa..
 
Habari ya kwenu jamani,

Naomba ushauri juu ya suala hili, nina rafiki yangu wa kike yeye anasema mara kwa mara amekua akiota anafanya mapenzi na wanawake tofauti tofauti, yani anaweza akaota anafanya romance na huyo mwanamke, lakini sura haionekani.

Pia amekua anaota anataka kufanya mapenzi na wanaume ila sura hawaoni ila anauwezo wa kushuka uume wao na anaota kama vile yuko nao live. Sometimes hao wanaume huwa wanakuja kwa sura ya kaka yake.

Je, inawezekana akawa ikawa ndio jini mahaba? Au ni kitu gani na je nimpe ushauri gani juu ya suala hili?

Na pia anasema katika maisha ya kawaida hata akifanya mapenzi na mwanaume hajawahi kusikia raha yoyote, je inawezekana ni hilo jini ndio limemshikilia.

Naombeni maoni yenu wadau nijue tunamsaidiaje mdada huyu.

Asanteni.
Muda si Mrefu atakuwa hana hamu ya Mapenzi Kabisa yaani ukimuomba utamu atakwambia kachoka au mpaka umfunge kamba kama ng'ombe mkorofi anaekamuliwa
 
Naomba ushauri juu ya suala hili, nina rafiki yangu wa kike yeye anasema mara kwa mara amekua akiota anafanya mapenzi na wanawake tofauti tofauti, yani anaweza akaota anafanya romance na huyo mwanamke, lakini sura haionekani.
Njoo inbox nipe no. zake au hata kama ni wewe tiba ipo ondoa wasiwasi.
 
Nimeota nataka kufanya mapenzi na binamu yangu, baada ya maandalizi yote ikafika wakati wa kuingia ukeni. Wakati naanza kuingiza uume ulisinyaa sana hadi kupotea kabisa na kubakia kinundu tu sehemu ya uume.

Je hii ndoto inawezakuwa na maana gani?
 
Nimeota nataka kufanya mapenzi na binamu yangu, baada ya maandalizi yote ikafika wakati wa kuingia ukeni. Wakati naanza kuingiza uume ulisinyaa sana hadi kupotea kabisa na kubakia kinundu tu sehemu ya uume.

Je hii ndoto inawezakuwa na maana gani?

Una pata pesa leo tena nyingi
 
Back
Top Bottom