Orodha ya ndoto (karibia zote) na maana yake
Nyege tu hizo
anahitaji dyudyu huyo
 
Habari ya kwenu jamani,

Naomba ushauri juu ya suala hili, nina rafiki yangu wa kike yeye anasema mara kwa mara amekua akiota anafanya mapenzi na wanawake tofauti tofauti, yani anaweza akaota anafanya romance na huyo mwanamke, lakini sura haionekani.

Pia amekua anaota anataka kufanya mapenzi na wanaume ila sura hawaoni ila anauwezo wa kushuka uume wao na anaota kama vile yuko nao live. Sometimes hao wanaume huwa wanakuja kwa sura ya kaka yake.

Je, inawezekana akawa ikawa ndio jini mahaba? Au ni kitu gani na je nimpe ushauri gani juu ya suala hili?

Na pia anasema katika maisha ya kawaida hata akifanya mapenzi na mwanaume hajawahi kusikia raha yoyote, je inawezekana ni hilo jini ndio limemshikilia.

Naombeni maoni yenu wadau nijue tunamsaidiaje mdada huyu.

Asanteni.
Mlete tumpelekee moto atafurahi mwenyewe na ndoto hatapata.
Nikishindwa basi tutamtafuta Beesmom amfundishe kitu kinaitwa self service
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]me nilidhan hafurahii kumbe hadi BJ anapiga
Vipi na jini anazama uvinzani?
Kila kitu kamaliza hapo uvinza lazima na,hadi jini wa kike wanamkoboa 😅
Akiamka asubuhi papuchi inanyevua nyevua kwa utamu
 
Habari ya kwenu jamani,

Naomba ushauri juu ya suala hili, nina rafiki yangu wa kike yeye anasema mara kwa mara amekua akiota anafanya mapenzi na wanawake tofauti tofauti, yani anaweza akaota anafanya romance na huyo mwanamke, lakini sura haionekani.

Pia amekua anaota anataka kufanya mapenzi na wanaume ila sura hawaoni ila anauwezo wa kushuka uume wao na anaota kama vile yuko nao live. Sometimes hao wanaume huwa wanakuja kwa sura ya kaka yake.

Je, inawezekana akawa ikawa ndio jini mahaba? Au ni kitu gani na je nimpe ushauri gani juu ya suala hili?

Na pia anasema katika maisha ya kawaida hata akifanya mapenzi na mwanaume hajawahi kusikia raha yoyote, je inawezekana ni hilo jini ndio limemshikilia.

Naombeni maoni yenu wadau nijue tunamsaidiaje mdada huyu.

Asanteni.
Sio utani nakwambia uyo ni jini mahaba na kma upo serious apate tiba njoo PM
 
Naona umeuliza swali na umejijibu, ila unachohisi ndicho.
Achana na kina Mwamposa watam manipulate wanavyotaka maisha yake yote maana healing zao ni za muda tu ili uwe hooked kwao

Sijui ni wa imani gani lakini kama unania kwel funga siku 7 uwe unakula jioni tu, katika siku hizo
--acha kufanya mapenzi, (kama hajaolewa aache paka atakapo olewa)
--acha kuangalia picha au video za ngono( hapa aache milele)
--usiperuzi mitandaoni ndani ya wiki hiyo (unataka kupona Nisikilize mim)
--Kimbia mazungumzo yenye mwelekeo wa ngono(be serious)
-- Mwisho ndani ya mfungo huo omba asubuhi mchana na jioni kupitia damu ya Yesu kristo itegue maagano yote uliyoingia kwakujua ama kwa kutokujua halafu amini kutoka moyoni

Masharti haya kama angekupa mganga wakienyeji ungeyatekeleza kwauaminifu wikinzima, ila kwa habari ya Mungu tunapata uvivu, kama unania usiwe mmoja wapo

Nb; usirudie njia zako mbaya
 
Habari ya kwenu jamani,

Naomba ushauri juu ya suala hili, nina rafiki yangu wa kike yeye anasema mara kwa mara amekua akiota anafanya mapenzi na wanawake tofauti tofauti, yani anaweza akaota anafanya romance na huyo mwanamke, lakini sura haionekani.

Pia amekua anaota anataka kufanya mapenzi na wanaume ila sura hawaoni ila anauwezo wa kushuka uume wao na anaota kama vile yuko nao live. Sometimes hao wanaume huwa wanakuja kwa sura ya kaka yake.

Je, inawezekana akawa ikawa ndio jini mahaba? Au ni kitu gani na je nimpe ushauri gani juu ya suala hili?

Na pia anasema katika maisha ya kawaida hata akifanya mapenzi na mwanaume hajawahi kusikia raha yoyote, je inawezekana ni hilo jini ndio limemshikilia.

Naombeni maoni yenu wadau nijue tunamsaidiaje mdada huyu.

Asanteni.
Mkuu unaongea ki 3rd party hatari!
Ivi ukisema: "mimi ninasumbuliwa na....." kuna kosa?
Usiwe kama vizee vya zamani, kakitaka kukuonya, kanaanza kukuhadithia mapungufu ya mtu mwingine, utakuja kujua ama kugundua kwamba aliyesemwa katika simulizi hiyo ni wewe kutokana na kufananisha matendo yako na simulizi, kenyewe muda huo kamekwisha sepa!
 
Back
Top Bottom