Orodha ya ndoto (karibia zote) na maana yake
Kuja ndoto hua naota natembea uchi barabarani au katikati ya watu hua natembea uchi naota hivyo sasa hua najificha mara nakimbia nikihitaji msaada kupata nguo lakini sioni msaada yaani ndotoni napambana kujistiri lakini wapi hii ndoto inaamaana gani

Sasa leo ni balaa nimeota nipo uchi alafu kuna jamaa linataka nilazalimish
 
Kuja ndoto hua naota natembea uchi barabarani au katikati ya watu hua natembea uchi naota hivyo sasa hua najificha mara nakimbia nikihitaji msaada kupata nguo lakini sioni msaada yaani ndotoni napambana kujistiri lakini wapi hii ndoto inaamaana gani

Sasa leo ni balaa nimeota nipo uchi alafu kuna jamaa linataka nilazalimishe nileft group letu ambao vijana wengi washaleft kama akina james delicious aloo nilipambana nae kinoma mpaka nikashtuka nikasema afadhari kumbe ndoto hii nayo inamaana gani kiroho na kwanini naota
Utapatwa na jambo lenye kukutia aibu kabisa,hutopata mtu wa kukusaidia au msaada na matokeo yake unaweza hata kufikiria kujiua kutokana na msukumo wa roho chafu,acha mambo ya madhambi na mambo maovu unavyofanya utaaibika
 
Kuja ndoto hua naota natembea uchi barabarani au katikati ya watu hua natembea uchi naota hivyo sasa hua najificha mara nakimbia nikihitaji msaada kupata nguo lakini sioni msaada yaani ndotoni napambana kujistiri lakini wapi hii ndoto inaamaana gani

Sasa leo ni balaa nimeota nipo uchi alafu kuna jamaa linataka nilazalimishe nileft group letu ambao vijana wengi washaleft kama akina james delicious aloo nilipambana nae kinoma mpaka nikashtuka nikasema afadhari kumbe ndoto hii nayo inamaana gani kiroho na kwanini naota
Maana yake ni aibu kubwa,mambo ya aibu sana yatakuandama,acha wake za watu ,acha uzinzi ,acha wizi,ulevi n.k
 
Ndoto yako ina maana nyingi nitakwambia kwa uchache tu.
UNAPEWA ONYO KUHUSU MWENENDO NA TABIA ZAKO AMBAZO ZINAKURUDISHA NYUMA KIMAENDELEO.

Ulevi, uzinzi na uasherati pamoja na anasa za dunia ni miongoni mwa tabia na mienendo ambayo inarudisha nyuma maendeleo ya watu wengi sana . kama wewe unajihusisha na tabia hizo hapo juu halafu ukawa unaota ndoto umerudi utotoni basi ni ishara kwamba tabia na mwenendo wako vinakurudisha nyuma kimaendeleo. Tabia na mwenendo wako ndio mchawi wako namba moja.

NI ISHARA YA KUKUONDOA HOFU JUU YA JAMBO ULILO LIFANYA AU LILILO KUTOKEA AMBALO LIMEKUFANYA UWE NA HOFU KUBWA SANA KATIKA MAISHA YAKO.
UNAPEWA ONYO USIRUDIANE NA MTU ULIE KUWA UMEACHANA NAE.
NI ISHARA KWAMBA MARADHI YA KICHAWI YALIYO KUWA YANAKUSUMBUA YAMEPONA.
NI ISHARA KUWA NYOTA YAKO ILIYO KUWA IMEIBIWA AU KUCHAFULIWA SASA IMERUDISHWA.
UNA TAHADHARISHWA KUTOWEKEZA PESA ZAKO KWENYE BIASHARA MPYA AMBAYO UNATAKA KUIFANYA.
NI ISHARA KWAMBA MPANGO UNAO TAKA KUUFANYA UTA KUSABABISHIA HASARA KUBWA SANA NA UTAKURUDISHA NYUMA SANA.


KWA MTU ALIE BWETEKA NA KAZI AU SHUGHULI ANAYO IFANYA.

Anaweza kuota ndoto kama ishara kwamba kubweteka/kuridhika kwake kunamkwamisha na kumrudisha nyuma kimaisha na kimaendeleo
NI ISHARA KWAMBA MUNGU AMEKUFANYIA/ATAKUFANYIA WEPESI KWENYE JAMBO UNALO MUOMBA
NI ISHARA KWAMBA TABIA YAKO YA UZINZI NA UASHERATI INAKURUDISHA NYUMA KIMAENDELEO
NI ISHARA KWAMBA KUNA WATU WANA IBA MALI ZAKO AU MALI ZAKO ZINA TEKETEA.
KWA MTU ALIYE LISHWA LIMBWATA KWA LENGO LA KUCHUNWA PESA NA MALI ZAKE : Anaweza kuwa anaota ndoto amerudi shuleni au utotoni ikiwa ni ishara ya kwamba anarudishwa nyuma kimaisha na mtu ambae amemlisha limbwata la mapenzi.
Tafsiri zipo nyingi sana lakini kwa leo hizi zinatosha.
Sasa hapa atachukua ipi ataacha ipi
 
Mkuu nimeota nipo mama kijijini tuna piga story vizuri tu lakini nimelala kwenye mkeka macho yangu yameelekea juu mawinguni

Naona anga la blue la usiku na nyota zake pamoja na mwezi lakini gafra nikaona jua linakamatwa na mwezi na pembeni pa hilo tukio niliona nyota 24 zikiwa zimeji panga nnenne mala 6 Yani Kama hivi

****
****
****
****
****
****
Nikiwa nashangaa hili tukio nyuma yangu Nika mwona mnyama poli anaye fanan napaa au swala alikuwa na langi ya kahawia

Nilipo mtazama vizuri niligundua nikama alijeruhiwa miguu ya nyuma na Simba huko alilo toka

Lakini nyuma ya yule paa Kama ulefu wa uwanja wa mpila nikaona Simba ambaye nahisi ndiye aliye mkosa yule paa akimkamata nguluwe pale nyumbani na kuondoka nae kwa speed

Na kilicho nishangaza zaidi nipale nilipo mwona mama akimsaidia yule paa na kizungumzia kwa lugha ambayo wanaelewana

Sasa najiuliza Nini maana ya kupatwa kwa jua nikiwa natazama?

Nini maana ya zile nyota 24 kupangika vile mbele ya macho yangu

Nini maana ya paa katika ndoto na ile maana ya kujeruhiwa miguu ya nyuma nakukimbilia pale nyumbani ili asaidiwe na akasaidiwa ?

Nanini maana ya yule Simba kumnyakua ngulue na kukimbia nae?

🙏🙏🙏
 
NDOTO HUJA KUTOKANA NA SHUGHULI NYINGI ZA MCHA.

UNACHOKIWAZA SANAAAAA MCHANA
NDICHO UTAKIOTA USIKU.

MAADUI HAWA WANAZIDI KUJA KWA KASI SANA.

UMASIKINI.
UJINGA.
MARADHI.

WAJINGA NDIO WALIWAO.
Mi naona hizi tafsiri ni uongo tu, kuna ndoto hapo anasema maana yake utaoa mwanamke aliyeachika, sasa najiuliza hiyo ndoto itakuwa inawajia ambao hawajaoa pekee? Vipi ikiwa aliyeoa ana mke tayari na hana mipango ya kuoa tena?
Eti ukiota unachota maji ni kwamba utaoa, yaani anaifanya ndoto iwe ni kwa ajili ya waoaji tu, naweza kuota hivo na tayari nina mke hiyo ndoto utabadilika maana!
 
Je ukiota tone kubwa la dam limeanguka kutoka juu upande wa jua kuzama na jua likiwa karibu kuzama.
 
Kuoka ukiwa unapta barabarani na kukutan na matrafik wamevalia nguo nyeupe wengi wamesimama pemben ya barabara ina maana gan .....

Ikiwa wewe ni mtu unayetumia chombo cha moto katika maisha ya kawaida bila shaka umwonapo trafiki mbele yako huwa upati hisia za urafiki bali sintofahamu au woga, Hivyo hii ni ishara kuwa moyoni mwako una hofu juu ya jambo fulani katika safari ya maisha yako, ila vyovyote itakavyokuwa utavipita vikwazo salama na kuendelea mbele.
 
Msaada ndugu Undava King: kuna binti alikuwa damu wangu lakini tulikwisha achana kitambo tuu tokea mwaka jana lakini tokea mwezi wa pili mwaka huu najikuta namuota mara kwa mara kwamba anakuja kwangu kuniomba msamaha
Hii imekaaje??
Mliachana katika mazingira gani? Na je, uliumizwa kwa kuachana kwenu?
 
Ninaomba tafsiri ya ndoto hii.

Tulikua tunakunywa chai na ndugu zangu akiwemo mama yangu..pembeni kuna kitu kama gogo hivi..sasa akaja ndugu yangu akalishika lile gogo.Kumbe ni Joka kubwa mno..likivyoamka tukakimbia..ila likavingirisha mama pale..hapo hapo nikastuka.

Msaada please nmeota leo leo hii.

Kuna jambo unalipuuzia kama ulioni lakini ndiyo chanzo cha kukukosesha furaha unayostahili maishani mwako, jaribu kugundua mwenyewe ni kitu gani hicho kinachokukwamisha ili urekebishe.
 
Habari!!
Nimeota ndoto Mbili zinanichanganya sana
1.Nimeota Marehemu Mzee wangu anagombana na Mama yangu Kisa ni Marehemu akimshutumu Mama usaliti Ktk Ndoa.

2.Kisa Cha pili nimeta this week Nimeoza Meno Yaani tena mpaka Mafizi.
Pia hapohapo nikaota kama nimekufa.
 
kiwa Habari!!
Nimeota ndoto Mbili zinanichanganya sana
1.Nimeota Marehemu Mzee wangu anagombana na Mama yangu Kisa ni Marehemu akimshutumu Mama usaliti Ktk Ndoa.

2.Kisa Cha pili nimeta this week Nimeoza Meno Yaani tena mpaka Mafizi.
Pia hapohapo nikaota kama nimekufa.
Imekula kwako, sio kuwa mpole tu utakiwa kama piriton
 
Mm hii sio ndoto ..bali ndio kinachoendelea, kazini nimeshushwa, Hela imekimbia, hata nguo mpya kununua ni kazi ngumu hata nikiwa na hela. Hela siioni pombe sinywi Kwa sana.

Malaya nakuwa nao kiasi tu. Huduma nyumbani najiona kabisa sihudumii kama zamani. Najiuliza nimepatwa na shida gani.

Hutaniona nakunywa pombe mchana, lakini ikifika usiku nakuwa kama navutwa kwenda kunywa japo kias sijawahi kulala bila kilev kichwani, hii Tabia siipendi lk n nahisi kuna nguvu.

Anajitahidi kusoma ihlas na Dua zinginezo niache niwe kama mwanzo waaapi.


Naelewa ninachotakiwa kufanya ni kuacha pombe na Malaya. Lakini hii nguvu inatokana nannini.

Nilifikiria nioe mke mwingine ikiwa shidayangu ni WA awake, lkn naona itakuwa kosa

Nilikuchukulia maanani kumbe wewe mwenyewe Unashida zako!!Wacha wajuzi wanijibu ,Usichanganye mambo ..
 
Back
Top Bottom