Kuja ndoto hua naota natembea uchi barabarani au katikati ya watu hua natembea uchi naota hivyo sasa hua najificha mara nakimbia nikihitaji msaada kupata nguo lakini sioni msaada yaani ndotoni napambana kujistiri lakini wapi hii ndoto inaamaana gani
Sasa leo ni balaa nimeota nipo uchi alafu kuna jamaa linataka nilazalimish
Utapatwa na jambo lenye kukutia aibu kabisa,hutopata mtu wa kukusaidia au msaada na matokeo yake unaweza hata kufikiria kujiua kutokana na msukumo wa roho chafu,acha mambo ya madhambi na mambo maovu unavyofanya utaaibikaKuja ndoto hua naota natembea uchi barabarani au katikati ya watu hua natembea uchi naota hivyo sasa hua najificha mara nakimbia nikihitaji msaada kupata nguo lakini sioni msaada yaani ndotoni napambana kujistiri lakini wapi hii ndoto inaamaana gani
Sasa leo ni balaa nimeota nipo uchi alafu kuna jamaa linataka nilazalimishe nileft group letu ambao vijana wengi washaleft kama akina james delicious aloo nilipambana nae kinoma mpaka nikashtuka nikasema afadhari kumbe ndoto hii nayo inamaana gani kiroho na kwanini naota
Maana yake ni aibu kubwa,mambo ya aibu sana yatakuandama,acha wake za watu ,acha uzinzi ,acha wizi,ulevi n.kKuja ndoto hua naota natembea uchi barabarani au katikati ya watu hua natembea uchi naota hivyo sasa hua najificha mara nakimbia nikihitaji msaada kupata nguo lakini sioni msaada yaani ndotoni napambana kujistiri lakini wapi hii ndoto inaamaana gani
Sasa leo ni balaa nimeota nipo uchi alafu kuna jamaa linataka nilazalimishe nileft group letu ambao vijana wengi washaleft kama akina james delicious aloo nilipambana nae kinoma mpaka nikashtuka nikasema afadhari kumbe ndoto hii nayo inamaana gani kiroho na kwanini naota
Sasa hapa atachukua ipi ataacha ipiNdoto yako ina maana nyingi nitakwambia kwa uchache tu.
UNAPEWA ONYO KUHUSU MWENENDO NA TABIA ZAKO AMBAZO ZINAKURUDISHA NYUMA KIMAENDELEO.
Ulevi, uzinzi na uasherati pamoja na anasa za dunia ni miongoni mwa tabia na mienendo ambayo inarudisha nyuma maendeleo ya watu wengi sana . kama wewe unajihusisha na tabia hizo hapo juu halafu ukawa unaota ndoto umerudi utotoni basi ni ishara kwamba tabia na mwenendo wako vinakurudisha nyuma kimaendeleo. Tabia na mwenendo wako ndio mchawi wako namba moja.
NI ISHARA YA KUKUONDOA HOFU JUU YA JAMBO ULILO LIFANYA AU LILILO KUTOKEA AMBALO LIMEKUFANYA UWE NA HOFU KUBWA SANA KATIKA MAISHA YAKO.
UNAPEWA ONYO USIRUDIANE NA MTU ULIE KUWA UMEACHANA NAE.
NI ISHARA KWAMBA MARADHI YA KICHAWI YALIYO KUWA YANAKUSUMBUA YAMEPONA.
NI ISHARA KUWA NYOTA YAKO ILIYO KUWA IMEIBIWA AU KUCHAFULIWA SASA IMERUDISHWA.
UNA TAHADHARISHWA KUTOWEKEZA PESA ZAKO KWENYE BIASHARA MPYA AMBAYO UNATAKA KUIFANYA.
NI ISHARA KWAMBA MPANGO UNAO TAKA KUUFANYA UTA KUSABABISHIA HASARA KUBWA SANA NA UTAKURUDISHA NYUMA SANA.
KWA MTU ALIE BWETEKA NA KAZI AU SHUGHULI ANAYO IFANYA.
Anaweza kuota ndoto kama ishara kwamba kubweteka/kuridhika kwake kunamkwamisha na kumrudisha nyuma kimaisha na kimaendeleo
NI ISHARA KWAMBA MUNGU AMEKUFANYIA/ATAKUFANYIA WEPESI KWENYE JAMBO UNALO MUOMBA
NI ISHARA KWAMBA TABIA YAKO YA UZINZI NA UASHERATI INAKURUDISHA NYUMA KIMAENDELEO
NI ISHARA KWAMBA KUNA WATU WANA IBA MALI ZAKO AU MALI ZAKO ZINA TEKETEA.
KWA MTU ALIYE LISHWA LIMBWATA KWA LENGO LA KUCHUNWA PESA NA MALI ZAKE : Anaweza kuwa anaota ndoto amerudi shuleni au utotoni ikiwa ni ishara ya kwamba anarudishwa nyuma kimaisha na mtu ambae amemlisha limbwata la mapenzi.
Tafsiri zipo nyingi sana lakini kwa leo hizi zinatosha.
Mi naona hizi tafsiri ni uongo tu, kuna ndoto hapo anasema maana yake utaoa mwanamke aliyeachika, sasa najiuliza hiyo ndoto itakuwa inawajia ambao hawajaoa pekee? Vipi ikiwa aliyeoa ana mke tayari na hana mipango ya kuoa tena?NDOTO HUJA KUTOKANA NA SHUGHULI NYINGI ZA MCHA.
UNACHOKIWAZA SANAAAAA MCHANA
NDICHO UTAKIOTA USIKU.
MAADUI HAWA WANAZIDI KUJA KWA KASI SANA.
UMASIKINI.
UJINGA.
MARADHI.
WAJINGA NDIO WALIWAO.
Kuoka ukiwa unapta barabarani na kukutan na matrafik wamevalia nguo nyeupe wengi wamesimama pemben ya barabara ina maana gan .....
Mliachana katika mazingira gani? Na je, uliumizwa kwa kuachana kwenu?Msaada ndugu Undava King: kuna binti alikuwa damu wangu lakini tulikwisha achana kitambo tuu tokea mwaka jana lakini tokea mwezi wa pili mwaka huu najikuta namuota mara kwa mara kwamba anakuja kwangu kuniomba msamaha
Hii imekaaje??
Ninaomba tafsiri ya ndoto hii.
Tulikua tunakunywa chai na ndugu zangu akiwemo mama yangu..pembeni kuna kitu kama gogo hivi..sasa akaja ndugu yangu akalishika lile gogo.Kumbe ni Joka kubwa mno..likivyoamka tukakimbia..ila likavingirisha mama pale..hapo hapo nikastuka.
Msaada please nmeota leo leo hii.
miongozo gani?Ahsante kwa miongozo...
jiandaeni kisaikolojiaJe ukiota tone kubwa la dam limeanguka kutoka juu upande wa jua kuzama na jua likiwa karibu kuzama.
Imekula kwako, sio kuwa mpole tu utakiwa kama piritonkiwa Habari!!
Nimeota ndoto Mbili zinanichanganya sana
1.Nimeota Marehemu Mzee wangu anagombana na Mama yangu Kisa ni Marehemu akimshutumu Mama usaliti Ktk Ndoa.
2.Kisa Cha pili nimeta this week Nimeoza Meno Yaani tena mpaka Mafizi.
Pia hapohapo nikaota kama nimekufa.
Imekula kwako, sio kuwa mpole tu utakiwa kama piriton
Kuna tabia unazifanya Kwa Siri ACHA mara MojaKivipi?
Mm hii sio ndoto ..bali ndio kinachoendelea, kazini nimeshushwa, Hela imekimbia, hata nguo mpya kununua ni kazi ngumu hata nikiwa na hela. Hela siioni pombe sinywi Kwa sana.
Malaya nakuwa nao kiasi tu. Huduma nyumbani najiona kabisa sihudumii kama zamani. Najiuliza nimepatwa na shida gani.
Hutaniona nakunywa pombe mchana, lakini ikifika usiku nakuwa kama navutwa kwenda kunywa japo kias sijawahi kulala bila kilev kichwani, hii Tabia siipendi lk n nahisi kuna nguvu.
Anajitahidi kusoma ihlas na Dua zinginezo niache niwe kama mwanzo waaapi.
Naelewa ninachotakiwa kufanya ni kuacha pombe na Malaya. Lakini hii nguvu inatokana nannini.
Nilifikiria nioe mke mwingine ikiwa shidayangu ni WA awake, lkn naona itakuwa kosa