Orodha ya ndoto (karibia zote) na maana yake
Ni kweli binadamu yeyote anauwezo wa ku-train ubungo wake ku-respond kulingana na kile anachotaka kiwe (ndiyo maana watu wanafanya tahajudi) japo haiondoi uhalisia kuwa nje ya ndoto ambazo unazikumbuka na ukutokea katika maisha ya uhalisia bado unaota makumi kwa mamia elfu ya ndoto ambazo huwezi zikumbuka kama ilivyo tu kwa binadamu wote,

Mara nyingi katika hali kama hii (watu wengi wanaokunywa pombe hasa wanaume usupress fahamu zao ziendelee kubakiwa na utambuzi hata pale watakapokuwa wamelewa chakari hili kujilinda na kulinda wenza wao)

Wahusika ujikuta wakiujengea ubongo wao utaratibu wa tafakari thabiti ya ndani na mlengo fulani wa mawazo ambayo uleta matokea ya ndoto za njozi kama unazozisemea, hivyo ubongo unajaribu kuchagua unachotakiwa kukumbuka lakini vingine ubongo una-ignore japo unaota ila ubongo unatambua kuwa hauviitaji.

Wenzetu wazungu katika hili wapo mbali kidogo wanaweza kukuwekea vifaa vinavyorekodi mwenendo wako mzima wa usingizini na ukaweza kujua asubuhi utakapoamka uliota mara ngapi hata kama ukumbuki hata kimoja.
Upo sahihi sana Undava King na hatupishani sana kwenye hili ahsante sana!
 
Nakusii usiache uelekeo huo kwa kuwa ubongo wetu una hazina kubwa sana ambayo haitumiwi na wengi wetu kujikomboa kifikra na ukiwa na nia utafika mbali.
Shukrani sana ila ni ngumu sana kueleweka na watu wa karibu kwa sababu unakuwa unaenda mbali zaidi hata kuweza kuwatembelea katika ndoto zao wakati mwingine...Rafiki zangu wananiambia wameniota tunafanya jambo flani sasa mimi mwanzo nilikua nashangazwa na maneno yao ila kwa sasa nimeelewa na kuzoea hii hali!
 
Shukrani sana ila ni ngumu sana kueleweka na watu wa karibu kwa sababu unakuwa unaenda mbali zaidi hata kuweza kuwatembelea katika ndoto zao wakati mwingine...Rafiki zangu wananiambia wameniota tunafanya jambo flani sasa mimi mwanzo nilikua nashangazwa na maneno yao ila kwa sasa nimeelewa na kuzoea hii hali!
Ndiyo natambua hilo kuwa ni changamoto kubwa na yataka subira na kuendelea kujifunza mwenyewe pasipo kukoma maana katika hili hamnaga mwalimu, kama utafaulu zaidi itafikia mahali ambapo kila utakapo-focus katika wazo fulani utajikuta katika action (tambua hakuna faili utaloshindwa ku-unlock), hivyo itabidi uwe na machaguo sahihi na makini katika mambo yako kwa kuwa fahamu zako zitakuwa zimeunganishwa katika database moja mfano wa super computer yenye nguvu sana na ukiitumia vyema nafasi hiyo waweza fanya wonders nyingi.
 
Ndiyo natambua hilo kuwa ni changamoto kubwa na yataka subira na kuendelea kujifunza mwenyewe pasipo kukoma maana katika hili hamnaga mwalimu, kama utafaulu zaidi itafikia mahali ambapo kila utakapo-focus katika wazo fulani utajikuta katika action (tambua hakuna faili utaloshindwa ku-unlock), hivyo itabidi uwe na machaguo sahihi na makini katika mambo yako kwa kuwa fahamu zako zitakuwa zimeunganishwa katika database moja mfano wa super computer yenye nguvu sana na ukiitumia vyema nafasi hiyo waweza fanya wonders nyingi.
Ni kweli na upo sahihi sana Undava King najitahidi kunote kila hatua ya mabadiliko ninayohisi yanaendelea kwenye fikra zangu iwe usingizini au nikiwa macho na marachache mwanzoni nilikuwa na waambia rafiki zangu katika hali ya kushangaza hapa tulipo si sehemu salama tuhamie mahali kwingine...Ila wao wakawa wanashangazwa tukitoka hapo kuna jambo litatokea ambalo lingeleta athari hata kwetu kama tungeendelea kuwepo hapo....Lkn sijaweza kuwaambia nini haswa nakihisi au nimekiona katika njozi itayoweza jitokeza eneo lolote tunapokaa kwa lengo la kupumzika na kupata viburudisho!
 
Ni kweli na upo sahihi sana Undava King najitahidi kunote kila hatua ya mabadiliko ninayohisi yanaendelea kwenye fikra zangu iwe usingizini au nikiwa macho na marachache mwanzoni nilikuwa na waambia rafiki zangu katika hali ya kushangaza hapa tulipo si sehemu salama tuhamie mahali kwingine...Ila wao wakawa wanashangazwa tukitoka hapo kuna jambo litatokea ambalo lingeleta athari hata kwetu kama tungeendelea kuwepo hapo....Lkn sijaweza kuwaambia nini haswa nakihisi au nimekiona katika njozi itayoweza jitokeza eneo lolote tunapokaa kwa lengo la kupumzika na kupata viburudisho!
Hongera Mkuu, siku zote kumbuka kuwa practise makes perfect.
 
Mimi naota napaa natoka nje ya dunia naenda sayari ya mbali napita sayari ya mars na Jupiter naiyona dunia ilee kwa mbali ndogo hiii huwa inajirudia mara kwa mara
Ndoto ya pili naota katika ndoto ni mtu mwenye miujiza sana mfano labda nimezungukwa na maadui basi hapo nafanya miujiza naweza kuwapiga au kuwakimbia hivyo mara nyingi nakuwa katika ndoto sishindwi na jambo lolote kwakuwa nakuwa mtu wa miujiza
 
Mimi naota napaa natoka nje ya dunia naenda sayari ya mbali napita sayari ya mars na Jupiter naiyona dunia ilee kwa mbali ndogo hiii huwa inajirudia mara kwa mara
Ndoto ya pili naota katika ndoto ni mtu mwenye miujiza sana mfano labda nimezungukwa na maadui basi hapo nafanya miujiza naweza kuwapiga au kuwakimbia hivyo mara nyingi nakuwa katika ndoto sishindwi na jambo lolote kwakuwa nakuwa mtu wa miujiza

Ikiwa wewe ni mtu unayependa sana kufuatilia mambo ya anga na ikatokea unaota vitu kama hivi basi itakuwa ni matamanio yako ndiyo ukurudia kama uhalisia katika ndoto.

Tofauti na hapo itakuwa kuna mambo makubwa una matamanio nayo na unalenga kuyafikia kwa namna yeyote ile hata kama haiwezekani we unaona bado uwezekano/upenyo upo wa kufanikisha jambo lako.
 
Niliota nafanya mapenzi na mwanaume mwenzangu karibia mara 3 katika nyakat tofauti.. na huyo kijana ni best sana kila siku lazima anijulie hali nyumban anakuja tuna vunga kwa story na anapenda ushauri kwangu maana ni mdogo wangu kumri.. ..

Nikawa na muhisi mchawi kumbe hiyo ina ashiri upendo kati yetu ni mkubwa.. aisee..

Nikaanza kumkwepa mpaka leo hatu wasiliani.. dah kumbe hakuwa na shida aisee..
 
Niliota nafanya mapenzi na mwanaume mwenzangu karibia mara 3 katika nyakat tofauti.. na huyo kijana ni best sana kila siku lazima anijulie hali nyumban anakuja tuna vunga kwa story na anapenda ushauri kwangu maana ni mdogo wangu kumri.. ..

Nikawa na muhisi mchawi kumbe hiyo ina ashiri upendo kati yetu ni mkubwa.. aisee..

Nikaanza kumkwepa mpaka leo hatu wasiliani.. dah kumbe hakuwa na shida aisee..
Ahahhaaaaaahahahaaaa!! Eheheeeeee! We msenge umemkata mtoto wa watu na ni wakiume menzioo!!!! Hahahahaaaa mbuzi wa aheraaaa! 😂😂😂😂😂😂😂
 
Kuna ndoto nimeiota dada mmoja amekuja nyumbani kwetu akiwa anakatoto kachanga akidai nilimpa huo ujauzito hata simfahamu.kikaitishwa had kikao cha ndugu na wazee majiran nami bdo nikaw nmemkatalia tu kuwa simfaham na huo ujauzito sikumpa mim. Akaondoka !
 
Ni ishara anataka utambue kuwa hauko peke yako na pengine hakupata muda wa kukuonesha mapenzi yake yote kipindi cha uhai wake,(kujihisi upweke) roho yake bado hii pamoja nawe ikikulinda kwa upendo na kukutakia mema kila siku (ishara ya kukuvulia vazi lake la pekee na la heshima bila kujijali yeye),

Ni muda sasa wa kuachana na yaliyopita (mwonekano wa uzee) na kufurahia wakati wako/kuishi wakati uliopo (ubinti).

NB: Usiache kumwombea mara kwa mara na kutembelea mara moja moja malalio yake kutoa heshima na kumjulia hali kwa kukumbuka mema yake.
Shukrani sana Mkuu,Ulichokizungumza kina akisi uhalisia wa mambo kwa asilimia karibu zote.kuna ndoto nyingine niliota muda kidogo ila haijawahi kunitoka kichwani hadi Leo kutokana na namna ilivyonitisha ndoto yenyewe ni kwamba mm na mdogo wangu tulikuwa tunaenda mahali lakini tukakatiza eneo kama la mbuga za wanyama then kukawa na wanyama kama simba na wengineo ktk hali hiyo tukiwa mbugani mm simba akawa ananifata lakini nilifakiwa kumtoroka kwa kujificha ktk kinyumba cha majani kilichopo humo mbugani badae nikatoka nikajikuta namuona mdogo wangu analiwa na simba na niliumia na mm ktk harakati za kujiokoa nikajikuta niko juu ya joka kubwa nyeusi kubwa sana nimesimama juu yake.
Ukubwa wa lile joka unene wake ni sawa na urefu wa mtu mzima yaan kama mtu mzima mrefu akisimama basi wanalingana kwa kimo cha unene wake.
Na urefu wake ni mkubwa pia japo sikuona mwanzo na mwisho wa urefu wake. lile joka halikuwa limefanya kitu chochote mm nikiwa juu yake sasa sikujua kama halikupata taarifa za uwepo wangu juu yake sababu ya udogo wangu or liliamua tu kukaa kimya sababu limeshiba.
Kama lingeamua kunimeza ni dakika sifuri tu ni nisitulize hata njaa yake.niliogopa sana na kujikuta nimeshtuka mpaka leo hiyo ndoto nikiikumbuka huwa natafakari sana sipatii majibu sawasawa japo kuna vitu naviona navihusisha na hiyo ndoto ila sina uhakika sana nataka kuprove tu kama ni sahihi,ndoto hii itakuwa na maana gani Mkuu??
 
Kuja ndoto hua naota natembea uchi barabarani au katikati ya watu hua natembea uchi naota hivyo sasa hua najificha mara nakimbia nikihitaji msaada kupata nguo lakini sioni msaada yaani ndotoni napambana kujistiri lakini wapi hii ndoto inaamaana gani

Sasa leo ni balaa nimeota nipo uchi alafu kuna jamaa linataka nilazalimishe nileft group letu ambao vijana wengi washaleft kama akina james delicious aloo nilipambana nae kinoma mpaka nikashtuka nikasema afadhari kumbe ndoto hii nayo inamaana gani kiroho na kwanini naota
 
Vazi Lina maana kubwa kiroho.

Mbinguni hakuna mtu aliye uchi.

Kuzimu na viringeni Huwa wako uchi.

Uchi ni Aibu. Katika maandiko, Adam na EVE walijikuta wapo uchi baada ya kutenda dhambi.

Mtu halisi ni yule wa ndotoni, kama umejiona uchi ndotoni, ndivyo unavyoonekana na watu, wanajua Siri zako au wameshakuset kwenye mtego wa Aibu na umenasa.

Kitendo Cha kuwa uchi ndotoni na ukashangaa Hali hiyo, tafsiri yake ni kuwa ulikuwa na VAZI limeondolewa.

Kuwa uchi ni kuondolewa Heshima uliyokuwa nayo,

Ulikuwa na NDOA, ulipozini, uchi wako ulionekana na kahaba, ndo maana unaonekana uchi, tafsiri yake Aibu inakufuata.

Ndoto hii inamaanisha pia Kuna watu mahala kazini au kiringeni wamekupangia mtego Ili uaibike kazini au ktk NDOA Yako.

ONYO. Kama unatoka nje ya NDOA acha, Baki njia kuu, omba na jitakasenili upate vazi.

Ameen
 
Vazi Lina maana kubwa kiroho.

Mbinguni hakuna mtu aliye uchi.

Kuzimu na viringeni Huwa wako uchi.

Uchi ni Aibu. Katika maandiko, Adam na EVE walijikuta wapo uchi baada ya kutenda dhambi.

Kitendo Cha kuwa uchi ndotoni na ukashangaa Hali hiyo, tafsiri yake ni kuwa ulikuwa na VAZI limeondolewa.

Kuwa uchi ni kuondolewa Heshima uliyokuwa nayo,

Ulikuwa na NDOA, ulipozini, uchi wako ulionekana na kahaba, ndo maana unaonekana uchi, tafsiri yake Aibu inakufuata.

Ndoto hii inamaanisha pia Kuna watu mahala kazini au kiringeni wamekupangia mtego Ili uaibike kazini au ktk NDOA Yako.

ONYO. Kama unatoka nje ya NDOA acha, Baki njia kuu, omba na jitakasenili upate vazi.

Ameen
Dah Asante sana mtumishi kwaiyo nifanye nini sasa ili nirudi kwenye imani au nisije aibike
 
Dah Asante sana mtumishi kwaiyo nifanye nini sasa ili nirudi kwenye imani au nisije aibike
Kama umedhulumu mtu au watu malizana nao Ili waahirishe mipango ya kukukomoa usiaibike.

Kama una michepuko acha, maana Mungu anakuonyesha ulivyo machoni pake, Ni kama Adam na Hawa walipoasi wakawa uchi.

Acha zinaa na Rudi katika IBADA, utaota ndoto baadae utajiona unayo mavazi, hiyo ni kuashiria Heshima Yako yaweza Rudi.

Amen
 
Kuja ndoto hua naota natembea uchi barabarani au katikati ya watu hua natembea uchi naota hivyo sasa hua najificha mara nakimbia nikihitaji msaada kupata nguo lakini sioni msaada yaani ndotoni napambana kujistiri lakini wapi hii ndoto inaamaana gani

Sasa leo ni balaa nimeota nipo uchi alafu kuna jamaa linataka nilazalimishe nileft group letu ambao vijana wengi washaleft kama akina james delicious aloo nilipambana nae kinoma mpaka nikashtuka nikasema afadhari kumbe ndoto hii nayo inamaana gani kiroho na kwanini naota
Kijana jichunguze ww mwenyewe yaonekana una dhambi unazifanya sirini ila zitakuja kukuadhirisha kwaio jibadilishe mapema
 
Kuja ndoto hua naota natembea uchi barabarani au katikati ya watu hua natembea uchi naota hivyo sasa hua najificha mara nakimbia nikihitaji msaada kupata nguo lakini sioni msaada yaani ndotoni napambana kujistiri lakini wapi hii ndoto inaamaana gani

Sasa leo ni balaa nimeota nipo uchi alafu kuna jamaa linataka nilazalimishe nileft group letu ambao vijana wengi washaleft kama akina james delicious aloo nilipambana nae kinoma mpaka nikashtuka nikasema afadhari kumbe ndoto hii nayo inamaana gani kiroho na kwanini naota
Utapatwa na Jambo kubwa la fedheha,aibu kubwa sana inakuja mbele yako chukua tahadhari
 
Back
Top Bottom