Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
YangaMlemhala bhabha? Habarini wakuu?
Timu za taifa ambazo sijawahi kuzipenda, na wala haitatokea nizipende abadan.
1 Israel
2 Brazil
3 USA
4 South Africa
5 England, though akikutana na hao wa4 nitashabikia England.
Klabu nisizozipenda ni,
1 Liverpool
2 Real Madrid
3 Man u
4 Chelsea
5 Arsenal
6 Mamelody
Sawa mkuu ila next time pamoja na club yangu kuichukia Jina lake liandike vema, ni Mamelodi Sundown na sio MAMELODYMlemhala bhabha? Habarini wakuu?
Timu za taifa ambazo sijawahi kuzipenda, na wala haitatokea nizipende abadan.
1 Israel
2 Brazil
3 USA
4 South Africa
5 England, though akikutana na hao wa4 nitashabikia England.
Klabu nisizozipenda ni,
1 Liverpool
2 Real Madrid
3 Man u
4 Chelsea
5 Arsenal
6 Mamelody
Hakuna laana ya mambo ya kipumbavu.Mwanangu akishabikia Yanga au Man U .Namlaani sitaki upumbavu nyumbani kwangu.
Kuwa na heshima kijana wa kichagga.Wewe muarabu koko wa tandale.
Sawa mkuu ila next time pamoja na club yangu kuichukia Jina lake liandike vema, ni Mamelodi Sundown na sio MAMELODY
Usinifundishe kuishi na familia yangu.Hakuna laana ya mambo ya kipumbavu.
Ondoa hiyo Y my chief,ni I(mamelodi sundown),thanksMamelody sundowns, pamoja chief
Unadhani ni mchezo hadi akaweka 4 :1 kwenye avatarTangu mchapike 4-1 inaonekana kile kipigo kiliacha madhara mengi ambayo yanaishi hadi leo
Siku ambayo mtaamua kukubali kuwa wadogo na ku let bygones be bygones nahakika utabadili hiyo avatar
mashetani wekundu fcMlemhala bhabha? Habarini wakuu?
Timu za taifa ambazo sijawahi kuzipenda, na wala haitatokea nizipende abadan.
1 Israel
2 Brazil
3 USA
4 South Africa
5 England, though akikutana na hao wa4 nitashabikia England.
Klabu nisizozipenda ni,
1 Liverpool
2 Real Madrid
3 Man u
4 Chelsea
5 Arsenal
6 Mamelody
Huko kimataifa yanga ndo tutakuwa wa kwanza kuleta kombe ww mwisho wako ni makundi na robo tu mkuu
Umeandika uchafu tu hapa.
Huu uzi hauhitaji kum quote mtu. Wewe unachangia maoni yako, halafu unatembea.
Maneno 'abadani' na 'haitatokea' ya nini sasa wakati kuna muda unaweza kuishabikia England , au hujui kushabikia ndio kupenda?
Alaaniwe aipendae [Yanga] na Man u. ALAANIWE.Mlemhala bhabha? Habarini wakuu?
Timu za taifa ambazo sijawahi kuzipenda, na wala haitatokea nizipende abadan.
1 Israel
2 Brazil
3 USA
4 South Africa
5 England, though akikutana na hao wa4 nitashabikia England.
Klabu nisizozipenda ni,
1 Liverpool
2 Real Madrid
3 Man u
4 Chelsea
5 Arsenal
6 Mamelody
Alaaniwe aipendae [Yanga] na Man u. ALAANIWE.
Mwishoni maana yake nini? Bhujiku ng'waka na hyo nkoi?Mkuu Nsennah, samahani kama nitakua nimekukwaza. Naomba tuchangie bila kukomenti maneno makali na yasiyopendeza. Ni hivyo tu nkoi Nsennah.
Bhujiku ng'waka