Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 hilo jina ulilolitag lina ukali wa maneno na wakati umekataza.
Mvaa kobazi bila Shaka , nilipoona Israel tuMlemhala bhabha? Habarini wakuu?
Timu za taifa ambazo sijawahi kuzipenda, na wala haitatokea nizipende abadan.
1 Israel
2 Brazil
3 USA
4 South Africa
5 England, though akikutana na hao wa4 nitashabikia England.
Klabu nisizozipenda ni,
1 Liverpool
2 Real Madrid
3 Man u
4 Chelsea
5 Arsenal
6 Mamelody
Huoni unapingana na kichwa cha mada yako? Umesema 'haitatokea' halafu tena unasema utashabikia ikikutana na 1, 2, 3 ..Muda wa kuishabikia England ni pale anapokutanishwa na number 1, 2, 3 na 4.
Mbona unamrekebisha mwenzio huku wewe ukikosea? Ni sundowns na sio sundownOndoa hiyo Y my chief,ni I(mamelodi sundown),thanks
Udini unakusumbuaMtoa mada ni shabiki wa Manchester na Muislam mwenye itikadi kali. I can imagine jinsi anavyopata shida
Mvaa kobazi bila Shaka , nilipoona Israel tu
We utakuwa Muisilamu siyo Bure mmmmh
Hatari mzee, ila wao kukasirika moroco kwenya world cup hatusemi wameichukia kwakuwa wao wakristonguvu Mada imeshaingiliwa wananishambulia,, kosa kuitaja nchi flani 😁
Waislam hawaruhusiwi shangilia man u?Mtoa mada ni shabiki wa Manchester na Muislam mwenye itikadi kali. I can imagine jinsi anavyopata shida
Kwamba ni mwarabu OG?Why unaniita mwalabu koko? Hunijui wala sikujui?? Kuwa na heshima kijana wa kichagga.
Hatari mzee, ila wao kukasirika moroco kwenya world cup hatusemi wameichukia kwakuwa wao wakristo
Huoni unapingana na kichwa cha mada yako? Umesema 'haitatokea' halafu tena unasema utashabikia ikikutana na 1, 2, 3 ..
Huoni England umeiweka kwenye timu za taifa ambazo umesema 'hujawahi zipenda na haitatokea uzipende abadani' halafu hapo hapo unasema utaishabikia England ikicheza na 1,2,3....Kwanini uishabikie wakati umesema 'haitatokea'.Namba 5 itakupa jibu