Orodha ya timu nisizozipenda na haitatokea nizipende abadan

Orodha ya timu nisizozipenda na haitatokea nizipende abadan

Huoni England umeiweka kwenye timu za taifa ambazo umesema 'hujawahi zipenda na haitatokea uzipende abadani' halafu hapo hapo unasema utaishabikia England ikicheza na 1,2,3....Kwanini uishabikie wakati umesema 'haitatokea'.
Kiufupi ni kwamba hujui unachosimamia maana utaishabikia England ikikutana na Brazil kwa hiyo neno 'haitatokea' kuishabikia England inakuwa sio kweli.

Ndiyoo, haitatokea nizipendeee. Ilaa Endapo timu 4 hizo hizo hizi zikikutanishwa na england nitashabikia england.
 
Ndo maana ni mkondefu (slim) huwez ichukie yanga ukanenepa
Nitaipendaje timu ya watu wasio na akili.Utopolo ya mazuzu watupu nayo Ni timu?

Simba mnyama💪
Liverpool the Reds, YNWA
Real Madrid
Raha tupu,uhakika wa ushindi Nyumbani na Kimataifa
 
Hata Manara alisema kamwe hawezi kwenda Yanga hata akipewa pesa zote za Banki Kuu ila sada hivi yuko wapi!
 
Nitaipendaje timu ya watu wasio na akili.Utopolo ya mazuzu watupu nayo Ni timu?

Simba mnyama💪
Liverpool the Reds, YNWA
Real Madrid
Raha tupu,uhakika wa ushindi Nyumbani na Kimataifa
Kweli mkuu jamaa hatuna akili ila tumechukua ligi, tunaongoza chukua ligi sasa sijui hao wengine watakuwa na Hali Gani kama mabingwa wa kihistoria tukiwa hatuna akili
 
Arsenal tumewakosea nini nyie watu mbona hamtupendi hivyo??

Okay kwa mimi kwa taifa sina timu nnayoichukia ambayo sitakaa nishabikie.

Ila kwa vilabu ni .. simba, manyunatedi, mancity na madrid yaan hizi ndo top 4 yangu. Nafurahi saana zikifungwa.
 
Back
Top Bottom