Orodha ya Wakurugenzi Wakuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) tangu Uhuru

Hivi mada kama hii inamsaidia nini mtu hasa,isn't this not feeding your mind with junk? This is distraction from real issues to be frank.People need to be careful.Na nime notice kwamba the great majority of posts za JF ni za hivyo.I think the covert secret CIA army is at work.

Shetani anajaribu kutumia kila mbinu ili kupofusha na ku- distract.
 
Acha conspiracy....Watu wa off load shida yako nini?
 
Acha conspiracy....Watu wa off load shida yako nini?
Una umwa wewe,nina shida gani.The covert army of the CIA is 24/7 in the JF,mbona tunajua.Na hata wewe inawezekana ni mmoja wao.Mbowe na Lissu si ndio comanders kwa Tanzania.Sijui Lema naye yuko Canada kwa assignment gani Kwa kuwa naye ni commander wa CIA in Tanzania.
 
Una umwa wewe,nina shida gani.The covert army of the CIA is 24/7 in the JF,mbona tunajua.Na hata wewe inawezekana ni mmoja wao.Mbowe na Lissu si ndio comanders kwa Tanzania.Sijui Lema yuko Canada kwa assignment gani.
Kumbe hongera kwakutuogopa...Tanzania ni nchi na inayojitegemea, just be confident, do your part and leave the rest to God
 
Kumbe hongera kwakutuogopa...Tanzania ni nchi na inayojitegemea, just be confident, do your part and leave the rest to God
No hatukubali vibaraka nchini mwetu,we will do all it takes to contain you/them.
 
Nashukuru kwa Clarification Mkuu BTW sidhani kama Dini ni concern kubwa kiivo kwa Mtu aliefikia Kuwa Spymaster they just use it as a Play Ground
Ni bahati na uwezo tu mkuu, wale wakurugenzi kule juu yeyote ana equal chance ya kuwa DG sema since awamu wa ya kikwete uchaguzi wa DG umekuwa wa kupewa tu...
 
Ni bahati na uwezo tu mkuu, wale wakurugenzi yeyote ana equal chance ya kuwa DG sema since awamu wa ya kikwete uchaguzi wa DG umekuwa wa kupewa tu...
JPM alikuwa Mtu wa ku outsource sana hawa top officials amefanya ivo katika Taasisi nyingi tu, at some point nilikuelewa mana laws za kawaida tu husema mabadiliko hutoka nje, japo pia hali hiyo inaondoa morali kwa Top senior officers ambao wanatarajia kupata hio position mfano Magereza alimchukua Major General mzee Na kumpa CGP ila pia njoo taasisi kama Takukuru nako aliwekwa Brigadier General mbungo na uko Tiss pia ameibuka diwani japo nadhani Alishakuwa Mwandamizi kule
 
Hata kama alishakuwa Afisa Mwandamizi kumbuka hajakulia ndani ya Idara, changamoto za idara na kukiendesha chombo kwake itakuwa ni changamoto tofouti na wale Maafisa waandamizi ambao wamo ndani ya Idara. Kuna maamuzi anaweza fanya kumbe anakosea pakubwa sana hivyo ni vyema hawa ma DG watoke ndani ya mfumo kuliko kuwatoa nje ya mfumo kuna watu wanavunjika mioyo kwelikweli.
 
Hivi watu sijui nani aliwaambia Mwang'onda alikua Kanali(Cheo cha jeshi)....yaan niliposoma hivyo tu nikajua huyu muandishi hata hajui anaowaandika

Cornel ni jina lake la kuzaliwa na Sio Colonel/Kanali
Kwani amekosea pote au hapo tu??.
 
Kati ya watu wanaoandika junks hapa JF wewe ndio wa kwanza. Unaandika mada za kufikirika ambazo ziko Hollywood kwenye movie, hapa watu wanataja historia wewe hutaki ila ukitoka utaenda kuanzisha mada kama SIRI YA COVID-19, UKIMWI NI UZUSHI, FREEMASON. Yani uko YouTube channels uchwara za kibongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…