Orodha ya Walimu na Mafundi Sanifu Maabara Ajira Mpya

mbona kuna attachments wadau wametupia humu, na hayo majina wew unayotaka mtu atakupaje? labda kama kuna majina uangaliziwe tu mkuu MKOMBOZI1
 
wana JF anayepajua Dodoma-Kongwe DC-shule ninayoenda ni Mang'hweta sec anajuze mazingira ya huko kama koroboi ni nunue

Duuu! Hlo jina la shule sasa, ni kiashilio tosha kwamba ni interior sna!
 
Wadau nani anapafahamu iramba- singida tupeane picha

Umepangiwa shule gani Iramba ni wilaya ya Singida ni kubwa sana kuliko hata mkoa wenyewe inategemea utapangwa shule gani ila kuna baadhi ya shule ukipangwa zipo kijijini ila zipo bararan kabisa na zina umeme fight upangiwe Kinambeu sec, kizaga sec, kinampanda hizo ni shule nzuri kwa Iramba hasa kinambeu ipo njian kabisa kwenda wilayan kuna umeme wa grid ya taifa pia ni rahis kwenda kupata matibu ktk hospital ya kntc ila Singida kuna ukame maji hayatoki kila siku
 
Chuo cha TEKU pia ngazi ya cheti hajaajiliwa mwl hata mmoja.
Diploma na Digrii wameajiliwa wote.
Hongeleni zenu kwa kuajiliwa.
 
chondechonde walimu fikeni vituoni mwenu. Siku hizi huduma za kijamii kama maji na umeme zinafika maeneo mengi sana nchi hii. Pia usafiri sio shida sana kama zamani. Msipende kujazaja dar kufundisha tuition.
 
napenda kuulizia hizo nafasi za mafundi sanifu zipo pamoja na hao walimu wa sekondari au wao wamewekwa kwenye kundi lao.
 
napenda kuulizia hizo nafasi za mafundi sanifu zipo pamoja na hao walimu wa sekondari au wao wamewekwa kwenye kundi lao.

Zilikuwa zimechanganywa. Labda tusubiri hii update mpya watakayoitoa tuone watapangaje
 
Haiwezekani watu tumejaza form chuoni kuomba maeneo tunayoweza kupangiwa halafu ninyi mfanye tofauti kabisa na makadirio. kwa mfano mtu umetumia anuani ya dar, umeomba dar, moshi then unajikuta umepangiwa rukwa, hivi mashariki na magharibi wapi na wapi. mbona mikoa jirani na hiyo iko mingi. au zile form hazikua na maana? chakushangaza zaidi mtu mwingine ameomba upande huo huo wa rukwa una mleta mashariki tena kwa masomo hayo hayo. Hivi haya si ni makusudi kabisa. Na hii inasababisha matumizi ya kiasi kikubwa cha pesa za nauli zinazolipwa na serikali pamoja na kero za baadae za watu kubadilishana vituo kiholela bila kujali uhitaji wa wasomo husika. Naomba tatizo hili lijumuishwe kwenye marekebisho yanayoendelea ya walimu ngazi ya shahada na stashahada.
 
kabla ya ajira mlisema mpotayari kufanya kazi eneo lolote, leo ajira zimetoka mmeanza figisufigisu. Kuwaongoza wabongo lazima uwe na akili fyatu kidogo!
 
Kubali yote mkuu juzi mlikua mnalilia ajira zimetoka mnalalamika ukishachagua ualimu kubali yote haina jinsi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…