Orodha ya waliokufa na wasiokufa angalia hapa kama una ndugu yako

Orodha ya waliokufa na wasiokufa angalia hapa kama una ndugu yako

Unajifariji mkuu! Nafsi yako ni mhimu kuliko hizo pesa zako, kifo kitakujia siku usiyoitarajia na hizo pesa zako hazitakusaidia
Marko 8:36
Kwa kuwa itamfaidia mtu nini kuupata ulimwengu wote, akipata hasara ya nafsi yake?

Marko 8:37
Ama mtu atoe nini badala ya nafsi yake?
Wewe unafikiri waliokufa kwenye hiyo ajali hawakuwa na pesa???

Sefania 1:18
Fedha yao wala dhahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku ile ya ghadhabu ya BWANA; bali nchi yote pia itateketezwa kwa moto wa wivu wake; maana atawakomesha watu wote wakaao katika nchi hii, naam, ukomo wa kutisha.

Usiwe kipofu mkuu!!!
Aah kumbe Mungu ndo amewaua, hapo sawa.
 
Sisi wahayya ni kawaida yetu kupanda ndege ...innalilah wainnailaih rajiun
Au basi tuseme yupo ila hana msaada, maana angekuwa na msaada angewasaidia. 🤔
Mbona watu kila siku wanakufa mkuu!!! Kifo kipo wewe jiandae Sasa Kama Mungu hajawasaidia waliookolewa wamesaidiwa na Nani???? Sio huyo huyo Mungu

Isaya 55:8
Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA.
 

WALIOPELEKWA HOSPITALI

1. RAGI SAMWEL INYOMA (0752157904) 28yrs DSM
2. RAUSATH HASSAN - 26yrs BUKOBA
3. ANNA MAY MITABALO 40yrs KARAGWE
4. DR FELIX OTIENO 37YRS-JALUO-MKRISTO -BUNDA-0765779548

6. SHAMIRU ISMAIL BKB 34YRS- ITAWA-MUHAYA-DAKTARI-0753527776

6. PROTAS MUSSA - 38YRS NGARA
7. AMOS SKOTH 38YRS MWANZA
8. GRACE RUGAMBWA - 67YRS NYAKANYASI BUKOBA -MUHSYA-MUUGUZI MSTAAFU-MKRISTO-0755016680

9. AMINA ABDALLAH KARWANDIRA 62YRS BUKOBA NYAKANYASI- MUHAYA -MUISLAM- MAMA WA NYUMBANI- 0628 749070

10. REVINA THEONEST RUTINDA 29YRS-KAGERA SUGAR-PROCCESSING ENGINEER-MUHAYA-MKRISTO- 0754588634 HOME GEITA(MWMA WA EMILI).

12. EMILI VICTOR MWESIGA 1.3 YRS -MUHAYA-KAGERA SUGAR

14. JESCA JULIUS TITUS 27YRS DSM - MUHA - MKRISTO PENTECOSTAL -NESI BY PROFESSIONAL. 0753953702
15. ZANGLIN 30YRS DSM (MCHINA)-CIVIL ENGINEER-0788453998

14. RICHARD KOMBA 42yrs-MMATENGO-MKURUGEBZI KAGERA TEA COMPANY MARUKU- 0756902081

15. EMMANUEL AMANI 28yrs MWANZA
16. NIKSON JACKSON KAWICHE 35YRS from DSM-ADITOR MDH-MCHAGA-MKRISTO-0742361210/071389942

17. SALEH OMARY 46YRS - MLIGURU-0789530136-SONARA-KIPAWA KARAKATA-
18. EDWIN BITEGEKO 33YRS DSM BANKER CRDB HQ TABATA-MUHAYA-MKRISTO-0755920587/0719124576

19. EVA DICKSON MCHARO 38YRS SENGEREMA MWANZA-MPARE-MKRISTO-PCCB SENGEREMA-0766847175

21. JOSEPHINE JOSEPH MWAKISAMBWA 34YRS MBEYA ANAISHI DAR-DKT-MKRISTO-MNYAKYUKYUSA-0762415551

21. THEODORA STANSLAYS MPESHA 46yrs ANAISHI DSM-MWASIBU DSM-MKRISTO-MUHAYA-0754841044

22. JOSEPH LAURENCE MBAGO 57YRS BOT ANAISHI DSM-MKRISTO-MBONDEI

WAHUDUMU

1. BRENDA SELVULI TEMBA 23YRS DSM-MCHAGA-MKRISTO-0686929264-AIR HOSTRESS PRECISION

2. LYDIA IBRAHIM RAMADHAN- 25YRS-MDIGO-MKRISTO- DSM AIR HOSTRESS PRECISION-0717800570

NB. WANAUME 16, WANAWAKE 9 NA MTOTO 1(ME)

MAJINA YA WALIOFARIKI DUNIA.

1. ATULINDE BITEYA
2. ANETH BITEYA
3. NEEMA FARAJA
4. HANIFA HAMZA
5.ANETH KAAYA
6.VICTOR LAUREAN
7. SAID MALAT LYANGANA
8.IMAN PAUL
9. FARAJI YUSUPH
10.LIN ZHANG
11.SAULI EPIMARK
12.ZACHARIA MLACHA
13.EUNICE NDIRANGU
14.MTANI NJEGERE
15. ZAITUNI SHILLAH
16.DR. ALICE SIMWINGA

17. BURUANI LUBAGA - RUBANI
18.PETER ODHIAMBO - FIRST OFFICER.
Nimelia sana hii ajali. Mungu azidi kuwapa faraja na wepesi waliofiwa kupona na kujeruhiwa na awape pumziko la amani waliotangulia.
 
Mmmh, my thoughts and grievences ziende kwa ndugu wote wa wahanga.

imagine kungekuwa na kiongozi humo??
Ninashauri kuwe na ndege maalumu za viongozi ili kuepusha haya Majanga.
Ikiwezekana kila kiongozi apewe private Jet ili kuongeza usalama wa viongozi wetu.
Mungu ibariki Tanzania.
Na hiyo private. Idondoke wakose wakuwaokoa na wao wafe....Ina mana wananchi ndo wanadeserve kufa au...shame
 
Mmmh, my thoughts and grievences ziende kwa ndugu wote wa wahanga.

imagine kungekuwa na kiongozi humo??
Ninashauri kuwe na ndege maalumu za viongozi ili kuepusha haya Majanga.
Ikiwezekana kila kiongozi apewe private Jet ili kuongeza usalama wa viongozi wetu.
Mungu ibariki Tanzania.
Kwahiyo wewe unaona viongozi pekee wafaa kuangaliwa usalama wao!.
 
Narudia, dini na namba ya simu kwenye matatizo hivi ni vya nn?
NI vizuri kutoa anuani ya mtu yote kadri inavyowezekana ili msaada wa haraka uweze kupatikana kwa urahisi hivyo wako sahihi.
 
Hao wote wangejua kuwa watakufa Jana, wasingesafiri, aise tujiandae maana duniani hapa tunapita, hapo tiyari hukumu imefanyika wa kwenda motoni na ambao wameenda mbinguni tiyari walishakuwa wenyeji huko!!
Mbona watu wa dini mnajifanya wasahaulifu na mafundisho yenu?

Si mlituambia kwamba Yesu atakuja siku ya mwisho ikifika? Na kwamba hiyo siku wafu watafufuliwa na ndipo hukumu itatolewa kwa kila mtu kulingana na matendo yake?

Maandiko yamebadilika lini tena kimya kimya bila kutupa taarifa.
 
Aah kumbe Mungu ndo amewaua, hapo sawa.

Kufa kupo tu mkuu!! Ila njia ya kufa ndo haijulikani tutakufaje!! Tambua Hilo, mbinguni ndo hamna kifo tena

Ufunuo wa Yohana 21:4
Naye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena; wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu hayatakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita.
 
Kufa kupo tu mkuu!! Ila njia ya kufa ndo haijulikani tutakufaje!! Tambua Hilo, mbinguni ndo hamna kifo tena

Ufunuo wa Yohana 21:4
Naye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena; wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu hayatakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita.
Hahaha sawa,
 
kuna hamaa alirabiri humu kama sikosei ni mwezi uliopita kuhusu maono yake juu ya hii ajali.
 
Hizo namba za simu zisije tumika na matapeli kwa kutaka kudai ndugu zao wametolewa misukule wao wana uwezo wa kuwarudisha.
Nchi hii imejaa wakora na waganga feki wa kumwaga halikadhalika manabii na mitume uchwara.
 
Mungu wenu ameshindwa kuwaokoa, mpaka wavuvi wamewaokoa,

Mtu anakunywa maji huku akiomba mungu na bado Mungu hampi msaada wowote mpaka anakufa. Bado mnasema mungu ana nguvu.
Au hili nalo linahitaji macho ya kiroho?
Mwanzo 3:19 kifo ni ahadi.ikifika siku ya kufa hakuna kuokolewa.Mbinguni kuna makao mazuri sana.Ili kufika huko lazima roho itoke kwenye mwili wa nyama.
 
Back
Top Bottom