Orodha ya waliokufa na wasiokufa angalia hapa kama una ndugu yako

Orodha ya waliokufa na wasiokufa angalia hapa kama una ndugu yako

Kufa kupo tu mkuu!! Ila njia ya kufa ndo haijulikani tutakufaje!! Tambua Hilo, mbinguni ndo hamna kifo tena

Ufunuo wa Yohana 21:4
Naye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena; wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu hayatakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita.
Kwaya ya Arusha waliimba wimbi huu zamani
 
Ingependeza zaidi,kwani kiongozi sio mtu?kwamba wao hawatakiwi kufa?
Mmmh, my thoughts and grievences ziende kwa ndugu wote wa wahanga.

imagine kungekuwa na kiongozi humo??
Ninashauri kuwe na ndege maalumu za viongozi ili kuepusha haya Majanga.
Ikiwezekana kila kiongozi apewe private Jet ili kuongeza usalama wa viongozi wetu.
Mungu ibariki Tanzania.
 
Mmmh, my thoughts and grievences ziende kwa ndugu wote wa wahanga.

imagine kungekuwa na kiongozi humo??
Ninashauri kuwe na ndege maalumu za viongozi ili kuepusha haya Majanga.
Ikiwezekana kila kiongozi apewe private Jet ili kuongeza usalama wa viongozi wetu.
Mungu ibariki Tanzania.
Non sense
 
Unajifariji mkuu! Nafsi yako ni mhimu kuliko hizo pesa zako, kifo kitakujia siku usiyoitarajia na hizo pesa zako hazitakusaidia
Marko 8:36
Kwa kuwa itamfaidia mtu nini kuupata ulimwengu wote, akipata hasara ya nafsi yake?

Marko 8:37
Ama mtu atoe nini badala ya nafsi yake?
Wewe unafikiri waliokufa kwenye hiyo ajali hawakuwa na pesa???

Sefania 1:18
Fedha yao wala dhahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku ile ya ghadhabu ya BWANA; bali nchi yote pia itateketezwa kwa moto wa wivu wake; maana atawakomesha watu wote wakaao katika nchi hii, naam, ukomo wa kutisha.

Usiwe kipofu mkuu!!!
Unapoteza muda kumjibu mpumbavu kistaarabu? Biblia inasema mjibu mpumbavu kulingana na upumbavu wake.
 
Mungu wenu ameshindwa kuwaokoa, mpaka wavuvi wamewaokoa,

Mtu anakunywa maji huku akiomba mungu na bado Mungu hampi msaada wowote mpaka anakufa. Bado mnasema mungu ana nguvu.
Au hili nalo linahitaji macho ya kiroho?
Upuuzi. Mungu hadhihakiwi. Ni vema ukatubu, kumdharau Mungu ni uovu uliopitiliza.
 
Dini ya mtu na namba za simu za nn?
Kama ni nduguyo utawasiliana naye vipi? Wakati mwingine majina hufanana, ukiwa hauna ndugu utaona ni upuuzi ila ni upuuzi zaidi kusoma jambo ambalo halikuhusu ukijua wewe hauna ndugu mwenye uwezo wa kupanda ndege.
 
Hao wote wangejua kuwa watakufa Jana, wasingesafiri, aise tujiandae maana duniani hapa tunapita, hapo tiyari hukumu imefanyika wa kwenda motoni na ambao wameenda mbinguni tiyari walishakuwa wenyeji huko!!

Waebrania 9:27
Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu;

Marko 8:36
Kwa kuwa itamfaidia mtu nini kuupata ulimwengu wote, akipata hasara ya nafsi yake?
Marko 9:43
Na mkono wako ukikukosesha, ukate; ni afadhali kuingia katika uzima u kigutu, kuliko kuwa na mikono miwili, na kwenda zako jehanum, kwenye moto usiozimika; [

Marko 9:44
ambamo humo funza wao hafi, wala moto hauzimiki.]

Marko 9:45
Na mguu wako ukikukosesha, ukate; ni afadhali kuingia katika uzima, u kiwete, kuliko kuwa na miguu miwili, na kutupwa katika jehanum; [

Marko 9:46
ambamo humo funza wao hafi, wala moto hauzimiki.]

Marko 9:47
Na jicho lako likikukosesha, ling’oe, ulitupe; ni afadhali kuingia katika ufalme wa Mungu, una chongo, kuliko kuwa na macho mawili, na kutupwa katika jehanum;

Marko 9:48
ambamo humo funza wao hafi, wala moto hauzimiki.
Ufunuo wa Yohana 14:11
Na moshi wa maumivu yao hupanda juu hata milele na milele, wala hawana raha mchana wala usiku, hao wamsujuduo huyo mnyama na sanamu yake, na kila aipokeaye chapa ya jina lake.


Nashauri wakuu tujiandae , tusibweteke na dunia, hii dunia inatudanganya Sana, lakini ukweli ni kwamba duniani sisi ni wapitaji!!
Washukuru wazungu walioleta dini
 
Mmmh, my thoughts and grievences ziende kwa ndugu wote wa wahanga.

imagine kungekuwa na kiongozi humo??
Ninashauri kuwe na ndege maalumu za viongozi ili kuepusha haya Majanga.
Ikiwezekana kila kiongozi apewe private Jet ili kuongeza usalama wa viongozi wetu.
Mungu ibariki Tanzania.
Lumumba ganja mlizoletewa awamu hii zina mbegu nyingi sana
 
Nilikuwa nimejipumzisha huku naperuzi mtandaoni ghafla nikaliona jina fulani la hao waliopoteza maisha kwenye hiyo ajali aisee nusura nizimie baada ya mawasiliano ya hapa na pale ndio nikajua kumbe sio bosi wangu,bali ni majina tu yamefanana
 
Narudia, dini na namba ya simu kwenye matatizo hivi ni vya nn?
Majina hufanana.Yawezekana namba ya simu ikamtambulisha zaidi kama unamjua.Hata dini.Maana kuna kibaka aliiba vyeti vyangu vya O na A level ni wa dini ingine.Kibaka yule!
 
Mmmh, my thoughts and grievences ziende kwa ndugu wote wa wahanga.

imagine kungekuwa na kiongozi humo??
Ninashauri kuwe na ndege maalumu za viongozi ili kuepusha haya Majanga.
Ikiwezekana kila kiongozi apewe private Jet ili kuongeza usalama wa viongozi wetu.
Mungu ibariki Tanzania.
Kiongozi nae ni mtu pia anayo haki kufa kama kawaida, nasisitiza anayo haki ya kufa sawa sawa na binadamu wengine
 
Back
Top Bottom