Orodha ya waliokufa na wasiokufa angalia hapa kama una ndugu yako

Orodha ya waliokufa na wasiokufa angalia hapa kama una ndugu yako

Kiongozi nae ni mtu pia anayo haki kufa kama kawaida, nasisitiza anayo haki ya kufa sawa sawa na binadamu wengine
Sasa kwanini ulinzi wa viongozi huwa mkubwa kuliko wa raia wa kawaida? Kwanini viongozi wakiugua hupelekwa hospitali kubwa kubwa mpaka nje ya nchi kwa gharama za walipa kodi? Wakati hospitali za ndani hawataki kuziboresha?
It means maisha ya Kiongozi yana thamani kuliko raia wa kawaida ukubali au ukubali.
 
Mungu wenu ameshindwa kuwaokoa, mpaka wavuvi wamewaokoa,

Mtu anakunywa maji huku akiomba mungu na bado Mungu hampi msaada wowote mpaka anakufa. Bado mnasema mungu ana nguvu.
Au hili nalo linahitaji macho ya kiroho?
Umefanya dhihaka kubwa kwa Mungu(, iwapo ulimaanisha Mungu muumba wa mbingu na nchi)
Mungu akurehemu.
Kazi ya Mungu si kuokoa tu, hata kuua pia.
Kwa hiyo alioamua wafe wamekufa na alioamua wapone watapona.
Wavuvi wametumika tu kutekeleza maamuzi ya Mung

Kum 32:39 SUV

Faha""mu sasa ya kuwa Mimi, naam, Mimi ndiye, Wala hapana Mungu mwingine ila Mimi; Naua Mimi, nahuisha Mimi, Nimejeruhi, tena naponya; Wala hapana awezaye kuokoa katika mkono wangu+"

SUV: Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
 
Umefanya dhihaka kubwa kwa Mungu(, iwapo ulimaanisha Mungu muumba wa mbingu na nchi)
Mungu akurehemu.
Kazi ya Mungu si kuokoa tu, hata kuua pia.
Kwa hiyo alioamua wafe wamekufa na alioamua wapone watapona.
Wavuvi wametumika tu kutekeleza maamuzi ya Mung

Kum 32:39 SUV

Faha""mu sasa ya kuwa Mimi, naam, Mimi ndiye, Wala hapana Mungu mwingine ila Mimi; Naua Mimi, nahuisha Mimi, Nimejeruhi, tena naponya; Wala hapana awezaye kuokoa katika mkono wangu+"

SUV: Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Unaniogopesha?
 
Narudia, dini na namba ya simu kwenye matatizo hivi ni vya nn?
Wakati wa Kuaga ungewasafirisha kivipi kama hujui Dini yake? Ungeweka Msalaba Kila Jeneza? Kuna Majeneza pia hutengenezwa kutokana na Dini ya Mtu.
 

WALIOPELEKWA HOSPITALI

1. RAGI SAMWEL INYOMA (0752157904) 28yrs DSM
2. RAUSATH HASSAN - 26yrs BUKOBA
3. ANNA MAY MITABALO 40yrs KARAGWE
4. DR FELIX OTIENO 37YRS-JALUO-MKRISTO -BUNDA-0765779548

6. SHAMIRU ISMAIL BKB 34YRS- ITAWA-MUHAYA-DAKTARI-0753527776

6. PROTAS MUSSA - 38YRS NGARA
7. AMOS SKOTH 38YRS MWANZA
8. GRACE RUGAMBWA - 67YRS NYAKANYASI BUKOBA -MUHSYA-MUUGUZI MSTAAFU-MKRISTO-0755016680

9. AMINA ABDALLAH KARWANDIRA 62YRS BUKOBA NYAKANYASI- MUHAYA -MUISLAM- MAMA WA NYUMBANI- 0628 749070

10. REVINA THEONEST RUTINDA 29YRS-KAGERA SUGAR-PROCCESSING ENGINEER-MUHAYA-MKRISTO- 0754588634 HOME GEITA(MWMA WA EMILI).

12. EMILI VICTOR MWESIGA 1.3 YRS -MUHAYA-KAGERA SUGAR

14. JESCA JULIUS TITUS 27YRS DSM - MUHA - MKRISTO PENTECOSTAL -NESI BY PROFESSIONAL. 0753953702
15. ZANGLIN 30YRS DSM (MCHINA)-CIVIL ENGINEER-0788453998

14. RICHARD KOMBA 42yrs-MMATENGO-MKURUGEBZI KAGERA TEA COMPANY MARUKU- 0756902081

15. EMMANUEL AMANI 28yrs MWANZA
16. NIKSON JACKSON KAWICHE 35YRS from DSM-ADITOR MDH-MCHAGA-MKRISTO-0742361210/071389942

17. SALEH OMARY 46YRS - MLIGURU-0789530136-SONARA-KIPAWA KARAKATA-
18. EDWIN BITEGEKO 33YRS DSM BANKER CRDB HQ TABATA-MUHAYA-MKRISTO-0755920587/0719124576

19. EVA DICKSON MCHARO 38YRS SENGEREMA MWANZA-MPARE-MKRISTO-PCCB SENGEREMA-0766847175

21. JOSEPHINE JOSEPH MWAKISAMBWA 34YRS MBEYA ANAISHI DAR-DKT-MKRISTO-MNYAKYUKYUSA-0762415551

21. THEODORA STANSLAYS MPESHA 46yrs ANAISHI DSM-MWASIBU DSM-MKRISTO-MUHAYA-0754841044

22. JOSEPH LAURENCE MBAGO 57YRS BOT ANAISHI DSM-MKRISTO-MBONDEI

WAHUDUMU

1. BRENDA SELVULI TEMBA 23YRS DSM-MCHAGA-MKRISTO-0686929264-AIR HOSTRESS PRECISION

2. LYDIA IBRAHIM RAMADHAN- 25YRS-MDIGO-MKRISTO- DSM AIR HOSTRESS PRECISION-0717800570

NB. WANAUME 16, WANAWAKE 9 NA MTOTO 1(ME)

MAJINA YA WALIOFARIKI DUNIA.

1. ATULINDE BITEYA
2. ANETH BITEYA
3. NEEMA FARAJA
4. HANIFA HAMZA
5.ANETH KAAYA
6.VICTOR LAUREAN
7. SAID MALAT LYANGANA
8.IMAN PAUL
9. FARAJI YUSUPH
10.LIN ZHANG
11.SAULI EPIMARK
12.ZACHARIA MLACHA
13.EUNICE NDIRANGU
14.MTANI NJEGERE
15. ZAITUNI SHILLAH
16.DR. ALICE SIMWINGA

17. BURUANI LUBAGA - RUBANI
18.PETER ODHIAMBO - FIRST OFFICER.
Manusura wa ajali Namba 14 classmate wangu wa tumesoma wote somewhere miaka ya 2000 very humble classmate huyo mkurugenzi wa Kagera sugar. Nilimuonq akihojiwa not seen him 20yrs
 
Back
Top Bottom