Orodha ya waliokufa na wasiokufa angalia hapa kama una ndugu yako

Kwaya ya Arusha waliimba wimbi huu zamani
 
Ingependeza zaidi,kwani kiongozi sio mtu?kwamba wao hawatakiwi kufa?
 
Non sense
 
Unapoteza muda kumjibu mpumbavu kistaarabu? Biblia inasema mjibu mpumbavu kulingana na upumbavu wake.
 
Mungu wenu ameshindwa kuwaokoa, mpaka wavuvi wamewaokoa,

Mtu anakunywa maji huku akiomba mungu na bado Mungu hampi msaada wowote mpaka anakufa. Bado mnasema mungu ana nguvu.
Au hili nalo linahitaji macho ya kiroho?
Upuuzi. Mungu hadhihakiwi. Ni vema ukatubu, kumdharau Mungu ni uovu uliopitiliza.
 
Dini ya mtu na namba za simu za nn?
Kama ni nduguyo utawasiliana naye vipi? Wakati mwingine majina hufanana, ukiwa hauna ndugu utaona ni upuuzi ila ni upuuzi zaidi kusoma jambo ambalo halikuhusu ukijua wewe hauna ndugu mwenye uwezo wa kupanda ndege.
 
Washukuru wazungu walioleta dini
 
Lumumba ganja mlizoletewa awamu hii zina mbegu nyingi sana
 
Nilikuwa nimejipumzisha huku naperuzi mtandaoni ghafla nikaliona jina fulani la hao waliopoteza maisha kwenye hiyo ajali aisee nusura nizimie baada ya mawasiliano ya hapa na pale ndio nikajua kumbe sio bosi wangu,bali ni majina tu yamefanana
 
Narudia, dini na namba ya simu kwenye matatizo hivi ni vya nn?
Majina hufanana.Yawezekana namba ya simu ikamtambulisha zaidi kama unamjua.Hata dini.Maana kuna kibaka aliiba vyeti vyangu vya O na A level ni wa dini ingine.Kibaka yule!
 
Kiongozi nae ni mtu pia anayo haki kufa kama kawaida, nasisitiza anayo haki ya kufa sawa sawa na binadamu wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…