She Quoted you
JF-Expert Member
- Oct 19, 2020
- 687
- 1,184
Sasa kwanini ulinzi wa viongozi huwa mkubwa kuliko wa raia wa kawaida? Kwanini viongozi wakiugua hupelekwa hospitali kubwa kubwa mpaka nje ya nchi kwa gharama za walipa kodi? Wakati hospitali za ndani hawataki kuziboresha?Kiongozi nae ni mtu pia anayo haki kufa kama kawaida, nasisitiza anayo haki ya kufa sawa sawa na binadamu wengine
Akili ikitulia pitia tena hiki ulichosema hapa. Inawezekana umelewa pombe au umelewa kiburi (cha uzima na kipato).Mi nalindwa na pesa zangu, Mungu ni mpigaji tu.
Umefanya dhihaka kubwa kwa Mungu(, iwapo ulimaanisha Mungu muumba wa mbingu na nchi)Mungu wenu ameshindwa kuwaokoa, mpaka wavuvi wamewaokoa,
Mtu anakunywa maji huku akiomba mungu na bado Mungu hampi msaada wowote mpaka anakufa. Bado mnasema mungu ana nguvu.
Au hili nalo linahitaji macho ya kiroho?
Unaniogopesha?Umefanya dhihaka kubwa kwa Mungu(, iwapo ulimaanisha Mungu muumba wa mbingu na nchi)
Mungu akurehemu.
Kazi ya Mungu si kuokoa tu, hata kuua pia.
Kwa hiyo alioamua wafe wamekufa na alioamua wapone watapona.
Wavuvi wametumika tu kutekeleza maamuzi ya Mung
Kum 32:39 SUV
Faha""mu sasa ya kuwa Mimi, naam, Mimi ndiye, Wala hapana Mungu mwingine ila Mimi; Naua Mimi, nahuisha Mimi, Nimejeruhi, tena naponya; Wala hapana awezaye kuokoa katika mkono wangu+"
SUV: Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Akili yangu iko sawa kabisa.Akili ikitulia pitia tena hiki ulichosema hapa. Inawezekana umelewa pombe au umelewa kiburi (cha uzima na kipato).
Wakati wa Kuaga ungewasafirisha kivipi kama hujui Dini yake? Ungeweka Msalaba Kila Jeneza? Kuna Majeneza pia hutengenezwa kutokana na Dini ya Mtu.Narudia, dini na namba ya simu kwenye matatizo hivi ni vya nn?
Tena swali lako inafaa liwe linaishi chooniDini ya mtu na namba za simu za nn?
Inasaidia nn?Wakati wa Kuaga ungewasafirisha kivipi kama hujui Dini yake? Ungeweka Msalaba Kila Jeneza? Kuna Majeneza pia hutengenezwa kutokana na Dini ya Mtu.
Tutaona hizo zitakufikisha wapi?Mi nalindwa na pesa zangu, Mungu ni mpigaji tu.
Zimenilinda mpaka nakaribia kuzeeka na kufa.Tutaona hizo zitakufikisha wapi?
Tena ujinga na upumbavu Sana!Mbona umeandika ujinga we mtu
Manusura wa ajali Namba 14 classmate wangu wa tumesoma wote somewhere miaka ya 2000 very humble classmate huyo mkurugenzi wa Kagera sugar. Nilimuonq akihojiwa not seen him 20yrs
WALIOPELEKWA HOSPITALI
1. RAGI SAMWEL INYOMA (0752157904) 28yrs DSM
2. RAUSATH HASSAN - 26yrs BUKOBA
3. ANNA MAY MITABALO 40yrs KARAGWE
4. DR FELIX OTIENO 37YRS-JALUO-MKRISTO -BUNDA-0765779548
6. SHAMIRU ISMAIL BKB 34YRS- ITAWA-MUHAYA-DAKTARI-0753527776
6. PROTAS MUSSA - 38YRS NGARA
7. AMOS SKOTH 38YRS MWANZA
8. GRACE RUGAMBWA - 67YRS NYAKANYASI BUKOBA -MUHSYA-MUUGUZI MSTAAFU-MKRISTO-0755016680
9. AMINA ABDALLAH KARWANDIRA 62YRS BUKOBA NYAKANYASI- MUHAYA -MUISLAM- MAMA WA NYUMBANI- 0628 749070
10. REVINA THEONEST RUTINDA 29YRS-KAGERA SUGAR-PROCCESSING ENGINEER-MUHAYA-MKRISTO- 0754588634 HOME GEITA(MWMA WA EMILI).
12. EMILI VICTOR MWESIGA 1.3 YRS -MUHAYA-KAGERA SUGAR
14. JESCA JULIUS TITUS 27YRS DSM - MUHA - MKRISTO PENTECOSTAL -NESI BY PROFESSIONAL. 0753953702
15. ZANGLIN 30YRS DSM (MCHINA)-CIVIL ENGINEER-0788453998
14. RICHARD KOMBA 42yrs-MMATENGO-MKURUGEBZI KAGERA TEA COMPANY MARUKU- 0756902081
15. EMMANUEL AMANI 28yrs MWANZA
16. NIKSON JACKSON KAWICHE 35YRS from DSM-ADITOR MDH-MCHAGA-MKRISTO-0742361210/071389942
17. SALEH OMARY 46YRS - MLIGURU-0789530136-SONARA-KIPAWA KARAKATA-
18. EDWIN BITEGEKO 33YRS DSM BANKER CRDB HQ TABATA-MUHAYA-MKRISTO-0755920587/0719124576
19. EVA DICKSON MCHARO 38YRS SENGEREMA MWANZA-MPARE-MKRISTO-PCCB SENGEREMA-0766847175
21. JOSEPHINE JOSEPH MWAKISAMBWA 34YRS MBEYA ANAISHI DAR-DKT-MKRISTO-MNYAKYUKYUSA-0762415551
21. THEODORA STANSLAYS MPESHA 46yrs ANAISHI DSM-MWASIBU DSM-MKRISTO-MUHAYA-0754841044
22. JOSEPH LAURENCE MBAGO 57YRS BOT ANAISHI DSM-MKRISTO-MBONDEI
WAHUDUMU
1. BRENDA SELVULI TEMBA 23YRS DSM-MCHAGA-MKRISTO-0686929264-AIR HOSTRESS PRECISION
2. LYDIA IBRAHIM RAMADHAN- 25YRS-MDIGO-MKRISTO- DSM AIR HOSTRESS PRECISION-0717800570
NB. WANAUME 16, WANAWAKE 9 NA MTOTO 1(ME)
MAJINA YA WALIOFARIKI DUNIA.
1. ATULINDE BITEYA
2. ANETH BITEYA
3. NEEMA FARAJA
4. HANIFA HAMZA
5.ANETH KAAYA
6.VICTOR LAUREAN
7. SAID MALAT LYANGANA
8.IMAN PAUL
9. FARAJI YUSUPH
10.LIN ZHANG
11.SAULI EPIMARK
12.ZACHARIA MLACHA
13.EUNICE NDIRANGU
14.MTANI NJEGERE
15. ZAITUNI SHILLAH
16.DR. ALICE SIMWINGA
17. BURUANI LUBAGA - RUBANI
18.PETER ODHIAMBO - FIRST OFFICER.