Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,160
- 5,793
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kuna yule mbuge wa singida aliyeoa miss Tz sijui anaitwa nani alisema Marekani wamemuomba awe rais wa Tanzania.. yule ndiyo kiongozi wa washamba ukanda huu wa Africa na maziwa makuu pamoja na ukanda wa Asia
Nime Cheka kwa sauti kubwa sana