Orodha ya wanasiasa ambao bila kuwapuuza Tanzania tusingekuwa hapa leo


Inachukua miaka mingapi kuandika busness plan?

Kati ya kuandika bisness plan na kununua ndege lipi ni jambo gumu?
 
1. Zito Kabwe
Huyu mwanzilishi wa ACT Wazalendo alikuwa haamini kabisa kama a wakimbizi Canada maisha yao yote!.
Ila huyo wa pili kwenye corona nimecheka sana,alikurupuka kama wazungu
 
C
Canada hamna kambi ya wakimbizi
 
Mbona wote wa upinzani.....

Hata wewe ukiwa na nafasi ya kufanya unachoamini fanya ili tuje kuona matunda yake.

Ukisikiliza watu.
 
Wana siasa Kwa Tanzania ni WA wili tu.
1.JPM.
2. TLS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…