Orodha ya wanasiasa bora wa muda wote nchini Tanzania

Hii orodha yako inaniambia vitu viwili moja umri wako mbili ni kwa kiasi gani masomo ya historia na siasa yako nyuma sana kwenye mitaala yetu .
 
Kama Mh. Dr. Hashim Rungwe hayupo hiyo ni uongoooo
 

Huyu #11 ni nani?
 
Mtoa mada, hii ni I'd yako ingine..
Umejiorodhesha hapo # 14 halafu umetulia tuliii unapima tu upepo😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…