Orodha ya Wasanii Bora wa Muziki wa Kizazi Kipya mwaka 2022

Orodha ya Wasanii Bora wa Muziki wa Kizazi Kipya mwaka 2022

To cut long story short,
Hiyo ni list yako.
SI ndio?
basi Haina shida
 
Hapa sioni wanamuziki kitu bali makanjanja wa muziki. Wao mapenzi na matusi ndizo hoja zao. Tanzania wanamuziki walishakufa. Waliobaki ni ushoroba wa kutafuta fedha na sifa.
Haswa Nami majina yote hayo ni wahalifu walioharibu mziki wa dansi wa kitanzania
 
Siku hio napita kule Kijiji cha YouTube napekuapekua nakutana na msanii anaitwa Mavokali jicho likantoka kubonya link chini nakuta mwingine anaitwa Kotawa eeeh nikaona kweli sasa nshazeeka, juzi juzi naangalia hawavumi lakini wamo kipindi cha Zomboko ITV nikamkuta mwingine wanamuita Golden Dee nikasema tayari naukimbilia mkongoja nimeshakua babu tayari mimi
 
Back
Top Bottom