tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,972
- 20,221
Umetumia vipimo gani?1. Harmonize
2. Alikiba
3. Marioo
4. Mboso
5. Diamond
6. Nandy
7. Ney wa Mitego
8. Maarifa
9. Rayvanny
10. Zuchu
Hii list imetokana na vigezo gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetumia vipimo gani?1. Harmonize
2. Alikiba
3. Marioo
4. Mboso
5. Diamond
6. Nandy
7. Ney wa Mitego
8. Maarifa
9. Rayvanny
10. Zuchu
Mwenye ingredients za ugali ni nani? Abby chams au?-Jay melody
-Mario
-king kiba(ndie Msanii ambae ninamkubali mno.naupenda mziki wake kupitiliza)
-No mara wa
-yule mwenye Ana ingredients za ugali (anasauti nzuri)
Nitarudi na list nyingine
Yes huyo huyo..nilimsahau jina lohMwenye ingredients za ugali ni nani? Abby chams au?
Ana ngoma ipi kali??Yes huyo huyo..nilimsahau jina loh
Maswali sihitaji ndugu kiongozi.list yangu nimeshaiwekaAna ngoma ipi kali??
Mziki ni zaidi ya sauti
Ndio matokeo ya utafiti mkuu.Alikiba juu ya Harmonize..
Aisee
Umeangalia ninj kwny social mediaWasanii bora waliofanya vizuri 2022
1. Diamond Platnumz
2. Zuchu
3. Mbosso
4. Marioo
5. Jay Melody
6. Rayvanny
7. Lavalava
8. Ali Kiba
9. Harmonize
10. Jux
List imezingatia evidence based research kwenye social media, clubs, radio & TV stations, shows, appearance na tuzo kubwa.
Anaetaka kupata data analysis anakaribishwa.
Shida ya Harmonize anaimba muziki kama wa taarabu.Zuchu kamzidi harmonize, hii research ni 🚮
Sio mimi tafiti ndio zinaonesha hivyo, usibishane na namba.Zuchu kamzidi harmonize, hii research ni 🚮
Alikiba ameandamana huko baada ya kuwekwa namba sabaHebu kila mtu aweke top ten yake hapa tuone wasanii Bora wa music Tz mwaka 2022 ....
List yangu hii..
1.Zuchu
2. Jay Melody .
3.Marioo .
4.Harmonise
5. Diamond
6. Rayvany
7. Jux
8. Ali kiba
9.Lavalava
10. nandy..
Kila mtu atoe yake tuone