Mtu mara aimbe "amelowa amelowa amenyeshewa na mvua.Alinakamatia gia zikanipanda hisia."Kutwa nadindisha mkonga"."Sijui tufanye gizani ndyo pananoga".Diamond naye aimbe "Leo usinipe kitandani nipe kwenye kochi".
Watu wanaigiza ngono na kufanya matendo ya ndoa na matusi hadharani mbele yenu na mnawachakulia kawaida na kuwasifia badala ya kuwakemea.Mbaya zaidi wazazi wanawaacha watoto waangalie huo uchafu.
Hao wasanii uliowataja hawaburudishi kitu zaidi ya kuchochea watu wanywe pombe,uzinzi ,kupiga punyeto na matusi.