King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Vp nature n mtoto wa mama Said? mie nna mashaka nao
Mbona mnamsahau mzee wa hiphop banjo man dojo? Tuanze kuwataja wazungu
1.Idd Azan
2.Riz uno
3...
sembe kinondoni .....gongo temeke ...hahahaha
wewe utakuwa teja tu.
Mbona mnamsahau mzee wa hiphop banjo man dojo? Tuanze kuwataja wazungu
1.Idd Azan
2.Riz uno
3...
"wanao-snif na ku-smoke mie ndio nawa control"-Nyandu Tozi Dogo Hamidu.
"AMANI KWA KAKA VODA MILIONEA WAAMBIE WADOGO ZAKO WAACHE PODA WALE MMEA"-LANGA
Kevin Kevin revise your international issues literature na ui-update .... sembe a.k.a unga a.k.a drug abuse na traffiking plus plus other related issues ni global problem kwa sasa kama ulikuwa hujajua. Si kwa Tanzania tu ni kimataifaa sasa inakuwa ngumu kwa global community kudeal nayo na inaonekana si hoja yenye kutekelezeka kirahisi sana mwa actors as kuna watu wakubwa sana wenye steak kwenye hilo.We have bigger problems like Umaskini,Ufisadi and ----ing global warming.bila kuisahau CCM.
Duh, salute
16.mimi
Usipotoshe, Langa anasema " Amani kwako kaka Voda Milionea, mwambie mdogo wako aache ushoga na umbea"
Nature hua anasema eti yeye havuti Bangi!
sasa sijui Unga inakuaje!
Kwa kuwataja na kuwaanika hadharani nafikiri itasaidia,kwani wengi wanafanya siri na kuja kuharibikiwa mbeleni
1.LORD EYEZ
2.DAZ BABA
3.CHID BENZ
4.Q CHIEF
5.TEMBA
6.NATURE
7.BANZA
8.DIOF
9.TID
10.BLUE
11.IBRA DA HUSTLER
12.BU NAKO
13.CHRISTIAN BELA
14.MABOVU
15.mox
16....
Wengine wajazie list,wasipoacha kama wenzao ray c na langa suti zitawatosha
hahah!cku hiz nimeboresha,napigia toilet!wewe?unaonekana tu!vp cku hz umeama kijiwe?
hahah!cku hiz nimeboresha,napigia toilet!wewe?
Mia......We have bigger problems like Umaskini,Ufisadi and ----ing global warming.bila kuisahau CCM.
Duh, salute