Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

nimemsoma mtoa mada na nimeona michango ya baadhi ya watu, mashabiki wa mziki wa bongo hawana tofauti saana na wa mpira wa bongo, yaani ni watu wa mapenzi na msanii matukio na sio good music, tena sanasana generation hii ya 2000's, mfano mtu anamtaja Benjamin wa mambo jambo? kwa wanaojua taste ya mziki mzuri watakua wamenielewa
 
Tunapoelekea mleta mada utasema hata Sir Nature (Juma Nature) hana kipaji .😂😂😂😂
Hawezi kuthubutu kusema hivo, Nature ni hazina ya taifa Top 10 ya wasanii kuwahi kutokea Nchii hii humkosi Nature yan apo unawaweka na kina Mbaraka Mwishee et al
 
Ni kweli Jaffarai hana kipaji, sikuwahi kumuelewa
 
Unataka aweje ili umuone ana kipaji
Nikusaidie kwa mazingira ya zaman ilikua ni ngumu sana kutoa nyimbo na ukavuma ni tofauti na sasa hivi

Chujio la zaman ni gumu sana kama huna kipaji tofauti na sasa hivi mafanikio ya msanii yako revolve around kick
Hao uliowataja ni wachache kati ya wengi waliopambana kujulikana ki-music na wakashindwa ukweli ni kwamba watoto wa sahivi mnachukulia mambo kirahis sana kabisa unasimama unasema sugu au temba hana kipaji hivi unayajua mazingira ya 2000 kurudi nyuma huko
Ebu nikuulize una miaka mingapi
GWM
 
Hoja Ni kitokuwa na kipaji kiwa na mazingira magumi sio excuse ya kuwa ndio una kipaji pia zamani nyimbo nyingi zilikuwa zakindezi Basi tu zamani watu wali accept ujinga mziki sasahivi unachuja quality
Huyo ni mtoto wa juzi anafikiri mazingira ya wakati ya miaka 90's ni sawa na leo ni tatizo kubwa la vijana wa social media ndo maana nikaamuliza kazaliwa lini isije ikawa unabishana na mtu ambaye kazaliwa 2000's ndo maana anaongea pumba
 
Kama nyimbo ya jafarai ft daz baba niko bize bonge ya nyimbo utawafananisha na hawa wasanii wa sahivi
Ujinga wa Niko bize ndio unakuja kumfananisha na nyimbo za sasa

Kuna ile inaitwa sijui Nasergia effect ndio unawasumbua
 
Hahahaahahaha... huu uzi ni wa chuki iliyopitiliza. Hapo labda Kalapina, Maujanja Suppliers na Bou Nako tu ndo vipaji vyao vinaweza kuwa na hitilafu... kusema Sugu hana kipaji ni tusi kwa Bongo Flavour yote.
Imagine mtu anakwambia Maujanja suppliers hawana uwezo na bado mnamchukulia serious

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Hoja Ni kitokuwa na kipaji kiwa na mazingira magumi sio excuse ya kuwa ndio una kipaji pia zamani nyimbo nyingi zilikuwa zakindezi Basi tu zamani watu wali accept ujinga mziki sasahivi unachuja quality
Asante sana mkuu kwa mchango wako
 
Hawezi kuthubutu kusema hivo, Nature ni hazina ya taifa Top 10 ya wasanii kuwahi kutokea Nchii hii humkosi Nature yan apo unawaweka na kina Mbaraka Mwishee et al
Nature ni issue ingine kabisa ile pure talent
 
nimemsoma mtoa mada na nimeona michango ya baadhi ya watu, mashabiki wa mziki wa bongo hawana tofauti saana na wa mpira wa bongo, yaani ni watu wa mapenzi na msanii matukio na sio good music, tena sanasana generation hii ya 2000's, mfano mtu anamtaja Benjamin wa mambo jambo? kwa wanaojua taste ya mziki mzuri watakua wamenielewa
Asante sana mkuu
 
Back
Top Bottom