Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeenda ipakua iyo tunabang daah wayback aisee....lile biti sasa[emoji119][emoji119]wanaharakati wa mwenge hawaNa wanasikio la kuchagua beats za kibabe. Beats zao ni kali sana.
1. Tuna bang
2. Nipe jibu
3. Hizi sura
Nilivyokuta hilo jina,nikainuka ili kuhakikisha ikiwa ninaota au la! Ninadhani mtoa habari ni mtu wa Korea Kasikakazini. La sivyo basi kazaliwa 2010.Mike T huyu tunayemjua? Unalinganisha na hawa wanaosuka nywele kama wanawake?
Sijanzumgumzia heshima ya sugu kwenye muziki wa bongo fleva , nimezungumzia uwezo wa sugu kimuziki kwa kifupi jamaa ana uwezo mdogo sanaDa watoto WA sikuhizi mkashasikia mapiano akili zinahama kabisa sijui zinahamia makalioni?? Hivi kweli Sugu, kalapina, Mh Temba, Rich One na Jafarai hawana vipaji???
Sugu ambaye tukisema tu tuanzishe majadala wa mwanahiphop Bora wa muda wote huwezi kuacha kumtaja..
Sugu ni genius hebu kuweni na heshima basi
Umezalwa mwaka ambao sugu anatoka hit song(siku yangu)Angalia kwenye biograph yangu hapo utaona
Bang ya Nako2Nako skuwahi kuipenda hata kidogo( zote og na remix yake).Nimeenda ipakua iyo tunabang daah wayback aisee....lile biti sasa[emoji119][emoji119]wanaharakati wa mwenge hawa
Je utanipenda mi nikiwa fukaraNilivyokuta hilo jina,nikainuka ili kuhakikisha ikiwa ninaota au la! Ninadhani mtoa habari ni mtu wa Korea Kasikakazini. La sivyo basi kazaliwa 2010.
(Sito badilika).
Atakuwa ni Kisingeli huyu mtoto. Lkn haina shida,keshokutwa ata rudi shuleni.Da watoto WA sikuhizi mkashasikia mapiano akili zinahama kabisa sijui zinahamia makalioni?? Hivi kweli Sugu, kalapina, Mh Temba, Rich One na Jafarai hawana vipaji???
Sugu ambaye tukisema tu tuanzishe majadala wa mwanahiphop Bora wa muda wote huwezi kuacha kumtaja..
Sugu ni genius hebu kuweni na heshima basi
Pasu kwa pasuNimeenda ipakua iyo tunabang daah wayback aisee....lile biti sasa[emoji119][emoji119]wanaharakati wa mwenge hawa
Yaani ninajaribu kumfikiria huyu mtoa andiko hili,sema ndo hivyo kizazi cha singeli walivyo.Je utanipenda mi nikiwa fukara
Je utanipenda mi nisipong'ara
Je utanipenda?
Au ndio utaniponda?
Au je, utanipenda mi nisipokua na huu ustar
Siku nimechoka nimekosa chapaa?
Je utanipenda?
Au ndio utaniponda babyyyy???
Halafu useme Mike T Hana kipaji [emoji52][emoji23]
Mh Temba kabebwa na Chege ? HOW? Awa wamekutana na Wanaume Family, katafuta albam ya Monduli mobb inaitwa nini kutuzimia, msikilize Temba wayback kabla ajahamia Temeke. Then tafuta albam za wanaume zile mbili fuatilia alipoimba temba urudi na mrejesho....Sijakosea ...hawana uwezo wowote
Mfano mh temba amebebwa na chege kwa kipind kirefu sana ..
Kweli shule zinafunguliwa keshokutwa tuAtakuwa ni Kisingeli huyu mtoto. Lkn haina shida,keshokutwa ata rudi shuleni.