Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Mh Temba kabebwa na Chege ? HOW? Awa wamekutana na Wanaume Family, katafuta albam ya Monduli mobb inaitwa nini kutuzimia, msikilize Temba wayback kabla ajahamia Temeke. Then tafuta albam za wanaume zile mbili fuatilia alipoimba temba urudi na mrejesho....

Temba ndo ile Pure Rap Katuni
Mpaka naandika hapa nshafuatilua kote huko nakuona uwezo wake ni mdogo sana
 
Sijanzumgumzia heshima ya sugu kwenye muziki wa bongo fleva , nimezungumzia uwezo wa sugu kimuziki kwa kifupi jamaa ana uwezo mdogo sana
Hivi unamjua sugu rafiki kweli au unaleta utani???

Yaani mtu ana album Tisa halafu useme ana uwezo mdogo!!

Hizi hapa ni albam alizoimba sugu hebu tafuta hata moja tu halafu ndo ulete hizo porojo zako.

Album hizo ni “Ni Mimi” iliyotoka mwaka 1995, Ndani ya Bongo (1996), Niite Mr II (1998), Nje ya Bongo (1999), Millennium (2000), Muziki na Maisha (2001), Itikadi (2002), Sugu (2004), Coming of Age-Ujio Wa Umri (2006) na VETO iliyotoka mwaka 2009.
 
Mh Temba kabebwa na Chege ? HOW? Awa wamekutana na Wanaume Family, katafuta albam ya Monduli mobb inaitwa nini kutuzimia, msikilize Temba wayback kabla ajahamia Temeke. Then tafuta albam za wanaume zile mbili fuatilia alipoimba temba urudi na mrejesho....

Temba ndo ile Pure Rap Katuni
Boraa usemee wee.
 
Kalapina,

Huyu jamaa mbali na kuwa na harakati nyingi akiwa pamoja na kundi lake la Kikosi cha mizinga .ukweli ni kwamba hana kipaji cha music. Alipata umaarufu coz ametoka kipindi wasanii ni wachache

Sugu

Huyu jamaa ana majina kibao kama Mr two, jongwe, too proud na sasa anajiita Taita licha ya kuwa na heshima kama moja ya waasisi wa music wa hiphop tanzania , ukweli ni kwamba hana kipaji cha music

Jaffarai

Huyu ni moja ya member wa wateule alitamba na wimbo wa niko bize .lakini hakuweza kudumu kwenye game kwa muda mrefu kutokana ukweli hana kipaji

Mchizi mox

Huyu pia ni member mwingine wa wateule ngoma zake zilizowahi kupata airtime ni mambo vp na chupa nyingine . lakini uwezo wake ni wa kawaida sana

Mike tee mnyalu

Huyu jamaa alipata airtime miaka ya zamani kwa ngoma zake lakini ukimskiliza ni wazi hana uwezo kabisa. Ni moja kati ya wasanii ambao huwa wanaandikiwa

Soggydog hunter

Huyu jamaa bora angebaki kwenye u presenter tuu huku kwenye music aliforce tuu hana uwezo kabisa ana ngoma nyingi ila iliyopenya ni kibanda cha simu pekee yake

Bou nako

Huyu alikua member wa N2N lakini tangu hakua na uwezo kabisa .nafkir wana walimbeba tuu kutokana na love .ila kwenye music jamaa hana kipaji

Kr mulah

Huyu ndio founder wa style ya kucheza Mapanga . ameanza sanaa muda mrefu sana lakini ukimskiliza utagundua jamaa hana uwezo wowote kwenye music kwa kifupi hana kipaji

Mh temba

Huyu ni member wa TMK wanaume family mwanzoni alibahatisha ngoma kama tatu zikaenda mjini, baadaye akaja kuungana na chege wakatoa hadi album..ila ukimfuatilia vizur jamaa hana
uwezo kabisa

Rich one

Huyu pia ni member wa TMK alitamba na ngoma moja aliyomshirikisha Juma nature inaitwa hatuna kitu.baada ya hapo hajawai kutoa hitsong tena, Jamaa anasifika kwa utapeli wa kuandaa show na wasanii fake huko mkoani afu anapiga hela

Dudu baya

Huyu jamaa aliotea ngoma kama tatu tuu ambazo zilimtambulisha vyema kwenye game .lakini alipata jina kwakua kipindi anatoka hapakua na upinzani mkali kama ilivyo sasa

Maujanja suppliers

Hawa jamaa nawakubali kwa harakati zao za street lakini kwenye music watupishe hawana vipaji .lakini wao wamekua wanalalamika wanabaniwa kitu ambacho sio ukweli

Kama unafuatilia music wa bongo fleva utakua unakubaliana na mimi hawa jamaa hawana talent za music kabisa
Ila we jamaa unachekesha Sana bou nako ana Ngoma yake moja inaitwa MBIO ZA VIJITI...
Siku ukifika Musoma mjini halafu useme Bou Nako Hana kipaji walahi nakuapia kichwa chako kitakatwa mchana kweupeeeeeeeeee wapewe zawadi sangara wa ziwa Victoria...

Huyo Dudubaya unayesema Hana kipaji huenda wewe ndo hujui nyimbo zake na balaa zilizofanya mwanzoni mwa miaka ya 2000...

Hivi ulibahatika kusikiliza hizi ngoma Kwanza..
1. Nakupenda mpenzi
2. Nimeondoka
3. Mashaka
4. Nakupenda tu
5. Manundu
 
Na kuna Ile Ngoma Yao inaitwa 50/50

Ukitaka chochote Nani na ninoo nani na ninoo
NI fifty fifty
Da Ila bongo fleva ilikua zamani [emoji16][emoji16][emoji16]
Hii ngoma yuko na Ngwair, afu ndani ya wimbo kuna sauti km ya ngwair yaan km kachoka hivi, naipenda ile sauti.

[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Huujui mziki iko hivi kama huna kipaji hata kujilikana huwezi tu.

Kitendo cha mpka wewe kuwajua tayari ulishasikia nyimbo zao.

Ina maana wana vipaji. Acheni kudharau watu

Elewa kuwa hata Harmorapa ana kipaji cha muziki.
 
Hivi unamjua sugu rafiki kweli au unaleta utani???

Yaani mtu ana album Tisa halafu useme ana uwezo mdogo!!

Hizi hapa ni albam alizoimba sugu hebu tafuta hata moja tu halafu ndo ulete hizo porojo zako.

Album hizo ni “Ni Mimi” iliyotoka mwaka 1995, Ndani ya Bongo (1996), Niite Mr II (1998), Nje ya Bongo (1999), Millennium (2000), Muziki na Maisha (2001), Itikadi (2002), Sugu (2004), Coming of Age-Ujio Wa Umri (2006) na VETO iliyotoka mwaka 2009.
Umekosa point ya kuandika Sugu katoa 9 albums , wote tujiulize zina impact gani
Yan kwavile alianza zamani na ametoa album 9 ndo tumpe sifa ambazo hana?
 
Back
Top Bottom