Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Hii ngoma yuko na Ngwair, afu ndani ya wimbo kuna sauti km ya ngwair yaan km kachoka hivi, naipenda ile sauti.

[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
50 50 Mapacha wapo na marehemu mez b.

Ngoma ya Mapacha walioimba na ngwair inaitwa NIPE JIBU. Humo ndani yupo pia mkali mwingine NURUELI.
 
Huujui mziki iko hivi kama huna kipaji hata kujilikana huwezi tu.

Kitendo cha mpka wewe kuwajua tayari ulishasikia nyimbo zao.

Ina maana wana vipaji. Acheni kudharau watu

Elewa kuwa hata Harmorapa ana kipaji cha muziki.
We kwel hamnazo.

Dr shika
Harmo rapa
Piere liquiid
Madonga

Hawa wote nna wajua na nna amini na ww unawajua haya ntajie vipaji walivyo navyo
 
Umekosa point ya kuandika Sugu katoa 9 albums , wote tujiulize zina impact gani
Yan kwavile alianza zamani na ametoa album 9 ndo tumpe sifa ambazo hana?
Umesema Hana uwezo sasa aliwezaje kutoa hizo album??
Na pia ana hitsong nyingi Sana aliwezaje kufanya hivo tena tangu enzi hizo mziki wa rap ulikua unaonekana ni uhuni lakini alipenya na kuiteka jamii
 
Kwa maelezo yako hayo basi ongeza na Diamond platnums.
 
We kwel hamnazo.

Dr shika
Harmo rapa
Piere liquiid
Madonga

Hawa wote nna wajua na nna amini na ww unawajua haya ntajie vipaji walivyo navyo
We nanga kweli nani hao Dr shika, pierre liquid na mandonga wanaimba muziki?

Uliielewa hoja yangu?
 
Umesema Hana uwezo sasa aliwezaje kutoa hizo album??
Na pia ana hitsong nyingi Sana aliwezaje kufanya hivo tena tangu enzi hizo mziki wa rap ulikua unaonekana ni uhuni lakini alipenya na kuiteka jamii
Kipindi sugu anasikika redioni alikua ndo msanii pekee hvyo ilikua ni laIma askike coz hapakua na mpinzani , ndo maana aliishia kutamba 2000 baada ya vipaji halisi kuibuka , kina prof jay, ngwair, jay moe, FA na wengine kibao
Ukitaka kujua sugu hakua na takent ,tangu walianza kina prof jay sugu hakusikika tena , mpaka akaanza kulalamika kuwa anabaniwa ikafika kipindi wakaunda kundi la Ant virus na labda nkukumbushe tuu wasanii wote aliounda nao Ant virus hawana vipaji vya muziki
 
Ila we jamaa unachekesha Sana bou nako ana Ngoma yake moja inaitwa MBIO ZA VIJITI...
Siku ukifika Musoma mjini halafu useme Bou Nako Hana kipaji walahi nakuapia kichwa chako kitakatwa mchana kweupeeeeeeeeee wapewe zawadi sangara wa ziwa Victoria...

Huyo Dudubaya unayesema Hana kipaji huenda wewe ndo hujui nyimbo zake na balaa zilizofanya mwanzoni mwa miaka ya 2000...

Hivi ulibahatika kusikiliza hizi ngoma Kwanza..
1. Nakupenda mpenzi
2. Nimeondoka
3. Mashaka
4. Nakupenda tu
5. Manundu
Dudu baya na bou nako hawana uwezo kimuziki walitoka kipindi muziki haukuwa na wasanii wengi ..zamani ilikua ukisha record na ngoma ikabahatika kwenda redioni basi ujue ushatoka
 
Wewe wa 2017 utamwelewa wapi Sugu alikuepo tangu 1995 ? Eti kijana unanielewa kweli?
Kuwa wa kitambo hakukufanyi uonekane ww ni bora mkuu .....sugu kinachombeba au kilichombebs ni harakat zake na vinega wenzie akina mapacha sjui na akna nani ila sio kam mkali au znajua hpna ukitak kuamini unawezz kaa kwenye radio mwez mzma zisipgwe nyimbo za sugu hzo za zamani hata moja ila ikapgwa ya prof jay, jide, mwana fa, sy, crazy gk nk
yaan mm mkuu napenda mzkik hata huo mzk uliokua unapgwa kpnd sjazaliwa mm mpka leo huwa naiyltafta na kuiskiliza ko huwez niambia kitu mkuu
 
sugu kinachombeba au kilichombebs ni harakat zake na vinega wenzie akina mapacha sjui na akna nani ila sio kam mkali au znajua hpna ukitak kuamini unawezz kaa kwenye radio mwez mzma zisipgwe nyimbo za sugu hzo za zamani hata moja ila ikapgwa ya prof jay, jide, mwana fa, sy, crazy gk nk
yaan mm mkuu napenda mzkik hata huo mzk uliokua unapgwa kpnd sjazaliwa mm mpka leo huwa naiyltafta na kuiskiliza ko huwez niambia kitu mkuu
Bibi Kidude unamjua au haumjui ? Usiruke hili swali maana mna kawaida ya kuruka maswali
 
Jina la Kisanii alikua anaitwa Mr. II au Mr. 2 before hajaitwa Sugu alikua anaitwa Mr. II aka Sugu alipotoa 'wananiita Sugu' na Stala Thomas akafuta Mr. II akajiita Sugu km Sugu, sasa tafuta hio ngoma inaitwa "Wananiita Sugu" uisikilize ukimaliza rudi hapa Ila kabla haujarudi fanya paaaaap bonyeza dude moja linaitwa Mambo ya Fedha Sugu ft. Lady Jay Dee ukimaliza kusikiliza njoo hapa
Na ile hayakua mapenzi,kiburi ni ngoma kali

Lakini twende mbele turudi nyuma sugu hana kipaji ila ni mwanaharakati mzuri wa hip hop

Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
 
Kipindi sugu anasikika redioni alikua ndo msanii pekee hvyo ilikua ni laIma askike coz hapakua na mpinzani , ndo maana aliishia kutamba 2000 baada ya vipaji halisi kuibuka , kina prof jay, ngwair, jay moe, FA na wengine kibao
Ukitaka kujua sugu hakua na takent ,tangu walianza kina prof jay sugu hakusikika tena , mpaka akaanza kulalamika kuwa anabaniwa ikafika kipindi wakaunda kundi la Ant virus na labda nkukumbushe tuu wasanii wote aliounda nao Ant virus hawana vipaji vya muziki
We jamaa Huna unalolijua kabisa [emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]

Hivi Ngoma ya kiburi imetoka lini?
Halafu unajua nini kuhusu anti-virus???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli CCM IMELIHARIBU SANA HILI TAIFA YAANI MTU ANABISHA KITU ASICHOKIJUA USIKU MWEMA!
 
Wote wa zamani. Yaani zamani ulikua ukiingia studio tu umetoka.

Mfano kuna mwamba aliimba:

"Ni namna gani, tuta win, maishani hadi siku tutasema buriani.."

Aliimba utumbo haujawahi tokea ila alitoka kwa zama zile.
 
Na ile hayakua mapenzi,kiburi ni ngoma kali

Lakini twende mbele turudi nyuma sugu hana kipaji ila ni mwanaharakati mzuri wa hip hop

Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
Nyinyi kipaji mnazungumzia kipaji kipi majaji wa BSS kipaji kipi mnazungumzia sauti, utunzi, uandishi, uimbaji, mpangilio wa mashairi au kipaji kipi mnakizungu ?
 
Back
Top Bottom