Antennah
JF-Expert Member
- Oct 14, 2015
- 6,754
- 8,750
Nimegundua kijana kinacho kuchanganya industry revolution ya mziki hasa wa hiphop hapa bongo, mziki wa hiphop unakua na kubadirika kila siku na watu kugundua namna mpya za kuufanya mziki huo kila siku, na hiyo ni kutokana na exposure kubwa ya muziki iliopo duniani kwa sasa. Tuliopata kuwaskia hao jamaa miaka ya late 90s and miaka ya 20s, hakika masikio na bongo zetu havijutii, tulienjoy sana. Yn umemuweka mpaka mtu kama jaffarai, mike t mnyaru, soggy, una utani sana