Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Mtu anaposema hana kipaji anakuwa ameenda mbali kidogo. Hata kufanya anachofanya ni kipaji.
Ukubwa wa hicho kipaji ndio tatizo, ni msanii wa kawaida lakini anapenda kuwa " high rated" au watu wanam "rate higher" kuliko alivyo.
Jina kubwa kuliko kipaji !!!!!!
Mfano ukimsikiliza Sugu mashairi yake anaandika "kiurahisi" kiasi kwamba yapo "more direct" na kuondoa ila ladha ya kusikiliza kazi ya sanaa.
Mfano: kwenye ngoma yake ya watoto wa mitaani...

Nakatiza Mkwep
Napita mpaka samora/
Naona wanazurura/
Mazingira sio bora/
Wengi ni pekupeku na wachache wana ndala/
Wengine wana usingizi wanatembea wamelala/
Wanapita wanaomba hela/
Wanatafuta chakula/.
Mbali na kuwa mashairi ni "mepesi" lakini pia uwasilishaji wake "usiobadilika" unampunguzia credit.....
Ukiondoa beat unaweza dhani unaskiliza Nyimbo moja album nzima.

Nachomkubali ni choice ya Topics, angalau alikuwa ana topics relative kwenye jamii.
Jina la Sugu ni Kubwa kuliko uwezo wake wa kimuziki, huu ndio msimamo wangu
At least hapa umekuwa objective kuwa unapima uandishi. Hapa naweza kukubaliana na wewe kuwa kuna vijana wamekuja ktk muziki wanaandika vizuri kuliko Sugu. Hapa umetumia kigezo Cha uandishi na huo ni ukweli.
Ni sawa hata Fid anazidiwa uandishi na One.
Story telling Prof kawazidi wengi huo ni ukweli.
Hapa tuko sawa lazima kuwe na kigezo siyo kusema hana kipaji. Anacho lakini ktk angle fulani anazidiwa.
 
We kweli hamnazo

Jina la too proud historia yake lilitokana na ushamba wa Sugu mwenyewe , iko hivi sugu kama kawaida yake ni mtu wa majigambo sana tangu zamani, sasa kipindi hiko kuna siku alikua yeye , master jay na Mzungu mmoja walikua somewhere nafkiri coco beach , kama kawaida yake akawa anaendelea na matambo yake basi yule mzungu akamwambia master jay

" Your friend is too proud" Sugu akamwambia master jay hilo jina design kama nimelipenda huku hata akiwa hajui maana yake , ndo master jay akamwambia maana yake na Sugu akaona aishi nalo
Hiyo ndo historia ya too proud ilipoanzia

Ila yeye akaamua kujiita Mr two proud ...baadaye akaamua abaki na Mr two mpaka yalipokuja majina mengine
Chuki binafsi
 
At least hapa umekuwa objective kuwa unapima uandishi. Hapa naweza kukubaliana na wewe kuwa kuna vijana wamekuja ktk muziki wanaandika vizuri kuliko Sugu. Hapa umetumia kigezo Cha uandishi na huo ni ukweli.
Ni sawa hata Fid anazidiwa uandishi na One.
Story telling Prof kawazidi wengi huo ni ukweli.
Hapa tuko sawa lazima kuwe na kigezo siyo kusema hana kipaji. Anacho lakini ktk angle fulani anazidiwa.
Vigezo vikiwa vingi against wewe ndipo watu wanahitimisha kuwa kipaji chako ni kidogo.
 
Kila mtu ana flow zake anazozipenda, unamfahamu Talib Kweli? Nenda katafute wimbo wa mystical unaitwa danger kasikilize zile flow uone kama utaelewa kitu.
Kama unao huo wimbo uweke hapa nkujibu hapa hapa km huyo ni msanii au mbabaishaji
 
Mtu anaposema hana kipaji anakuwa ameenda mbali kidogo. Hata kufanya anachofanya ni kipaji.
Ukubwa wa hicho kipaji ndio tatizo, ni msanii wa kawaida lakini anapenda kuwa " high rated" au watu wanam "rate higher" kuliko alivyo.
Jina kubwa kuliko kipaji !!!!!!
Mfano ukimsikiliza Sugu mashairi yake anaandika "kiurahisi" kiasi kwamba yapo "more direct" na kuondoa ila ladha ya kusikiliza kazi ya sanaa.
Mfano: kwenye ngoma yake ya watoto wa mitaani...

Nakatiza Mkwep
Napita mpaka samora/
Naona wanazurura/
Mazingira sio bora/
Wengi ni pekupeku na wachache wana ndala/
Wengine wana usingizi wanatembea wamelala/
Wanapita wanaomba hela/
Wanatafuta chakula/.
Mbali na kuwa mashairi ni "mepesi" lakini pia uwasilishaji wake "usiobadilika" unampunguzia credit.....
Ukiondoa beat unaweza dhani unaskiliza Nyimbo moja album nzima.

Nachomkubali ni choice ya Topics, angalau alikuwa ana topics relative kwenye jamii.
Jina la Sugu ni Kubwa kuliko uwezo wake wa kimuziki, huu ndio msimamo wangu

Haya tutofautishie ww

Ni kweliJongwe sio mkali sana kwenye wordplay na punchline na kuchagua beat kali
Lakini Jongwe ni muandishi mzuri sana na anajua sana kutunga topiki kali za kijamii

Kutokuwa na punchline za kutisha hakumaanishi ni kutokua na kipaji

Legacy ya mtu hailazimishwi inakuja yenyewe kwa aliyofanya
Kusema Sugu hana kipaji ni KUMKOSEA HESHIMA
Legacy ya Jongwe kwenye muziki wa hip hop Tz haiwezi kuondoka kwasababu labda hamvutiwi na flow yake au mashairi yake mepesi kwa mujibu wa MAONI yenu

Nakumbuka miaka hiyo Hip hop ilikua inaonekana kama uhuni tu lakini Jongwe ndio rapper wa kwanza Tz kwenda mainstream(achana nabJabir alikua napiga copy na kutafsiri)

Na hata walipokuja marapa wengine wakakimbiza sana mainstream kama akina Juma Nature, Inspt Harion na makundi kibao ya rap lakini bado hawakuwa na ladha halisi ya hip hop, ilikua ni lazima utarudi kwa Jongwe ndio utapata kuboo kambaaam za akina tupac na NWA

Jongwe ndio msanii wa kwanza kushinda M-Net award Tz

Enzi hizo akina Nature,na marapa kibao walikua wanaimba madudu matupu lakini Jongwe alikua anaimba vitu vya msingi kweli kweli akaipa hip hop heshima kubwa kwamba kumbe ni mziki unaoweza kuimba vitu vya maana

Wasanii wengi sana walio kuja kuchipukia baadae walifuata mkumbo huo na kuanza kutunga tungo za jamii

Jongwe sio aina ya msanii ambaye atatoa hit zikaahika chati nabkupigwa disko
Jongwe ni muumini wa hip hop ngumu hadi beat lakini ndio msanii aliyefanikiwa ku maintain kiwango chake kile kile kwa album zake karibia zote 10
Haendelei na muziki kwa sana kwasababu dunia imebadilika na aina ya muziki wake haina tena wasikilizaji wengi

Najua Wikipedia inamapungufu yake lakini angalau tembelea page za wana hipo hop wote wa Tz utapata mwanga jinsi jongwe alivyo legendary kwenye hii tasnia

Kama unaijua historia ya muziki wa hip hop Tz jongwe lazima awe kwenye top 5 yako
 
Nimeanza kumfatilia Sugu kabla hujazaliwa, na ushahidi nimekuwekea Sasa wewe leta ushahidi popote pale palipoandikwa TOO PROUD
We unavozidi kubisha ndo nakuona ulivyo mjinga , yan kwavile hakuna sehemu iliyoandikwa basi ndo inakudanya uamini kuwa akikua anajiita Two proud
Kama huamini ingia youtube kuna interview master jay alishaongelea hilo
 
Ni kweliJongwe sio mkali sana kwenye wordplay na punchline na kuchagua beat kali
Lakini Jongwe ni muandishi mzuri sana na anajua sana kutunga topiki kali za kijamii

Kutokuwa na punchline za kutisha hakumaanishi ni kutokua na kipaji

Legacy ya mtu hailazimishwi inakuja yenyewe kwa aliyofanya
Kusema Sugu hana kipaji ni KUMKOSEA HESHIMA
Legacy ya Jongwe kwenye muziki wa hip hop Tz haiwezi kuondoka kwasababu labda hamvutiwi na flow yake au mashairi yake mepesi kwa mujibu wa MAONI yenu

Nakumbuka miaka hiyo Hip hop ilikua inaonekana kama uhuni tu lakini Jongwe ndio rapper wa kwanza Tz kwenda mainstream(achana nabJabir alikua napiga copy na kutafsiri)

Na hata walipokuja marapa wengine wakakimbiza sana mainstream kama akina Juma Nature, Inspt Harion na makundi kibao ya rap lakini bado hawakuwa na ladha halisi ya hip hop, ilikua ni lazima utarudi kwa Jongwe ndio utapata kuboo kambaaam za akina tupac na NWA

Jongwe ndio msanii wa kwanza kushinda M-Net award Tz

Enzi hizo akina Nature,na marapa kibao walikua wanaimba madudu matupu lakini Jongwe alikua anaimba vitu vya msingi kweli kweli akaipa hip hop heshima kubwa kwamba kumbe ni mziki unaoweza kuimba vitu vya maana

Wasanii wengi sana walio kuja kuchipukia baadae walifuata mkumbo huo na kuanza kutunga tungo za jamii

Jongwe sio aina ya msanii ambaye atatoa hit zikaahika chati nabkupigwa disko
Jongwe ni muumini wa hip hop ngumu hadi beat lakini ndio msanii aliyefanikiwa ku maintain kiwango chake kile kile kwa album zake karibia zote 10
Haendelei na muziki kwa sana kwasababu dunia imebadilika na aina ya muziki wake haina tena wasikilizaji wengi

Najua Wikipedia inamapungufu yake lakini angalau tembelea page za wana hipo hop wote wa Tz utapata mwanga jinsi jongwe alivyo legendary kwenye hii tasnia

Kama unaijua historia ya muziki wa hip hop Tz jongwe lazima awe kwenye top 5 yako
Hiyo top five ataingia kama nani?
 
We unavozidi kubisha ndo nakuona ulivyo mjinga , yan kwavile hakuna sehemu iliyoandikwa basi ndo inakudanya uamini kuwa akikua anajiita Two proud
Kama huamini ingia youtube kuna interview master jay alishaongelea hilo
Dogo nimenunua album za Sugu karibia zote, nimeanza kumfatilia wewe hujazaliwa kwahiyo nimesikiliza interviews zake nyingi mno. Ndio maana huwezi kukuta popote TOO PROUD
 
Dah, hivi flow ni nini.? Mistari mizuri ni ipi.? Kila mtu anaweza kuwa na flow ya Big n.k.? Nafikiri kwenye orodha hii mwandishi anapaswa kupitia tena baadhi ya majina na kufikiri upya anachosema kuhusu wasanii wao ni cha kweli au ni kwa sababu sikio na hisia zake hazijaelewa wanachofanya watu hao.

Makini na fani, Dsm, hayakuwa mapenzi, moto chini, sugu n.k ni ngoma ambazo zinaweza kukufanya ufikirie upya juu ya Sugu ( ila ni kama kichwa chako hakijaamua kufungamana na chuki ).

Hasira, mstari wa mbele, nyimbo tosha na sina muda ft Fid & Jcb zinaweza kukufanya ujifikirie tena kuhusu Pina.

NB; ubovu wa kitu hauhalalishwi kwa sababu tu haupendezi au kufurahisha baadhi ya watu.
usisahau na Umoja ni nguvu aliyoimba na Mau Kolimba
 
Dogo nimenunua album za Sugu karibia zote, nimeanza kumfatilia wewe hujazaliwa kwahiyo nimesikiliza interviews zake nyingi mno. Ndio maana huwezi kukuta popote TOO PROUD
We kuzaliwa kabla yangu sio kigezo cha ww kujua vingi kunizidi

Haya nkuulize hilo jina unajua lilikua na maana gan?
 
Ni kweliJongwe sio mkali sana kwenye wordplay na punchline na kuchagua beat kali
Lakini Jongwe ni muandishi mzuri sana na anajua sana kutunga topiki kali za kijamii

Kutokuwa na punchline za kutisha hakumaanishi ni kutokua na kipaji

Legacy ya mtu hailazimishwi inakuja yenyewe kwa aliyofanya
Kusema Sugu hana kipaji ni KUMKOSEA HESHIMA
Legacy ya Jongwe kwenye muziki wa hip hop Tz haiwezi kuondoka kwasababu labda hamvutiwi na flow yake au mashairi yake mepesi kwa mujibu wa MAONI yenu

Nakumbuka miaka hiyo Hip hop ilikua inaonekana kama uhuni tu lakini Jongwe ndio rapper wa kwanza Tz kwenda mainstream(achana nabJabir alikua napiga copy na kutafsiri)

Na hata walipokuja marapa wengine wakakimbiza sana mainstream kama akina Juma Nature, Inspt Harion na makundi kibao ya rap lakini bado hawakuwa na ladha halisi ya hip hop, ilikua ni lazima utarudi kwa Jongwe ndio utapata kuboo kambaaam za akina tupac na NWA

Jongwe ndio msanii wa kwanza kushinda M-Net award Tz

Enzi hizo akina Nature,na marapa kibao walikua wanaimba madudu matupu lakini Jongwe alikua anaimba vitu vya msingi kweli kweli akaipa hip hop heshima kubwa kwamba kumbe ni mziki unaoweza kuimba vitu vya maana

Wasanii wengi sana walio kuja kuchipukia baadae walifuata mkumbo huo na kuanza kutunga tungo za jamii

Jongwe sio aina ya msanii ambaye atatoa hit zikaahika chati nabkupigwa disko
Jongwe ni muumini wa hip hop ngumu hadi beat lakini ndio msanii aliyefanikiwa ku maintain kiwango chake kile kile kwa album zake karibia zote 10
Haendelei na muziki kwa sana kwasababu dunia imebadilika na aina ya muziki wake haina tena wasikilizaji wengi

Najua Wikipedia inamapungufu yake lakini angalau tembelea page za wana hipo hop wote wa Tz utapata mwanga jinsi jongwe alivyo legendary kwenye hii tasnia

Kama unaijua historia ya muziki wa hip hop Tz jongwe lazima awe kwenye top 5 yako
Kwanza nashkuru tumekubaliana yote niliyosema kuhusu kipaji chake.
Nakubali ana kipaji ila kipaji chake ni cha kawaida. Legacy yake imebase kwenye uasisi zaidi na sio talent yake.....
kama kuna mtu anapinga uasisi wa Jongwe basi ana matatizo, ila kipaji ni debate halali kabisa.
 
Dogo nimenunua album za Sugu karibia zote, nimeanza kumfatilia wewe hujazaliwa kwahiyo nimesikiliza interviews zake nyingi mno. Ndio maana huwezi kukuta popote TOO PROUD

Shida ni kwamba vijana wa siku hizi wanadhania kila kitu bora ni kile kinatokea kwenye era yao

Nilicheka sana nikataka nimjibu lakini nikampotezea eti jina la 2 proud limetokana na mzungu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom