Orodha ya washindi tuzo za TFF

Zile takwimu zilikuwa ni Ligi kuu pekee. Hata kichwa cha habari kilikuwa hivyo
 
Hawa #18 ndiyo wamewatoa 'Kimasomaso' Ndugu zao Wakubwa na Mashabiki zao 'oya oya' Wote au? Imesikitisha na kutia Huruma pia.
 
Ndio mpira wetu huu... Umejawa na ushabiki wa timu na ukanda kuliko mapenzi ya soka kwa ujumla
Ko cafcl hawakuziona zile fujo kabla ya game kule Nigeria, hawajaona yanga wakilalamika kuhusu vyumba vya kubadilishia nguo had yanga anavalia Jez jukwaan... Ila wakaja kuona mashabiki 16 tu... Nna uhakika Kama yanga angeshinda angeporwa point
 
Pia kuna mechi nyingi tu bocco alikula benchi
 
May be tatizo lipo TFF kutoa taarifa wanazima makusudi ,game ya yanga taarifa ilichelewa mno ,imekuja kutoka usiku wa kuamkia siku ya mechi but Simba inacheza Galaxy taarifa ishatoka idadi ya mashabiki watakaoingia
 
Hii namba 18 imewekwa kubalance mambo kama tuzo ya kibwana shomary
 
Mbona munachanganya? TFF na board ya leage wanasimamia ligi kuu ya VPL mda ule saaa takwimu za caf zinakuja je tena.
Au ndo kutaka kuhalalisha ya bongozozo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…