Jasiri Muongoza njia alikosa hela ya Kujenga hata vyumba viwili? Malika wa nguvu walichezea tu nguvu zake.Mhaya hajifichi
GaraB mhaya Ila Hana nyumbaMhaya hajifichi
Kaongo sana kale kazee...Kuna kipindi kalikuwa kanalelewaLabda Mbweni ya Zanzibar ila siyo ya Dar tu kiwanja 80m......Kama ni dar atakuwa amepanga huyo tajiri mrefu..Hana uwezo wa kujenga mbweni JKT.
Anakuzingua huyo[emoji23][emoji23][emoji1787]Siku ukikata moto mkeo atagalagala sana na kuzimia akiwaza kodi
Daah, wale malkia wa nguvu walimponza?Aache kuhonga ajenge
Je wewe umejenga kajibanda pwani? Unaona Moshi majumba ya hatariiii migombani yapo wazi tu. Uchagani hamna nyumba ya tope.Mwamba acha dharau😂😂
Case closed[emoji122][emoji122]Doooh noma sana labda aliwajengea kina Juju mjengo yeye akaamua akae tu kwenye apartment baada ya kujua status yake ya Juliana.
Yes..maza ake anampenda haina mfano, ndo maana yuko vileWhite Inn upande wa De france? Basi maza ndiyo amemdekeza.
TID anakaa na mamaake kinondoni ka ray tu[emoji848]Vipi TID?
Paradiso ndio sayuni!??Dunia ni makao ya mda mfupi ya mwanadamu, makao ya milele ni jehanamu au paradiso
Ya mama yao...baba yao simjuiHiyo nyumba ya familia sasa??
Majibu ya walevi yanakatisha tamaa sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani mtu uache kunywa bia uanze kununua sijui mabati, yakikukata je?
Sasa utakuta mtu yupo kwenye kuamini ndoa ni ujinga na kujenga ni ulofa..!!! Wa hivi afe tuWakishinda kundi la wasiotaka nyumba, nitabomoa hii ya sasa...