naanza na samweli sitta muhitamu wa shahada ya sheria pale udsm
huyu mzee alikabidhiwa na mwalimu j.k kuongoza c.d.a Dodoma ili iweze kuwa makao makuu matokeo yake aliwajaza watu wa tabora pale kina rage.wakafuja pesa za miradi mbalimbali mpaka leo dodoma mako makuu yamekuwa ndoto.
msomi huyu wa udsm pia alijenga ofisi ya spika tabora akifikiria atakuwa spika milele
naanza na samweli sitta muhitamu wa shahada ya sheria pale udsm
huyu mzee alikabidhiwa na mwalimu j.k kuongoza c.d.a Dodoma ili iweze kuwa makao makuu matokeo yake aliwajaza watu wa tabora pale kina rage.wakafuja pesa za miradi mbalimbali mpaka leo dodoma mako makuu yamekuwa ndoto.
msomi huyu wa udsm pia alijenga ofisi ya spika tabora akifikiria atakuwa spika milele
We msela tangu udsm wakupge chini unaiandama sana!jilaumu mwenyewe kwa kuwa kilaza hadi ukashndwa kufaulu vzr form 6.pole sana.
naanza na samweli sitta muhitamu wa shahada ya sheria pale udsm
huyu mzee alikabidhiwa na mwalimu j.k kuongoza c.d.a Dodoma ili iweze kuwa makao makuu matokeo yake aliwajaza watu wa tabora pale kina rage.wakafuja pesa za miradi mbalimbali mpaka leo dodoma mako makuu yamekuwa ndoto.
msomi huyu wa udsm pia alijenga ofisi ya spika tabora akifikiria atakuwa spika milele
naanza na samweli sitta muhitamu wa shahada ya sheria pale udsm
huyu mzee alikabidhiwa na mwalimu j.k kuongoza c.d.a Dodoma ili iweze kuwa makao makuu matokeo yake aliwajaza watu wa tabora pale kina rage.wakafuja pesa za miradi mbalimbali mpaka leo dodoma mako makuu yamekuwa ndoto.
msomi huyu wa udsm pia alijenga ofisi ya spika tabora akifikiria atakuwa spika milele
UDSM finest commnt na hapa
unahakika mh. mnyika ni graduate wa mlimani?
Sema kama unataka CV kaka
seriously guys u got to stop this crazy obsession with udsm..maana hapa wote tunajua haya malumbano hayana conclusion ya maana kesho mwingine ata fungua thread kama hii yaani hamna jipya...kuweni ma great thinkers basi!
unahakika mh. mnyika ni graduate wa mlimani?
Ridhiwani Kikwete :milionea mwenye shahada moja tu ya sheria
Kumbe ni muhitamu wa UD? Chck wahitimu wa UD, UDSM finest commnt na hapa
yani tangu miaka hamsini ya uhuru mpaka sasa chuo ndio kimetoa watu hawa tu wenye ufanisi kazini mwa serikali au? basi kama ni kweli hamna chuo hapo! je,ni kweli mnyika ni graduate wa mlimani?
afu mtoa mada hii sio mada ya kisomi,bali ni yakuchafuana kisiasa tu humu,na machuki yako ya kukosa post!
yani umekosa hata data star mkuu? daah
kaka ebu jaribu kufatilia comments na nyuzi za huyu mleta mada. Utagundua there z no making this guy understand ni kwenda nae 2. Take some few secs kupitia...