Orodha ya watu wanaojiona wameyapatia maisha

Hiyo no 4. Hawa ma Dr na PhD ndiyo balaa utazani wamesoma ukoo mzima wakati kachomoka yeye tu nfugu zake wengine mambulula tu lakini sasa wanavyo kashifu wengine!
Hii hulka ya kutaka kupenda misifa sijui wanafundishwaga wapi

mbona kuna Madokta PhD wanatoa madini mazuri tu na hawana mbwembwe
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜‚
 

Hapo hua wana malizia na durag la mchongo
 
Inasemekana watu wakimya ni wazee wa risk taker.. Is it true?
 
Bora basi na hao wawili wapige kazi kwa moyo wote ila atakuwepo mmoja hakai akatulia kwenye dirisha lake, kila muda ni kunyanyuka na kuzunguka zunguka tu mule ndani.

Anabakia mmoja aliyeko serious....[emoji28][emoji28][emoji28]
Mkuu na wewe kumbe una uzoefu nao..hahaha miyeyusho sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…